28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

cheo kikubwa, sitaki kusema ni boss ya hawa, lakini Bunge likija tutauliza maswali. Kwa hivo leo nije ni kuwa kutoka asubuhi<br />

nisikize maoni ya watu wa Kisauni, imeenda old Town watu wamejaa wengi, na wanatoa maoni sawasawa na yenu, nani<br />

mekuja hapa na nimefurahishwa kwamba, maoani yenu ni ya kupendeza saidi.<br />

Commissioners taabu niliyo nayo, ambao ni lazima ni lalamike ni kwanini mliwapa siku mbili Shangamwe na Mvita, na mimi<br />

Commissioner kama mkubwa wenu, na mnanipa siku moja na mnaona vile Wananchi ni wengi, kama manweza kukaa jiono na<br />

wale wataenda nyani kesho watakuwa wadogo mrudin hapa asubuhi at least msikize hawa Wananchit, hiyo ndio ombi langu.<br />

La mwisho kabisa kwa sababu Wananchi wenyewe wanataka kusema, yale yote utakayosikia hapa Commisssioners,<br />

kwasababu ninyi Commissioners mmetoka Bara ukweli ambao lazima muuchukue na muambia watu wakutoka Bara ni kwamba<br />

Pwani sio Kenya, and that is the truth.<br />

Kwa sababu ushahidi tunao, na umetolewa na mtapata memorandum nyingi, tuko na ripoti ya Kenya postal street mwaka wa<br />

sitini na mbili ambapo inaelezwa wasiwasi, maana malalamiko haya yote unasikia ya ardhi, ni kuonyesha kwamba Katiba ya<br />

Kenya haikucover watu wa Pwani ilipokuwa ikipitishwa tuwe waKenya, kwasababu Katiba ya Kenya ya sasa inasema, you<br />

have the right to own land anywhere in Kenya that’s right, Katiba ya Kenya ya sasa inasema, mwenye title deed ndio mwenye<br />

ardhi, lakini mmesahau ya kwamba, ordiners act ya 1908 ilipokuja hapa, sisi watu wa Pwani ambao tulikuwa tuko kwenye<br />

protectorate, Kenya zilikuwa mbili, kulikuwa na Kenya colony, na Kenya protectorate ambao ni sisi, sasa Kenya protectorate,<br />

tafadhalini ma Commissioner na Wananchi tusikizane hakuna haja ya kupigiana mak<strong>of</strong>i, Kenya colony ilikuwa ni watu wa Bara.<br />

Kwasababu mlikuwa mnaongozwa na mzungu, sisi hata siku moja hatujatawaliwa na mzungu, sisi tumetawaliwa na Sultan,<br />

kwanza tulitawaliwa na Mreno, akaondoka, akaja Portuguese akaenda, akaja British halafu akarudi tena wa Omani halafu<br />

kukawa na agreement mwaka wa 1886 kwamba sisi tuwe chini ya protectorate, na ordinors wakati ilipokuja ya 1908,<br />

mashamba yalipokuwa inagawanywa katika Kenya hii, that is the claim, sisi watu wa Pwani ambapo tulikuwa ni wa afrika<br />

weusi, haturuhusiwi kusema hii shamba ni yangu, kwasababu wakati ule, wa Arab walikuwa wameshida vita, na Mazrui<br />

waliokuwa wanaitwa Mujirishi, walikuwa wako pale Takaubwa, wamepewa ardhi, ndio walioruhusiwa peke yake kuota<br />

mashamba ya wa Arab na Mwafirka alikuwa akiota shamba wewe huruhusiwi, that is how we were displaced, as Africas.<br />

Sasa tulipokuwa tunarejeshwa Kenya 1964, baada yake mnapata uhuru na mnaendelea na Sheria zenu za Kenya, mkasahau ya<br />

kwamba all free hold lands na iko agreement hata million moja ilitolewa, ambayo inasema wazi, kwamba free hold land zote, za<br />

wale tunaita Sultan decendants zilegeshwe hawa walio hapa wote, there is an agreement money was paid, why didn’t the<br />

Government <strong>of</strong> Kenya give us that right. Pili Kenyatta kwasababu wakati ule alitaka hii yote beech plot, kwasababu siri ya<br />

hapa, wakati tuanpata uhuru Mwarabu hana title deed katika beech area, walikuwa wanaogopa majini, hawataki kukaa huko.<br />

So the first floor was clear, wakati ule Koinange akiwa Waziri wa Tourism, akamwambia Kenyatta aandike barua kwa Shamte,<br />

kwamba kwasababu watu wa hapa ni Waislamu, zile free holds zote zitakaa kwa Waislamu na twasoma madarasa, sawa sisi ni<br />

Waislamu weusi, wakati ule Shamte alikuwa ni Mwarabu.<br />

76

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!