28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mkwaya Raymond Cheko: Hivi tunaona kwa sababu hata tunapo zaa watoto wengi, watoto ndiyo wanapata shinda si nyinyi<br />

wazee. Tena tu-discourage polygamy. Polygamy pia inaleta musongamano wa watoto na inafanya watoto kuwa wana rada<br />

rada ovyo ovyo. Tafadhli Bwana Mwenyekiti ni malezia.<br />

Youth wamekuwa wakitesika sana hivyo pasi wamjetupukinza katika drug abuse, child labour, early marriage, abortion,<br />

prostitution. Tungependekeza vijana kuwe na Tume ya kushugulikia mambo ya vijana. Tume hii ietwe Nationa Youth<br />

Commission. Tume hiyo itangalia mambo ya elimu ya vijana, employment, sport, health na politics.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: Asante, asante munda wako umekwisha naukapita. Tumpe maandishi ili umesema uko nayo.<br />

Mohamed Omari Mugumba.<br />

Mohamed Omari Mugumba: Kwanza Ni na ombi kupitia Tume hii ya Marekibisho ya Katiba ikwa mtaniruhusu ndiyo ne<br />

endelee kutoa maoni yangu Pointi mbili pakee yake.<br />

Ombi langu ne kwamba ile tume ya Njonjo muiyambie irundi hapa kama vile mulivyo kuja nyinyi leo. Ilikuja lakini haikukuja<br />

Kisauni, na haya maoni yote ambayo ni nayo toa hapa yanaumiza wakanzi wa Kisauni Kwa hivyo ningeomba Tume hiyo ya<br />

Njonjo inje hapa Mlaleo Primary School kama vile mulivyo kuja nyinyi. Kwa sababu matatizo yote yalifanywa na huyu Njonjo<br />

na tuna maswali ya kumulinza.<br />

Kwa hivo Pointi zangu ni pili tu: kwanza na sikitika kuwona kwamba Katiba iliyoko sasa na Serikali iliyoko ilitilia manani sana<br />

wanyama, kuwapa makao kuliko binadamu, kwa sababu wanyama wametengwa buga zao kule na huwenzi kusikanyaka,<br />

ukikanyaka unasitakiwa lakini binadamu ndiyo ambayo wamewachwa nyuma mpaka tunaabia tu-masquanter.<br />

Hasa nikezungumzia zaidi ni Pwani nzima lakini zaidi hapa upande wa Kisauni, kwa sababu aradhi hizi za Kisauni zilitolewa<br />

zamani sana na hayo waliopewa aradhi hizo hawako tena ulimwenguni, wali walio shikilia ne watu ambao wanatunyanyasa hivi<br />

sasa ambao wanataka kutulipisha kondi ya kila mwenzi.<br />

Kuna sheria apabo sijue hii sheria ilitoka wapi ya kwamba ati a House without Land. Nashangaa mimi maanake ata mumia<br />

mwenyewe umemie chini ya aradhi hii nyumba ambayo inaampiwa a House withou land ne sheria ya ina gani.<br />

Pili nikimalenzea katika zile pointi zangu pili nilizo sema ne khusu mambo ya ma-dalali, au Auctioneers. Katika hayo ambayo<br />

wametunyanyasa kwa mambo ya kulipa rent wao upitia kwa Madalali na wanatutia ngarama sana kwa sababu wanapitia katika<br />

hawo Madalali na kutaka kunza hizo nyumba zetu ambazo tumejenga katika aradhi inzi ni nazo zizungumuzia , hawapitii katika<br />

njia ya sawa.<br />

45

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!