28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ardhi, mimi nilijua ile kingereza Squater ni lipokuwa Bara, jana. Squatter ni nani ? kumbe ni mwafrika anayekaa katika shamba<br />

la mzungu sio. Basi karibu idadi kubwa ya wafrika wa nchi ni wa Squatter kama pande za malindi, mpaka Kilifi kote huko ni<br />

mashamba ya watu wasio wa Kenya lakini ni mali zao. Ukienda pahali pote utapata pahali pa kukaa lakini wewe utakuwa<br />

Squatter, kwa hivo maisha yako yote wewe ni squatter, squatter katika nchi huru mambo gani haya.<br />

Langu la mwisho, which is very important, nilipokuja hapa Town ni kakuta maskani ya Babu yangu, ninakakuta kuna watu<br />

ambao walipewa ardhi na vibaba zetu, yani ni wazungu waliokuwa Serikali ya wingereza kama acre 50, wakaambia<br />

wagawanye, na zilikatwa kado kado zikapewa watu mpaka leo wako, wakati Kenya walipewa uhuru in 1963, hiyo ndio<br />

ilikuwa mwisho wa vipande za ardhi,haijulikani ilikuwa aje na tukaambiwa hii ardhi tunakalia ni ya, Municipality mpaka wa leo,<br />

basi katika contribution ya ardhi, kuna marshati kama hayo ya, atakaye kuwa mmliki wa mwisho wa hii ardhi kabisa kabisa ni<br />

nani, hiyo inaitwa ultimate ownership, mpaka mufikirie ni nani atakayekuwa na mamlaka ya mwisho kabisa, kwasababu huyo<br />

mwenye mamlaka ya mwisho, anatakikana kabisa katika nchi hii, yeye ndiye mwenye uwezo wa kumuondoa. hata mwenye<br />

anauza viatu atoke hapa. Inatakikana Serikali inayoangalia ardhi kwa nchi mzima, ikupatie mahali pengine lakini iangalie ile mali<br />

ya nchi mzima sio kwa mtu mmoja.<br />

Com Paul: Mzee Walter ni takukata.<br />

Mr Walter: Na maliza.<br />

Com Paul: Maliza tafadhali.<br />

Mr Walter: lakini ultimate ownership inatakiwa, watu wanakubaliana, Serikali ni ya kuchunga haki ya watu, kwa hivo angalia<br />

mambo hayo.<br />

Com Paul: Asante sana Mzee Walter, jiandikishe pande ile tafadhali, sasa tutampa nafasi muheshimiwa (inaudible) sababu yeye<br />

ni mjumbe wa Kisauni, sababu yuko nasi siku ya leo, watu ni wengi wanao taka kuongea muheshimiwa na tunawapatia tu<br />

dakika mbili mbili, lakini wewe tutakuongezea tukidogo, kwa hivo ufanye hima.<br />

Muheshimiwa wa Kisauni: Hamjambo watu wa kisauni!<br />

Wananchi: hatujambo.<br />

Muheshimiwa wa Kisauni: Mimi sitaki kusema mingi kwa sababu, kesho wajumbe wote wa Pwani watakuwa na nafasi za<br />

kutoa memorandum zao kwa kamati ya kukusanya maoni ya Katiba Kenya mzima. Isitoshe ninayo nafasi nyingi saidi ya kutoa<br />

maoni yangu, kama mnavyojua Kisauni imebahatika kwamba katika ile kuu ya Bunge, mimi ni mmoja wa wale members, ni na<br />

75

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!