28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

chukuliwe na Serikali, Serikali, ya nchi ya Kenya napendekeza iwe ya majimbo, dini za Kikristo, tafadhali naomba ziwe mbili ili<br />

kutatua fujo Nchini.<br />

Com Paul: Tafadhalini, tafadhalini, nini mnaweza kutulia, umemaliza?<br />

Mr Juma: Nimemaliza.<br />

Com Paul: Ya mwisho umesema dini ya kikristo ziwe mbili, moja iwe gani na ingine gani?<br />

Mr Juma: Dini za Kikristo, mimi ninasozikia ni nyingi sana, najua moja tu Catholic pekee yake, hizo zingine kila mtu ataja<br />

kivyake, kwa hivyo ni ngeomba Catholic, na nyingine yoyote lakini ziwe mbili tu, ili kutatua ile fujo.<br />

Com Paul: Asante sana tumesikia, Agnes Nyaro tafadhalini tulieni, tusikize wenzetu, Agnes yuko, Agnes, kuna Walter Botela,<br />

nilkuwa nimemuita hapo awali, ako, Walter Botela aje hapa mbele atoe maoni.<br />

Interjection: (inaudible)<br />

Walter Botela: Kama mnavyo ona nimepewa muda mfupi sana kusema, nitasema kwa ufupi nanyi, jambo ninalotaka kusema<br />

ni la umuhimu mkubwa sana, ni rahisi sana kuja hapa kukutana kutoa maoni Walter Botela, mimi ni Walter Botela, na ni mzee<br />

wa mtaa wa Sublocation ya Via Town na pia ndiye mwenye kiti wa chama kipya tulichokiunda kinachoitwa Via Town Resident<br />

Society. Nimeanza na ardhi, mamaliko na matatizo ya hawa watu ni mingi mno, na maoni tutatoa moja moja si vibaya, watu<br />

wote tukipewa nafasi ya kutoa maoni ni vizuri juu matatizo ni mingi, kwa hivo ukipata maoni mengi ndio mzuri.<br />

Langu moja tu ni juu ya ardhi, hii tunaikalia, ardhi hii inafanya watu wa Coast wanateseka sana, kwasababu wakati hii<br />

Constitution ilipotengenezwa ya Kenya ama wakati uhuru ulipokuja, mara moja kulitengenezwa chama kimoja kinaitwa Land<br />

Ajudication something, ambayo kilikuwa kinatembea sehemu Zote kuangalia kwako ni wapi, ili kila mtu ajue mahali pake au<br />

masikani yake aijue, itengenezwe. Mbali huo mpango ulipokamilika kule Bara, uliteremka Pwani, ukifika Mariakani, hauwezi<br />

kuendelea mbele, jaribu mara mbili tatu watu wa Civic Education waenda Pwani, wakifika Mariakani hawawezi endelea mbele,<br />

na huku matatizo ya huku ni makubwa, na hii matatizo iko mikono ya watu wakubwa, basi ni Nchi ya washida. Kwa hivo<br />

twatakiwa tuwe na Constitution za kuangalia mambo ya Pwani, jambo la kwanza ni ardhi, ikiwa Constitution ni ya Kenya<br />

mzima, wacha iwe ni ya Kenya mzima, leo Constitution ya Kenya haiambatani na mambo ya hapa Pwani kabisa.<br />

Com Salome: Kwanini haiambatani?<br />

Mr Walter: Kuna sehemu nyingine za hapa Pwani pande za huko Kilifi huko mpaka Malindi, kuna watu ambao wanatawala<br />

74

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!