28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Sijui kuna kitu gani? Tumefaamikiana? Zote sisi tuko kwa kodi mmoja, Bwana Wambua Musili, twataka Jimbo, ndio suluhisho<br />

ya sisi hapa. Hakuan maswala ya kundanganyana hapa, ati kama ardhi, yote yatakuja baada ya Jimbo kulipata. Kwa hayo<br />

machache, asanteni.<br />

Com. Wambua: Tumeyasikia hayo. Tumuite Patrick Barawa.<br />

Patrick Barawa: Ma Bwana Commissioner, kwa jina mimi naitua Patrick Barawa, nimkaaji wa Kisauni Mlaleo na nina<br />

machache tu ya kuweza kuwaeleza kuhusu hio Constitution Review.<br />

Kwangu mimi, maoni yangu ni kwamba, Constitution tulio kua nayo ya kwanza ambao iko currently ni National Constitution na<br />

hii National Constitution, kama inavyo onekana ilikua ifaidishe kila mwananchi katika nchi ya Kenya. Lakini kwa sababu flani<br />

isizo weza kueleweke kwa wote tulioko chini, tumeshinda kupata fadia hii yote. Si Pwani pekee, bali katika Kenya nzima. Oni<br />

langu kuu katika hivi, ninge omba wana Constitution Review Committee members, kupendekeza kwamba hii National<br />

Constitution ambao ndio National Government tuliokua tunanaye, hii Katiba haikufadishal kila mwananchi na hasa Pwani.<br />

Nikisema hivi nikumaanisha hivi, ardhi ilioko Pwani au baada ya uhuru, ardhi kuko bara ilikombolewa halafu wakapewa<br />

wananchi wa kule bara. Pwani wetu hawakuweza kukumbolewa ikapewa mpwani. Hili ni jambo la kushangaza ambalo mpaka<br />

sasa utakuta wale waliokuja Pwani hii tulio wakiribisha katika Pwani hii, wakina Mazrui, ndio waliopewa mamlaka na vyeti hivi<br />

ndio leo hata sisi kuvipata wana pwani halisi ni shida. Ni jambo la kusikitisha. Ili niweze kufafanua, nitawacha hii kitu pale, ela<br />

nitaenda kwa step ya pili.<br />

Step yangu ya pili, tunalomba hasa kwa sisi Pwani, ili tuweze kufaidika kama wengineo wote katika Kenya, nikupata utawala<br />

wa Majimbo. Majimbo yenyewe tunaamini kwamba yataweza kuondoa ile Centralization power ambao hio imewekua mahali<br />

pamoja. Tukisema hivi naweza kupanulia mmoja, mbili. Ni juzi tu, sasa imewezua kurekebishwa, lakini haija rekebishwa sawa,<br />

sawa. Sema kwa mfano hivi mtu ametelewa na mkewo, sema kwa mfano wakatu huu sasa, mtu amemaliza kustafu, anataka<br />

kupata ile gratuity yake, kitu ichi ya gratuity huyu mtu aitamzidi aende Nairobi ili akaweze kupata gratuity, hii pesa yake. Ni<br />

jambo la kusamenesha kwa sababu lina chukua mdu mrefu tukienda Nairobi. Lakini ninge omba Wana Constitution Review<br />

Committee ituangalilie jambo hili kwa Serikali ili tuweze kupata kuona mamlaka ya kuweza kuomba rati wetu tunaweza kupata<br />

kwa urahisi.<br />

Pendekezo: Ningependa utawala wa majimbo ambao utafanya kuvunja mamlaka au devolution <strong>of</strong> powers kuipa mamlaka<br />

maeneo kamili.<br />

Pili, Serikali ya majimbo itaweza kuondoa the separation <strong>of</strong> powers kuweka hii mamalaka juu ya wale wananchi katika kila<br />

jimbo au kila mkoa. Hasa ninajua mengi yangeweza kuondolea katika mkuu ambao President ingewezwa kuwekua kwa<br />

Governor wa Mkoa. Ningependa, wana Constitution Review kwamba, kuwaomba hivi, ili basi maendeleo yaweze kupatikana,<br />

69

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!