verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mr Joseph: Kuhusu Judiciary, ningependekeza majuges wachaguliwe na Bunge badala ya Raisi, kwa sababu wakichaguliwa<br />
na Raisi watakuwa wakijali maslahi ya yule aliyechagua sio maslahi ya Wananchi. Katika maongozi ya mashtaka, iwe ikitoka<br />
kwa mkuu wa sheria ambaye ni kiongozi wa mmpaka chini, pasiwe na polisi anayefanya ya prosecution, kuajiliwe watu ambao<br />
wana utaalamu hata angalau a trainewe katika nyaja hiyo hata kama ni certificate in law ili prosecute cases sio polisi. Na hii<br />
itasaidia kubuni kazi maana yake vijana wengi wa trainiwa katika hiyo nyaja, badala ya kutumia polisi ambayo tayari ana<br />
mshahara anapata.<br />
Com Paul: Maliza<br />
Mr Joseph: Nimemaliza, asante sana na shukuru.<br />
Com Paul: Asante sana, kwa hivo jiandikishe huko, tumpatie nafasi Muhamed Ngumbi, jiandikishe hapo, tusikize Muhamed.<br />
Muhammed Ali Ngumbi: Jina langu naitwa Muhammed Ali Ngumbi, na mimi ndiye Secretary wa Kisauni Lands Lobby<br />
Group, kwanza nasema Saalamu waleykumu.<br />
Wananchi : Waleykumu saalamu.<br />
Mr Muhamed: Muheshimiwa, Bwana Ma Commissioners, ningependa mnipatie muda wa kutosha ili kupresent kesi yangu<br />
kwa watu wetu wa kisauni.<br />
Com Paul: Wa kutosha utakuwa ni dakika tano tu nitakuongezea mimi.<br />
Mr Muhammed: Hasinitoshi kusema ukweli.<br />
Com Paul: Ni hizo tu hakuna zingine<br />
.<br />
Interjection inaudible:<br />
Mr Joseph: Mimi nitakupatia Historia tu kidogo halafu nitaendelea na resolutions zetu. Kwa vile tulikuwa under the British<br />
protectorate from 1888 na tukiingia katika Kenya colony 1895, sisi tumekuwacolonized miaka 67, Kwani mnavyo jua Kenya<br />
ilikuwa imegawanywa mara mbili, upande wa juu ambao ni wa Bara, na upande wa chini ambao pia ulikuwa colonized and at<br />
the same time ulikuwa chini wa utawala wa sultan.<br />
Com Paul: Utusaidie kutupatie proposals maanake hiyo historia tumepewa.<br />
80