28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kule ambako ni mjini basi wanaweza kuingiza kadokado wa Sharif Nassir huko Central, na sisi tujisimamie wenyewe.<br />

Com Paul: Malizia tafadhali.<br />

Mr Joseph: Sawa sawa, tukiwa na Mbunge wetu na macouncillor wetu na kila kitu, mambo ya maji ya maji tungependelea<br />

tuwe na flat rates ya shillingi mia 200 kila nyumba, hata kama unatumia maji hayo kivipi iwe flat rated kamavile Bara inavyo<br />

fanyika. Mambo ya stima kila nyumba ichargiwe shillingi mia nne, na ikiwa kuna home industries ifike kama shillingi 1000 na<br />

ikiwa kuna industries inategemea na ile Idara Power and Lightening kuwacharge kisawasawa.<br />

Upande wa uvuvi watu wengi wameeleza, na nimesema hapa kwamba uvuvi watu wa hapa Pwani wanaonea,kwavile watu wetu<br />

wanatumia madao, na foreigners wanatumia trollers na inakuwa t<strong>of</strong>auti kubwa sana, kwa hivyo wavuvi wetu wa hapa wapeewe<br />

nafasi wafanye vile wanavyotaka kwasababu hata samaki wale wanaovua baharini ni kidogo kidogo, na hiyo ndiyo wanafanya<br />

ili watoto wao wasome.<br />

Habari ya city council resources, kwa vile Pwani imebahatika na kuwa na makampuni yote makubwa yakokatika area ya Pwani<br />

e.g Bamburi, Oil refineries, Kenya pipeline na mengineo mengi, tungependelea kwamba makampuni kama hayo yawe<br />

yanatoshwa ada maalumulya kusaidia City Council yetu, ili kuondosha matatizo ya mishahara na kutengeneza Barabara na<br />

kadhalika. Vile vile watu wa kisauni wanapendelea mambo yachakula, price control, irudi kama zamani. Kama chakula muhimu<br />

kama unga wa ngano, unga wa mahindi,<br />

Com Paul: Dakika niliyo kupatia zimeisha.<br />

Mr Muhamed: Mchele na kadahalika, nipatie dakika mbili.<br />

Com Paul: Hiyo sasa utachelewesha kidogo.<br />

Mr Muhammed: Dakika mbili tu.<br />

Com Paul: Memorandum tutaisoma,<br />

Mr Muhammed: Ni sawa lakini dakika mbili nimeomba.<br />

Com Paul: Kwa hivo nitakupatia nusu dakika umalize, tafadhali.<br />

Mr Muhamamed: Haya, tunakwenda kwa Adminstration leaders, tunapendelea kwamba, Administration leaders wote, katika<br />

82

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!