28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

2. Ya pili, jina langu naitua Simon Sevele.<br />

3. Ya tatu, mimi naeleza Commission, asante kwa nyinyi kuja hapa. Kusema kweli, hapa Mombasa, baado tuko kwa<br />

ukoloni kabisa, kabisa, hatuja pata uhuru, kabisa. Hatuja pata uhuru kwa njia gani? Rift Valley. Watu walipewa wale<br />

wazungu walikua wamechukua Rift Valley yote na walikua foreigners, wali nyanganyua mashamba yote na wakarudi<br />

kwao ikapewa wananchi. Hapa Mombasa baado utumua uko mpaka saa hii na ndio kwa nini tunasema hatuna uhuru.<br />

Baado utumua unachanganyikana ugonjua mwingine unaitua ukoloni kwa kitu kimoja. Hawa kweli si walikuja hapa.<br />

Walichukua mashamba hii yote mpaka Malindi, mpaka Papi, mpaka Kaloleni. Wakachukua ma Title Deeds,<br />

waheshimiwa walichukua mpaka hata nafikiri walikua wanauza watu mpaka watu wakakimbia. Wakachukua<br />

mashamba bure. Sasa wakatu huu, sisi tunatoka bara hawa wengine wale wenyeji wa hapa tunanunua mashamba, ma<br />

ploti. Tukinunua ma ploti, ukinunua ploti unatoa laki moja au laki mbili. Ukinunua na unajenga, mwenyewe anakufuata,<br />

mwenye ile shambe anakuambia, hio mimi ploti ninakuuzia ni plot without land. Hata hapa tuko saa hii, nyumba hii ati ni<br />

plot without land. Kutoka hapa, mpaka Malindi, mpaka wapi, plot without land, kwani hii ni Abunuasi?<br />

4. Point ya pili, akikuuzia pale, anakuuzia land pekee yake. Anarudi anakuuzia miti. Anarudi tena pale, anakufuata<br />

anakuambia ya kwamba, mimi ninataka kodi kutoka sasa mpaka wakati ule. Ile kodi unalipa mpaka watoto wako<br />

tumbo wanalipa. Itawezekana hio? Tena kutoka hapo, nyumba ikianguka, Waiheshimiwa, ikianguka kama umeijenga,<br />

anasema sasa hauna land pale, kwenda nyumbani, ni haki hio?<br />

5. Sasa, ya mwisho, kufika pale, wakati sasa labda aseme atakuuzia, haya unanunua mara ya tatu. Inakua mara ya tatu.<br />

Hiyo ni haki kweli? Hiyo kweli ni haki? Pamoja na nini munasema hakuna ukoloni hapa na utumua? Baado iko hapa<br />

Coast.<br />

6. Mimi point yangu nyingine, nafanya haraka, point ya pili, kuna simba mmoja tunae anaitua Serikali, anaitua GK. Simba<br />

huyu ukipewa Title Deed ya shamba, upewe Title Deed sasa ni umiliki hapo ni kwako kabisa. Kama usha umilikii pale,<br />

sasa uko na Title Deed yako umepewa ukipeleka Bank unapewa loan, sasa Serikali inataka saa ile unachimba na ile<br />

kajembe yako, usichimbe na tractor, saa ingine unagundua shamba yako iko na Gold, au iko na almasi, Serikali inasema<br />

feet yako ni nne tu. Sasa ni kama unapata Gold pale, lazima uhame, uende pande pengine. Tunataka Bwana<br />

Commission, hio ibadilishwe. Hiyo ni haki ya mtu. Pale umepewa Title Deed na ni shamba lako, iwe kabisa ile pale ni<br />

Mungu ame kumiliki na sikia ile ni Mungu amekumiliki ukapata bahati pale, ukapata Gold pale upewe barua ufe ile<br />

Gold, lakini si uje unyanganyue na Serikali tena uambiwe ile ni mali ya Serikali.<br />

7. Point nyingine, mimi namalizia: Mambo ya maji. Mambo ya maji katika Coast. Tunalipa maji pale kwa wale watu wa<br />

maji, tunalipa water, mpaka iko kodi ya kulipa maji ati ya kulipa ile dawa ya kuwekwa maji. Saa hii Bwana<br />

Commissioner, tunakunyua mchanga Mombasa hata ni bahati umepata hii watu hapa. Haungepata mtu mmoja hapa.<br />

72

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!