28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Com. Pastor Zablon Ayonga: Okay. Mambo yako yote yameingia katika (inaudible)<br />

Salim Mwambala: Yameingia hapo, asante.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: Njoo ujiandikishe. Bwana Aggrey Kilo. Aggrey Kilo unamaandishi?<br />

Aggrey Kilo: Ndio ninamaandishi.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: Kwa hiyo mulika tu juu ya maandishi yako.<br />

Aggrey Kilo: Nashukuru macommissioner na wananchi waliojitokesha hapa. Kwa majina mimi naitwa Aggrey Kilo vile<br />

Bwana Chairman alikuwa amesema na mimi nina vidokezo tatu tu ambavyo nitazungumzia. Kwanza kabisa ni kuhusu nyumba,<br />

nyumba za upangizaji. Unakuta ya kuwa Kenya sasa serikali ama munispaa, si kama mukoloni, mukoloni alikuwa anajenga<br />

nyumba za wapangizaji lakini serikali ya sasa ama munispaa ya Kenya saa hii, hawafanyi hivi. Na hatuelewi ni kwanini. Ile pesa<br />

mkoloni alikuwa anaokota ndio ile serikali ya sasa inarokota, na unakuta serikali ama munispa, hawatujengei nyumba za<br />

kupangisha. Sasa hio imeleta jambo ambapo sasa ni wafanyi biashara fulani wanajenga nyumba, (inaudible) kuna kuwa<br />

na wapagizaji. Sasa wale watu wanaweka sheria fulani. Anasema ukiingia kwa hii nyumba yangu, utalipa deposit ya miezi tatu<br />

ama mieze miwili. Sasa vile unataka kuingia kwa nyumba na una haraka unampa ile pesa. Ukisha mpa ile pesa pengine<br />

unapigwa transfer kwa haraka. Unamwambia ile pesa yangu nikupa ya deposit, si unipe. Inakuwa ni mkutano, ile pesa hupati.<br />

Kwa hivyo tungelipenda serikali iangalie hili jambo. Juu ukienda kwa watu wa lands tribunal wanakuambia ya kuwa hiyo sheria<br />

hakuna. Wanatambua wewe ulipe nyumba, hawatambui deposit. Hiyo pesa yako itakuwa nikuvutana ama pengine hata<br />

uwachane nayo. Umechukua transfer mbali kwa hivyo lazima Constitution yenye itakuja lazima iangalie hili jambo, tuweze<br />

kulindwa kwa hii mambo ya kulipa deposit.<br />

Jambo la pili ni kuhusu elimu. Unakuta ya kuwa tumekuwa na (inaudible) <strong>of</strong>fice ama divisional <strong>of</strong>fice. Hawa watu<br />

wanatengeneza bairo zao. Unakuta wana either ma-head teachers wanawaambia, tumepitisha hili. Na juu sasa ma-head<br />

teachers wako chini yao, akikataa kufuata, atapigwa transfer mahali penye hataki, inabidi afuate. Wanakuja na sheria<br />

wanasema, ni lazima watoto wafanye common exam division mzima. Ambapo kila shule itarokota pesa ipeleke kwa division.<br />

Ile ni pesa nyingi sana ukichukua shule zote karibu (inaudible). Ile pesa haujui inaenda wapi na wale watu<br />

wamelazimishwa, akikataa, transfer. Na ukienda kwa ministry wanasema hatutambui hio. Hamtambui lakini iko (inaudible)<br />

Sasa tufanye vipi? Lazima Katiba mpya iangalie hao watu wasi (inaudible) na divisional <strong>of</strong>ficers mambo ile<br />

wanafanya na ikuwe legalized na serikali ijue ile pesa inarokotwa inatembea kivipi.<br />

Jambo langu la mwisho ni kuhusu wanabiashara ambao wanajulikana kama jua kali. Jua kali wa sasa Kenya unakuta<br />

umepelekea mtu fulani vile mzee alikuwa ameongea. Umepelekea mtu vitu. Atatafuta kakosa kadogo, anakuruka kukulipa.<br />

Akisha ruka kukulipa, yeye anapesa ya kwenda kuchukua advocate vile yule mzee alivyokuwa ameongea tu. Ni wewe hauna<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!