28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Halafu tulikuwa tunataka tuwe na mwanamke, ambaye atakuwa na meza yake ya kislamu, ambaye mama yule ikiwa mimi kama<br />

mama nina kasoro na mume wangu nisiende moja kwa moja mpaka kwa mwanamume nikamuelezee yale matatizo yangu,<br />

kwasababu matatizo mengine ni ya ndani. Tena, huyu Rais sipendi awe na vyeo chungu nzima yeye awe ni amri mkuu wa jeshi,<br />

ama ni nani ama nani yani vyeo chungu nzima anavyo yeye, awe atapunguziwa mamlaka ya vyeo. Akina mama wapewe nafasi<br />

ya Mbunge maalumu katika Bunge ama achaguliwe<br />

Com Paul: Tupatie mama nafasi tafadhali, kuna kelele nyingi hapo,<br />

Ms Riziki: Awe achaguliwe Councillor maalumu wapewe nafasi akina mama, achaguliwe Mbunge maalumu ama Councillor<br />

maalumu. Jambo jingine nikuhusiana na watoto, kuna pesa ambazo pengine huwa za tengewa watoto, kama bursary hivi,<br />

ambazo huwa zaingia mahali ambazo hasitahili, kwa mfano tuliambiwa kuna pesa zilikuja ziko Mombasa zilipewa Councillor<br />

ambaye atasimamia Busary ya watoto ama mambo ya elimu, sasa hizi pesa hazifikii yule mama mnyonge na atashidwa<br />

kusomesha watoto yake, kwa maoni yangu mimi ilikuwa napendelea Serikali iweke kiwango Fulani cha katwa kuwekewa<br />

mtoto ule ako tumboni, mpaka atakapozaliwa, mpaka atakap<strong>of</strong>ikia umri ya kwenda skuli. Hiyo ndiyo nilikuwa nayo. Asanteni<br />

sana.<br />

Com Paul: Asante sana mama jiandikishe hapo tafadhali sasa nitampatia nafasi Omari Salimini, kwanini hata jina lako<br />

limeandikwa,<br />

Omari Salimini: Ndio hiyo taabu hiyo sasa twa taka majimbo kwasababu ya taabu hiyo.<br />

Com Paul: Endelea, na unatoa maoni kama individual, pia kisha kama mwakilishi wa Baraza la maimamu kwa upande huu,<br />

nitakupatia dakika tatu kwasababu umekaa dakika tatu<br />

Omari Salimini: (in venacular) Twamshukuru mwenyezi mungu kwa kupata fursa hii ya leo, mimi maoni yangu yalikuwa<br />

kwanza nizingumzie habari ya Kadhis court, akina mama wamejaribu vyakutosha kwa sababu ni uwanda wangu upande huu,<br />

ma Commissioners nawaombea mungu awabariki muweko katika hii kazi.<br />

Com Paul: Kidogo kidogo ebu tafadhali Bwana Omari, wale ambao wako na simu za mikono tafadhali simeni, there are<br />

interfering with the recording <strong>of</strong> this hearing. Endelea mzee.<br />

Mr Omari: Ma Commissioners nawaombea mungu awabariki kwa uvumilivu moja mnaopata, kwasababu natoa hekaya moja<br />

iliotokea kakamega, mama mmoja alitoa maoni yake kuhusu haki za kibinadamu na hakuisoma hii Katiba, maana neno Katiba<br />

ni baina ya mtawala na mtawaliwa, ndio ni mkataba wa baina anayetawala na aliyetawaliwa, yule mama Commissioners, mimi<br />

89

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!