28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Serikali iko inaliona.<br />

Lingine, ninazungumzia habari ya polisi. Leo unapokuwa unasafiri usiku, watoka free town mpaka Nyali na wahuni wamejaa.<br />

Utafika Nyali? Ukipiga simu Nyali unaambiwa gari hakuna. Ukienda wewe Nyali unaambiwa weka mafuta, Serikali haina<br />

mafuta siku hizi. Nani mwenye kuumia? Mwananchi, lakini kura zitoke hapa, hapa kwetu, kura zitoke hapa, twakataa. Ndipo<br />

ndugu angezungumzia habari ya majimbo ni kweli.<br />

Tuliambiwa Wamaasai walikwenda katika kiwanja cha (?) huko kwao, Narok, wakazingira kile kiwanja<br />

wakasema mtatuwandika kazi hamtwandiki? Ero! Tunataka kazi… Wakaandikwa kazi, Wamaasai.<br />

(End <strong>of</strong> tape)<br />

Haya yote ninayatoa kwa sababu Serikali haituthamini. Inathamini pesa za korti, refinery na ma hoteli na kuleta watu wao kuja<br />

kuwaandika. Sisi tubaki hapa kama watumwa, kazi kuwapigia kura tu. Ndivyo twasema, katika umri wangu wa miaka hamsini<br />

na nane, nasema nalikataa na wananchi mkatae!<br />

Kisha ninazungumza juu ya uhuru wa kuabudu. Uhuru wa kuabudu umechafuliwa nchini Kenya. Kwa nini Waislamu tunyamaze<br />

kimya, Wakristo tunyamaze kimya ikiwa mwanawe anakwenda tupu uchi? Baba wataka kuchungulia mwanao?<br />

(?) na hata husemi! Wakristo twanyamaza, Waislamu twanyamaza! Imekuwa mpaka leo watu wakienda makanisani<br />

ajipamba ka ambaye Yesu ataka girlfriend!<br />

(Laughing and clapping from the audience)<br />

Wajipamba wale kabisa! Wale kama ni bibi arusi waingia kanisani! Uhuru wa kuabudu huo. Katiba yetu tafadhali ichunguze<br />

vitu kama hivyo. Vichunguzwe sana. Na hatutaki kuona gari ya polisi mtaani ikiinga, ukiona imejaa ni walevi watupu na kortini<br />

hafiki! Jamani poleni kama kuna mlevi hapa, nitakusema bure tu.<br />

(Laughing from the audience)<br />

Akichukuliwa akifika Nyali apigwe fine arudi nyumbani, kweli urongo?<br />

Response from the audience: Kweli.<br />

Harry Philip Mbai Njoro Ali: Polisi wamekuwa korti. Serikali haiko haioni. Nimetembea bara mimi bwana, nimeona<br />

kunavilabu! Leo unashikwa wewe unaambiwa unakula pombe ya haramu, bia tu, pombe ya haramu. Kwa Mwenyezi Mungu,<br />

37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!