verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mkwaya Raymond Cheko: Hivi tunaona kwa sababu hata tunapo zaa watoto wengi, watoto ndiyo wanapata shinda si nyinyi<br />
wazee. Tena tu-discourage polygamy. Polygamy pia inaleta musongamano wa watoto na inafanya watoto kuwa wana rada<br />
rada ovyo ovyo. Tafadhli Bwana Mwenyekiti ni malezia.<br />
Youth wamekuwa wakitesika sana hivyo pasi wamjetupukinza katika drug abuse, child labour, early marriage, abortion,<br />
prostitution. Tungependekeza vijana kuwe na Tume ya kushugulikia mambo ya vijana. Tume hii ietwe Nationa Youth<br />
Commission. Tume hiyo itangalia mambo ya elimu ya vijana, employment, sport, health na politics.<br />
Com. Pastor Zablon Ayonga: Asante, asante munda wako umekwisha naukapita. Tumpe maandishi ili umesema uko nayo.<br />
Mohamed Omari Mugumba.<br />
Mohamed Omari Mugumba: Kwanza Ni na ombi kupitia Tume hii ya Marekibisho ya Katiba ikwa mtaniruhusu ndiyo ne<br />
endelee kutoa maoni yangu Pointi mbili pakee yake.<br />
Ombi langu ne kwamba ile tume ya Njonjo muiyambie irundi hapa kama vile mulivyo kuja nyinyi leo. Ilikuja lakini haikukuja<br />
Kisauni, na haya maoni yote ambayo ni nayo toa hapa yanaumiza wakanzi wa Kisauni Kwa hivyo ningeomba Tume hiyo ya<br />
Njonjo inje hapa Mlaleo Primary School kama vile mulivyo kuja nyinyi. Kwa sababu matatizo yote yalifanywa na huyu Njonjo<br />
na tuna maswali ya kumulinza.<br />
Kwa hivo Pointi zangu ni pili tu: kwanza na sikitika kuwona kwamba Katiba iliyoko sasa na Serikali iliyoko ilitilia manani sana<br />
wanyama, kuwapa makao kuliko binadamu, kwa sababu wanyama wametengwa buga zao kule na huwenzi kusikanyaka,<br />
ukikanyaka unasitakiwa lakini binadamu ndiyo ambayo wamewachwa nyuma mpaka tunaabia tu-masquanter.<br />
Hasa nikezungumzia zaidi ni Pwani nzima lakini zaidi hapa upande wa Kisauni, kwa sababu aradhi hizi za Kisauni zilitolewa<br />
zamani sana na hayo waliopewa aradhi hizo hawako tena ulimwenguni, wali walio shikilia ne watu ambao wanatunyanyasa hivi<br />
sasa ambao wanataka kutulipisha kondi ya kila mwenzi.<br />
Kuna sheria apabo sijue hii sheria ilitoka wapi ya kwamba ati a House without Land. Nashangaa mimi maanake ata mumia<br />
mwenyewe umemie chini ya aradhi hii nyumba ambayo inaampiwa a House withou land ne sheria ya ina gani.<br />
Pili nikimalenzea katika zile pointi zangu pili nilizo sema ne khusu mambo ya ma-dalali, au Auctioneers. Katika hayo ambayo<br />
wametunyanyasa kwa mambo ya kulipa rent wao upitia kwa Madalali na wanatutia ngarama sana kwa sababu wanapitia katika<br />
hawo Madalali na kutaka kunza hizo nyumba zetu ambazo tumejenga katika aradhi inzi ni nazo zizungumuzia , hawapitii katika<br />
njia ya sawa.<br />
45