28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Antony Karisa: Mimi kwa majina naitwa Antony Charo Karisa kutoka (inaudible) Youth Group. Nilikuwa na maoni<br />

kidogo hapa kama manne hivi. Ya kwanza ni kuhusu employment, ya pili ni human rights, mtanisamehe kidogo kwa sababu<br />

niko na mafua.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: (inaudible) kuna wengi wanao ongea ongea ongea. Ikiwa unaneno na<br />

mwenzako utoke nje muongee. (inaudible)<br />

Antony Karisa: Ya kwanza kabisa ni kuhusu employment, na ya pili ni human rights, la tatu ni water and power supply. La<br />

nne nikuhusu education. Sitasema kwa urefu kwa sababu mengi nimeandika hapa. Nitafanya kugusia.<br />

Kuhusiana na elimu: Ningependekeza ya kwamba serikali iwe inaweza kutoa elimu ya bure kuanzia nursery mpaka darasa la<br />

nane. Jukumu la wazazi liwe ni kalamu na uniform pekee yake. Vitabu na elimu iwe bure ili kwa wale pia hawajiwezi, waweze<br />

kupata elimu.<br />

Lingine ni kuhusiana na employment: Nafikiri serikali ingetoa sheria thabiti kuhusiana na mambo ya uwajiri. Kama ku-retrench<br />

watu wangekuwa wanapunguzwa kazi ambao labda amehudumia kampuni hio ama shirika hiyo kwa zaidi ya miaka kumi na<br />

mitano kuendelea. Sio mtu amefanya kazi miaka miwili na anafukuzwa kazi ikiwa kuna watu ambao wako na service ya over<br />

30 years.<br />

Lingine pia wapewe sheria kwa sababu siku hizi ni kampuni chache ambao wana-employ watu permanent. Siku hizi ni contract,<br />

ikiisha contract una-renew na mwishowe unatoka kitupu. Hata kama umefanya miaka arubaini, hakuna lolote utapata. Kwa<br />

hivyo pia wapewe sheria ya kwamba kama wanaajiri, waajiri watu permanent wakisha-serve zaidi ya miezi sita na kuendelea.<br />

Lingine ni kuhusu human rights. Kuhusiana na swala la vitambulisho, ni wengi wamejishugulisha kutafuta vitambulisho na<br />

wameshindwa kupata kulingana na sheria zilizowekwa ambazo zimefinya watu wengi. Kwa sababu, tuchukulie kwa mfano<br />

inasemekana mtu kupata kitambulisho lazima awe na birth certificate au school leaving certificae au baptisimal certificate. Na<br />

awe na kitambulisho cha mzazi mmoja either mama au baba ambapo ni ngumu kwa wengineo kwa sababu wengine waliachwa<br />

wakiwa bado ni wadogo, na hawakuweza kuona vitambulisho hizo, na wala hakupata elimu, na kuna wengine ambao kufikia<br />

sasa hawajui dini ni nini. Hawajafika kanisani wala msikitini. Hawezi kuwa na makaratasi kama hayo. Kwa hivyo baadhi ya<br />

sheria zile zimewekwa ili mtu apate kitambulisho zipunguzwe. Mtu akifikisha miaka kumi na minane apate kitambulisho bila<br />

maswali mengine.<br />

Kuhusianan na swala la moto na maji: Ningependa serikali iangalie hili swala sana kwa sababu kusema ukweli, kuna vijiji<br />

vingine ambavyo ukitaja kuhusu maji ya mfereji ni kama ndoto. Una zaidi ya miaka ishirini bado hajaona maji ya mfereji. Kuna<br />

kwingine ambapo stima pia ni kama ndoto kwa sababu wengine wamesomea kazi hizi za jua kali na wametegemea kitu kama<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!