verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mkoa wetu hapa wawe wanatoka area yetu yenyewe hapa Mombasa hatutaki kuletewa Administration Leaders kutoka nje.<br />
Habari ya health kidogo, sababu ya hali ya madawa yamekuwa Ghali sana na vile vile hospitali hazilalliki siku hizi, tukipendelea<br />
kama watu wakisauni tuongezewe kujengewe mahospitali, na yale yalioko hapa yaweze kupanuliwa ili tuweze kusaidika.<br />
Citizenship, mtoto akizaliwa nayeye ni mKenya halisi, na hakuna maana ya kumnyima vibali ya uraiya hapa kwa hiyo aweze<br />
kupata Birth Certificate yake, ID card yake na Pass port yake on the sport, ili akitaka kuitumia iwe ni urahisi kwake.<br />
Jambo la mwisho, ni upande wa dini, wale ambao ni waislamu wakiingia ukristoni, ni lazima majina yao yaweze kutengezwa<br />
according to their documents, na wale walio wakristo wakiingia upande wa waislamu vile vile zile karatasi zao zinatakikana<br />
zitengenezwe mara moja, juu hii inaleta fujo, wakati mtu akifariki wakati wa madhishi ikiwa ni muislamu mtu anakosa haki yake<br />
ya kusikwa kislamu na kama ni mkristo vile vile. madawa ya kulevya, yameharibu sehemu zetu hizi, nimapendeleo yetu kwamba<br />
rehibilatation centers zinjegwe kila Constituency. Mwisho kabisa, ni juu ya Human rights, polisi wa be friend ordionary citizens<br />
ili kuweza kupatikana uhaki wakati ikiwa wataweza kukamata mtu yeyote, na evidence ya kutosha iwe itatolewa ndio mtu huyo<br />
aweze kupatikana hukumu yake ya kisawasawa, kwa hayo machache ni tapeeana memorandum.<br />
Com Paul: Asante sana, ngoja tu, hii Warp lands simesema iwe redistributed kwa Wananchi si hiyo ni mali ya waislamu<br />
unataka wapewe akina nani.?<br />
Mr Muhammed: Sisi Bwana Commissioner tunaishi katika Pwani hii kwa utengamano, hatubagui baina ya Bara wala<br />
Mpwani, ikiwa umeshajenga hapa na hiyo shambaiwe ni ya warp lands basi kila mmoja agawanyiwe pahali pake aweze<br />
kujipatia kitile chake, asante.<br />
Com Paul: Jiandikishe hapo tafadhali, Muhammed Asuman, uko, endelea mzee, mzee ametumia wakati mwingi, kwa hivo<br />
tutakupa dakika mbili tu useme ile ya muhimu, tuendelee. Tumpatie mzee Asumani nafasi tafadhali azungumze.<br />
Muhammed Asuman: Jina langu naitwa Sheikh Muhammed Asuman Todoo:<br />
(in venacular)<br />
Muhammed Asuman: Mimi maelezo yangu nishaandika yote kamili hapa, isipokuwa tu najieleza jina langu, basi, nitawapa hii<br />
memorandum yangu, mtasoma mtakavyo yote, isipokuwa tu nataja sehemu mbili, lakini nasiongezea kusiu (inaudible)<br />
Kuhusu majimbo, mimi nikiwa kama Pr<strong>of</strong>essor au Imam wa jimbo hili la Mombasa, Coast Province, ni haki yetu sisi kupata<br />
majimbo yetu tuweza kuipeleka kisawasawa. Pili utaona religion yetu ya kislamu imeaanza kutoka bali kama vile Bwana Maitha<br />
alivyoeleza, si leo si jana, kwa hiyo ile asiri iko vile vile, lazima kupatikana heshima ya kutunzwa na kujulikanwa na kupewa<br />
nafasi yake bila matatizo, sasa ukitiliwa vikwazo vikwazo vikwazo ndio Serikali inaleta yenyewe matatizo na wale waislamu,<br />
ambapo waislamu ni watu wazuri sana, kama walivyosema Serikali kwamba waislamu ni watu wabaya, hii ni siasa ya kikoloni<br />
83