28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wangapi ambao wana watoto walemavu ama kuna jamii ambayo ina mlemavu. Mlemavu katika jamii tangu kitambo ni mtu<br />

ambaye amedharauliwa sana na huwa ni kama laana katika jamii. Na hio kweli imekuwa ni<br />

Com. Wambua: Tumsikize mwenzetu hapa tafadhali. Excuse me, can you organize yourself so that you dont disrupt the<br />

proceding, we cannot have two or three at a time or maybe.................(inaudible) to record the .................(inaudible) outside<br />

there. I think it will be better. Nendeni nje hapo tafadhali mujiandikishe<br />

John Nyagaka: Venye nilikuwa nasema, mlemavu katika jamii tangu kitambo amekuwa ni kama laana. Na utapata kwa<br />

muda mwingi huyu mlemavu hapewi nafasi na hata kwa serikali yetu, ni ajabu sana serikali yetu ilikuwa inadharau mtu mlemavu<br />

sana mpaka wakati wa multi-party ilipo ingia ndio kidogo imeanza kutambua umuhimu wa yule mlemavu. Kitambo haungeweza<br />

kupata mlemavu bunge na ni kitu cha kushangaza kwamba mlemavu ni binadamu, anataka huduma kama yule mwingine lakini<br />

serikali haimtambui. Ningependa kutoa maoni yangu na yangekuwa ni kama sheria ipitishwe katika bunge ambayo<br />

itamuwezesha yule mlemavu kuonekana kama mtu yeyote yule. Ya kwanza ningependa mtu mlemavu akipata elimu yake, iwe<br />

ni ya bure. elimu wengi wetu ambao ni walemavu kama mimi nimepata elimu kupitia wa-missionari. Kama si missionari<br />

singepata elimu na kwa sasa hivi wamisionari wamejiondoa katika serikali yetu. Watoto walemavu wanapata shida sana.<br />

Serikali haioni hivyo, vituo vingi vya walemavu vimefungwa, serikali ikisema haina pesa, kumaanisha kwamba bila wale misionari<br />

wamejitoa, serikali haiendelezi elimu wa walemavu. Utapata mlemavu amewekwa kwa kiwango kile kile cha yule ambaye si<br />

mlemavu. Kwa hivyo ningependa serikali iangalie upande wa mtoto mlemavu kuwa hata yeye anahitaji elimu, anahitaji afya<br />

nzuri na iwe ni sheria kwamba yule mlemavu aangaliwe kabisa. Kitu cha pili, akisha maliza shule, anaweza kuwa amefaulu vizuri<br />

sana. Ni ajabu kwamba mlemavu ukituma application kwa kampuni yoyote ile, yule mwajiri hatajua kwamba wewe ni mlemavu<br />

wakati umetupa application hajakuona. Utakapo itwa kwa intervew, na kweli una qualifications za kutosha, utakapo kwenda<br />

kwa ile interview na mwajiri aone wewe ni mlemavu, huwezi kutembea, haoni, husikii, ile kitu atafanya, pengine atakupa shilingi<br />

elfu moja akwambie, ‘am sorry, ile kazi iko hapa wewe huwezani nao’. Lakini kulingana na qualifications zako, unaweza ile<br />

kazi. Sasa hio opportunity ambayo, I mean, kutuonea huruma hatutaki. Tunataka opportunity, nina elimu ya kutosha, nipe ile<br />

opportunity kama umeamua kuniajiri, niajiri uone kazi yangu, uone outcome yangu. Wacha kunionea huruma kwamba mimi<br />

siwezi, ninaweza. Kwa hivyo ningependa serikali ilitie mkazo kupitia parliament, kwamba kila kampuni ipeane percentage fulani<br />

ya kuajiri mtu mlemavu. Atleast kama pale Bamburi kungekuwa na walemavu ambao wanafanya kazi pale. Kuna watu wengi<br />

sana walemavu wamesoma, lakini ukienda bamburi pale pengine huwezi kupata mlemavu, kwa nini, hawezi kazi lakini<br />

qualifications, certificates, anazo. Kwa hivyo tungependelea iwe ni mjadala bunge ipitishe iwe ni sheria kwamba kila kampuni<br />

ipate kupeana nafasi kwa mtu ambaye ni mlemavu. Kitu kingine, kuna hizi funds zinakuwa managed, nizawalemavu ndio kama<br />

zile wakati mwingine serikali imechanga funds za walemavu. Lakini utapata wale wanazi manage si mtu mlemavu. Utapata mtu<br />

anazi manage ni mtu ambaye anatembea vizuri, hajui shida za mlemavu, uki apply ile fund, hupati na unashangaa sasa ile fund ni<br />

ya nini. Haikufikii wewe, ukitaka huipati, sasa unashindwa hii fund basi haja gani ikachangwa kwa kutumia jina lako na hauipati.<br />

Kwa hivyo tungependa parliment iangaliwe, iwe ni sheria ya kwamba ile kitu iwe governed na mtu ambaye ni mlemavu. Hata<br />

pahali, institutions kama Bombolulu, iwe walemavu wamepewa<br />

109

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!