28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

asubuhi. Kuja hapa usungumuze.<br />

Zainab Said: Asalamualekum.<br />

Audience: Aleikumsalam.<br />

Zainab Said: Mimi ninajulikana kama Zainab Said nimkaaji wa Kongowea lakini Kisauni Division.<br />

Neno la kwanza linalo niuma hapa kwetu ni mambo ya ardhi. Sisi tunalipia ardhi na tunaowalipa sio wa Kenya na isitoshe<br />

wengine hawaishi hata hapa Kenya, wako Canada, wengine wako America lakini anaokota pesa kutoka kwa wa Kenya. Sioni<br />

sababu tuendelee kuwalipa pesa watu hawa.<br />

Jambo la pili ni kuhusu kina mama. Kina mama tunaambiwa kuna fungu la pesa utengua na Serikali kwa maendeleo ya akina<br />

mama na shuhuli zote za akina mama. Lakini tuafanya kusikia kwa majina tu. Hatuzijui pesa hizi wala hatujui azipokeae ni nani<br />

wala zitamfaidi nani lakini tuajua budget yetu ikitengua kuna pesa ya akina mama. Shuhuli za maendeleo za akina mama Serikali<br />

aijisumbui nayo. Mukitengeze vikundi mtakuja muambiwe fanyeni vikundi, fanyeni nini, fanyeni nini, mtasaidiwa, lakini yale ua ni<br />

maoni pengine ni Mbunge ataka kura, pengine ni mkubua ataka sifa, lakini hakuna chochote tunacho fanyiwa. Hasa wale<br />

wamama walio chini kiwango cha chini. Na wakubua wanao shikilia vieo kule kwa maendeleo huwa ni wale, wale<br />

hawabadilishwi. Ninataka mkubua akishika cheo akae muda flani aondoke ashike mwingine. Sasa tutamjua kama alikua na<br />

makosa ama alikua ni mtu mzuri.<br />

Tatu, upande wa Kazi: Kina mama tunasumbuliwa kwa njia nyingi sana. Wewe ukiwa ni mrembe basi olewako. Ukienda<br />

kuandikiwa kazi, General Manager, iwakutaka Director, iwakutaka wewe Karani, iwakutaka wewe mpaka <strong>of</strong>is messenger pia,<br />

wakujitetea huna. Ukiwa wewe ni secretary, basi wewe u secretary wako wakalamu na u secretary mwingine juu. Vile boss<br />

anavyo taka ndivo utakovyo fanya. Hata ukiwa ni mku wa mtu. Na katika hali yetu tulionao kwa sasa hatuna pesa, hatuna nini<br />

pengine hata yule mume hana kazi wewe ndio waangalia kila mtu. Wengine wanalizimika kukubali, ili alishe familia yake. Laki<br />

ni njia mmoja ya kunyanyasa kina mama.<br />

Hawa rapists nao, wanawachua free. Mtu yule ati anapewa community services. Hataona msichana mdogo mwingine amrape?<br />

Ama hataona mama mwingine amrape? Rapist na mnyongaji wote hali mmoja. Waoze huko huko jela.<br />

La mwisho ni askari wetu. Askari wanatunyanyasa. Si askari pekee, ni wao na watu wajivitambulisho pamoja na watu wa<br />

jikaratasi za Passport. Kila mmoja ukimkuta tu tumbo li huko. Hapokei mshahara. Mshahara ni wewe. Ukienda wewe huna<br />

pesa, huna Passport na nafikiri Passport ni haki yangu. Birth Certificate, watoto wengine sio kina mama wote wana pesa<br />

kwenda kuzalia hospitali. Na saa zingine kuzaa ni kama kifo. Hakuagi. Unaweza kutoka hapa waenda pengine Utange,<br />

64

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!