28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Halafu katika vile ilivyokuwa imeemdelea, yeye amefanya yale aliyokuwa akitaka. Mwingine amekuja kuingia hapa, tusiwe na<br />

uoga wa kuzungumza ya kwamba Rais Moi, Amechukua hatamu ya kuhakikisha ya kwamba kila province ameweka watuw ale<br />

mizinga, mizinga, kama P.C, kama D.C. Kama hakuna P.C. Mnandi, basi D.C. ni Mnandi.<br />

Ikifikia wakati wa kwamba tunakuja kumchagua Rais mwingine atakaye kuwa ni kabila nyingine, yeye naye akakuja na sheria<br />

zake na atafahisisha watu wake. Je tukiwa na sheria za majimbo ama Katiba ha majimbo ama Serikali ya majimbo si tutatkuwa<br />

haya yote tumeyamaliza? Hiyo ndio ninaeleza.<br />

(Clapping from the audience)<br />

nikiruka mbele, ninakuja kwa nafasi ya machifu. Machifu Tunapendekeza ikiwa itawezekana, machifu wachaguliwe na<br />

wananchi wenyewe. Kwa sababu gani? Saa hii tukimwona chifu ni kama tumemwona askari na tunapomwona askati saa hii,<br />

tunakuta kwamaba, nafikiri mwenzangualilyekuja hapa amesema kwamba saa hii askari akitoka pale mlangoni akipita hapa,<br />

karibu kila mtu atashtuka ndani ya moyo wake, ni kama tumeona dude lingine, yani imebadilishwa ya kwamba badala ya tuwe<br />

tumemona mwizi ndio tushtuke, sisi tukimwoana askari ndio tunashtuka sasa. Afadhali yule mwizi. Hiyo ni ya kwamba machifu<br />

wachaguliwe na wananchi wenyewe.<br />

Halafu tukisonga mbele tena tumesema ya kwamba tuwe na vazi la kiserikali, yaani ni vazi la kitaifa ambalo tutakuwa sisi<br />

wenyewe tunajivunia. Tukisema ya kwamba labda kuna sherehe zilizo labda pengine, kwa sababu kuna sherehe nzuri zilizo zina<br />

mark mambo yaliy<strong>of</strong>anyika hapa Kenya. Hivyo ni ya kwamba vazi kama lile likitumika tutakuwa tunaweza tukaangalia Kenya<br />

ikiwa yang’ara. Kama vile kwa mfano tukienda Nigeria, nguo za Wanigeria pahali popote ukiona hivi hata ukiona kwa T.V,<br />

utajua tayari hi ni Nigeria. Ndio tunaomba sisi tuwe na vazi kama lile. Nafikiri tumependekeza mapaka tukataja lile vazi na<br />

nafikiri tutawapa maandishi.<br />

Lingine ni ya kwamba tuwe na hali ya mlolongo wa mavazi, huku nyuma yaliyo labda pengine vazi la kitaifa liko pale lakini kuna<br />

sheria za mavazi haswa. Kwa sababu hata likiwa la taifa, labda wengine wanaweza kulivaa vibaya. Hivyo ni ya kwamba<br />

tuelekee pahali pa mavazi yasiyoleta utatanishi.<br />

Vazi la kujionesha mwili wako, ukiwa uko nje limeenea sana haswa hapa Pwani. Tulikuwa hatuna hilo. Nikiangaza macho hivi<br />

nilikuwa hakuna na tulikuwa tunajua kabisa ya kwamba labda wazungu ndio wakija hapa wanatuletea haya. Baadaye ikaja<br />

ikaagua wazungu kwa sababu wazungu walikuwa wamezoea kutembea na costume hata kwa ma-towns, wakapunguziwa wale<br />

wazungu lakini tumekuja ku-adopt ya kwamba wale wasichana wetu ndio wanavaa hata zaidi ya wale wazungu.<br />

Kwa hivyo tuwe na sheria ya kwamba, mtu kama yule ama tuweke kitu kama… tuseme kama kwa club, wewe unajistarehesha<br />

kule kwa club. Tuwe tunaweza tukatambua hawa watu wako kivipi sio akavae vazi lile na wengine hata ni mabibi za watu!<br />

33

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!