28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Halafu sisi, tukipata vitu vile, tutakuwa twenda na sheria ya dini ya Mwenyezi Mungu, tupate vitu vile.<br />

Tukiendelea tena, wasichana wetu wakae bega kwa bega na wanaume …………….. (inaudible) na wanawake<br />

……………… (inaudible), na waume nao …………………. (inaudible) kuoa wanawake wasimokuolewa. Kuna<br />

kugurumbana gurumbana ndio wacha mwanamke sasa yuafanya mambo mabaya akitoka pale, maanake, kitabu chetu cha<br />

kataa mme na mke wawe wakajongeleana.<br />

Nikiendelea tena, …………………… (inaudible) za wanaume mbali, na sturi zetu ziwe na wanawake nao wamegombana.<br />

Tukifuata tena mambo ya Kiislamu, ma-bar ni mengi sana, dirisha lako hili bar hilo, lo si ile, wasichana wetu hawana<br />

mwanamke, yuafika kwenya lodge na mwanamme, mtoto wa Kiislamu yuangalia, akiondoka nitafanya ualibifu. Sasa kwa<br />

hivyo sisi Waislamu, twataka tutengeze ma-shule zetu za Kiislamu, twataka tujengewe kila kitu chetu cha Kiislamu, maanake,<br />

kitabu chetu cha turuhusu mambo ya Kiislamu.<br />

Nikiangalia tena, ni kama kuhusu, hizi kazi zetu tulizonazo hapa sisi Waislamu – wana wetu …………… (inaudible), Waislamu<br />

wana wetu wavuta bhang, Waislamu wana wetu …………….. (inaudible), kwa sababu zile kazi wavulana hawana. Tujitahidi<br />

kusoma, kumusomesha lakini kazi hakuna. Na zile kazi, ikiwa ni manisipaa mia moja, tuwe ni sisi wenyewe hapa. Watu kumi,<br />

wawe ni wale wageni wetu. Na ikiwa ni pahali popote kwenye kampuni, …………………………………… (inaudible)<br />

ikiwa itakuwa ni …….. ………………….. (inaudible) finali hiyo, iwe itafuata mwendo ule, …………………….. (inaudible)<br />

wetu, tuseme watoto wote, na wa ndugu zetu wa kiume, wawe wataingia mtambo ule waendelee na kazi, halafu, wakipata kazi<br />

zile, roho zitakuwa na imani, kuna …………. (inaudible) utaondoka, kwa sababu mwana yule hana cha kukila, mamake na<br />

babake wamekuwa mtu mzima, hana cha kufanya. Tulikuwa tunabahari sisi wa hapa, watu wa Mkoa wa Pwani wote, wale<br />

wazee wasiokuwa na kazi wakienda baharini, baharini ku…………. (inaudible), hakuna mwananchi yeyote hawezaye kuenda<br />

baharini. Je! Waislamu, tutajisaidia na kitu gani?<br />

Com. Pr. Ayonga: Asante, asante mama.<br />

Asha Athumani Juma: Hatuna cha kufanya sisi watu wa hapa.<br />

Com. Pr. Ayonga: Asante, mama dakika zimepita, na asante kwa maneno yako ya ujasiri wote ambao umesema na tena<br />

mazuri kabisa. Sasa nitachukua watu wawili tu ndipo tufunge kwenda kwa “Sala”. Kuna Ngaumu Seif. Si jina limeandikwa<br />

vigumu, siwezi kulisoma vizuri, lakini kama unajisikia ilo jina linataka fanana na lako…… Seif, kuna Seif ambaye ni Ngwaumu.<br />

Response: Alikuwa hapa tu …………….. (inaudible)<br />

54

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!