verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Com. Pr. Ayonga: Ngoja tafadhali. Ngoja tafadhali. Tunataka kufunga ili watu waende kwa “Sala”. Kwa hivyo,<br />
ninaposema watu wawili, ni time. Na tafadhali ni mimi ninaye manage time.<br />
Interjection (audience): ……….. (inaudible)<br />
Com. Pr. Ayonga: Nina uhuru huo.<br />
Response: Ameenda.<br />
Com. Pr. Ayonga: Ameenda. Na kuna ambaye anaitwa Patrick Makato au Makabo?<br />
Response: Makalo.<br />
Com. Pr. Ayonga: Ni wewe?<br />
Patrick Makalo: Kwa jina naitwa Patrick Makalo. Natoka kwa chama cha walemavu. Nataka kuzungumza kuhusu masirai<br />
ya walemavu kuhusu Katiba.<br />
Com. Pr. Ayonga: Ndio.<br />
Patrick Makalo: Kitu cha kwanza, ningetaka kusema ni kwamba, ningeliomba ma-Commissioners, ile alama ya kubagua<br />
watu walemavu, iondolewe kabisa katika jamii. Sisi walemavu ni watu ambao tumewekewa mipaka. Kwa hivyo<br />
tungeliwaomba, mipaka kama hiyo muiondoe.<br />
Kitu jengine ni kwamba, tungeliomba Tume hii, tunajua kwamba nchi ya Kenya ni mwana chama mmoja wa ma-taifa, na Katiba<br />
mikutano hii, tulipitisha asimio kadhaa ya umoja wa ma-taifa, kuhusiana na watu ambao wamelemaa. Na ikapitishwa asimio za<br />
kutosha kuhusiana na maisha ya walemavu. Ningelipendekeza kwamba, mambo kama haya yachukuliwe, na yasingatiwe na ya<br />
fuatiliziwe, maanake, yanausiana na mambo ya elimu kwa mtu mlemavu, mawaziliano, yaani, jinsi anaweza kupata usaidizi wa<br />
clutches, wheelchairs, na kumusaidia ili aweze kuwa anatembea vizuri.<br />
Katika masimio haya, alizungumzia mambo mengi kuhusu elimu, jinsi Serikali inaweza kuwasilikiza walemavu ili waweze<br />
kutengenezewa barabara, waweze kutembea vizuri, na wakati nyumba zinajengwa, zijengwe nyumba ambazo wanaweza ……..<br />
badala ya kutumia ngazi, zitumiwe …………. (inaudible) za kuweza kutembea na wheelchairs, na kadhalika. Na katika asimio<br />
hizo, yaona kwamba Serikali imetia mkazo kabisa kupata maagizo hayo.<br />
55