verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Serikali iko inaliona.<br />
Lingine, ninazungumzia habari ya polisi. Leo unapokuwa unasafiri usiku, watoka free town mpaka Nyali na wahuni wamejaa.<br />
Utafika Nyali? Ukipiga simu Nyali unaambiwa gari hakuna. Ukienda wewe Nyali unaambiwa weka mafuta, Serikali haina<br />
mafuta siku hizi. Nani mwenye kuumia? Mwananchi, lakini kura zitoke hapa, hapa kwetu, kura zitoke hapa, twakataa. Ndipo<br />
ndugu angezungumzia habari ya majimbo ni kweli.<br />
Tuliambiwa Wamaasai walikwenda katika kiwanja cha (?) huko kwao, Narok, wakazingira kile kiwanja<br />
wakasema mtatuwandika kazi hamtwandiki? Ero! Tunataka kazi… Wakaandikwa kazi, Wamaasai.<br />
(End <strong>of</strong> tape)<br />
Haya yote ninayatoa kwa sababu Serikali haituthamini. Inathamini pesa za korti, refinery na ma hoteli na kuleta watu wao kuja<br />
kuwaandika. Sisi tubaki hapa kama watumwa, kazi kuwapigia kura tu. Ndivyo twasema, katika umri wangu wa miaka hamsini<br />
na nane, nasema nalikataa na wananchi mkatae!<br />
Kisha ninazungumza juu ya uhuru wa kuabudu. Uhuru wa kuabudu umechafuliwa nchini Kenya. Kwa nini Waislamu tunyamaze<br />
kimya, Wakristo tunyamaze kimya ikiwa mwanawe anakwenda tupu uchi? Baba wataka kuchungulia mwanao?<br />
(?) na hata husemi! Wakristo twanyamaza, Waislamu twanyamaza! Imekuwa mpaka leo watu wakienda makanisani<br />
ajipamba ka ambaye Yesu ataka girlfriend!<br />
(Laughing and clapping from the audience)<br />
Wajipamba wale kabisa! Wale kama ni bibi arusi waingia kanisani! Uhuru wa kuabudu huo. Katiba yetu tafadhali ichunguze<br />
vitu kama hivyo. Vichunguzwe sana. Na hatutaki kuona gari ya polisi mtaani ikiinga, ukiona imejaa ni walevi watupu na kortini<br />
hafiki! Jamani poleni kama kuna mlevi hapa, nitakusema bure tu.<br />
(Laughing from the audience)<br />
Akichukuliwa akifika Nyali apigwe fine arudi nyumbani, kweli urongo?<br />
Response from the audience: Kweli.<br />
Harry Philip Mbai Njoro Ali: Polisi wamekuwa korti. Serikali haiko haioni. Nimetembea bara mimi bwana, nimeona<br />
kunavilabu! Leo unashikwa wewe unaambiwa unakula pombe ya haramu, bia tu, pombe ya haramu. Kwa Mwenyezi Mungu,<br />
37