28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

miaka mitano ili zile faida zote ambazo ziko hapo kwetu wanazozichukua zitufaidishe ndio wao wachukue hizo pesa wazi bank.<br />

Maanake kuna ma shirika mengi sans kima hoteli sasa, hawateju pesa hapa. Pesa, tikiti, watu wanakatia huko, huko. Huku ni<br />

swimming pool pekee yake ndio zina katua.<br />

Kitu kingine, hii habari ya labour. Labour na vyama vya wafanyagi kazi. Kuna hizi hoteli. Hizi hoteli zina wananyanyasa sana<br />

watu kama sisi wengine ambao tumestafu mpaka sasa hatujapata pesa zetu mpaka sasa miaka mitano. Mtu anakaa anangojea<br />

pesa, notice yenyewe haja pewa, pesa za miaka alipewa akaambiwa utapata, hajapata. Na ukifika kule, kuna maskari<br />

wamewekua kule mlangoni wakuzuia mtu. Ukisema unataja kuingia hapa, unaambiwa huna ruhusa kuingia wewe sasa hata<br />

hujulikani tena. Lakini wakati ulipo kuwa unafanya kazi na nguvu zako zote miaka yote, ulikuwa unaweza kuingia hotelini<br />

ukafanya kazi na tajiri akafurahika kupata pesa kwa damu yako. Kwa hio mimi ningeomba vyama vya wafanyaji kazi vitiliwe<br />

sheria za mkazo na labour iwe na sheria kali ya kulinda haki ya mfanyaji kazi, mwananchi wa Kenya.<br />

Kitu cha mwisho nilikua, naona unachukua microphone unataka kuniondoa, lakini ninataka kusema kitu cha mwisho. Kitu<br />

changu cha mwisho ---<br />

Com. Wambua: Maliza tafadhali.<br />

Kadir Muga: Kitu changu cha mwisho, ni viwanda, hapa kwetu Pwani. Tuna viwanda ambavyo vinaweza kusaidia wananchi<br />

kama kule pale za Ramisi. Wale vijana ambao walikua wakifanya mitambo vya sukari Ramisi, walikuako wakifaidika kule,<br />

wakulima hivi kile kiwanja kikefungua, wafanyaji kazi hakuna, yani watu wanapata taabu. Na upande wa Kenya Cashew Nuts,<br />

hicho kiwanda kimefungua. Upande wa uvuvi kuna National Park katika bahari na hio zamani ukoloni kulikua hakuna National<br />

Park. Mvuvi alikua anaenda kuvua samaki mpaka kule pande za Kilifi na anapata biashara zake. Ningeombe Tume hii ikienda,<br />

iende ikawasilishe itufanyia hayo, Majimbo ndio tunataka hapa kulingana na mfumo wa Senate kutoka zamani Local<br />

Government vile ilivyo, Legislative Council ilivyo kuwa imepangiwa iwe ni hivyo hivyo. Hiyo ndio mimi naomba.<br />

Com. Wambua: Asante sana. Ujiandikishe. Nitamuita Sevele. Sevele?<br />

Simon Sevele: Naomba nionge niki simama.<br />

Com. Wambua: Okey, sawa sawa endelea tu lakini dakika ni mbili tu.<br />

Simon Sevele: Asante sana.<br />

1. Ya kwanza ----- mimi nawasalamia kwanza.<br />

71

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!