28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Tuna kunyua mchanga, hakuna dawa kabisa, kabisa, without exageration. Hakuna dawa. Tunakunyua mchanga,<br />

ukifungulia. Je, hii jin tulibandikua na Serikali aki saidiana na yule mwenye shamba at squarter, ni nini hio? Squarter ni<br />

nani?<br />

Com. Wambua: Asante sana Bwana Sevele. Jiandikishe hapa tafadhali. Sass tutamuita Mwachatamu. Mwachatamu yuko?<br />

Mwachatamu: Jina langu naitua Mwachatamu Juma Hassan kutoka Vok, Kisauni. Maoni yangu, natka kila mwananchi ya<br />

Kenya awe na makao kamili ya kuishi. Kila mwananchi wa Kenya awe na makao.<br />

Com. Wambua: Fanya haraka kidogo.<br />

Meachatamu Juma Hassan: Mashamba yote ambao kwamba amemilikiwa na watu binafsi yachukuliwe na Serikali.<br />

Serikali ya nchi ya Kenya na pendelea iwe ya majimbo.<br />

Dini ya ……… (tape complete)<br />

Speaker: Ukiwa unagundua shamba yako iko na Gold au mercies, Serikali inasema vitu yako ni nne tu, sasa si kama unapata<br />

Gold pale, lazima uhame uende pahali pengine, tunataka Bwana Commissioner hiyo ibandilishwe, hiyo ni haki ya mtu, pale<br />

umepewa title deed na ni shamba lako, iwe kabisa pale ni Mungu amekumiliki ukapata bahati pale, ukapata Gold pale, upewe<br />

barua uuze ile Gold, lakini si uje unyanganywe na Serikali tena uambie ni mali ya Serikali .<br />

La tatu na mimi namalizia sasa, mambo ya maji, katika Coast tunalipa maji kwa Minister <strong>of</strong> water, mpaka iko kodi ya kulipa ile<br />

dawa ya kuwekwa maji. Saa hii Bwana Com. tunakunywa mchanga Mombasa, hata ni bahati umepata hawa watu hapa.<br />

Ungepata mtu mmoja hapa. Hakuna dawa kabisa, kabisa without exgerations. Je hii jina tulibandikwa na Serikali, akisaidiana<br />

na ule mwenye shamba eti Squater, nina huyo?<br />

Com Paul: Asante sana Bwana (inaudible) jiandikishe hapo tafadhali. Sasa tutamuita Mwacha Tamu, Mwacha Tamu yuko,<br />

Interjection inaudible<br />

Com. Salome: Uanze na jina lako.<br />

Mwacha Tamu Juma Hassan: Jina langu naitwa Mwacha Tamu Juma Hassan, kutoka Vok Kisauni, maoni yangu, nataka<br />

kila Mwananchi wa Kenya awe na makao kamili ya kuishi, mashamba yote ambayo kwamba imelikiwa na watu binafsi, ya<br />

73

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!