28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Pr. Ayonga: Ngoja tafadhali. Ngoja tafadhali. Tunataka kufunga ili watu waende kwa “Sala”. Kwa hivyo,<br />

ninaposema watu wawili, ni time. Na tafadhali ni mimi ninaye manage time.<br />

Interjection (audience): ……….. (inaudible)<br />

Com. Pr. Ayonga: Nina uhuru huo.<br />

Response: Ameenda.<br />

Com. Pr. Ayonga: Ameenda. Na kuna ambaye anaitwa Patrick Makato au Makabo?<br />

Response: Makalo.<br />

Com. Pr. Ayonga: Ni wewe?<br />

Patrick Makalo: Kwa jina naitwa Patrick Makalo. Natoka kwa chama cha walemavu. Nataka kuzungumza kuhusu masirai<br />

ya walemavu kuhusu Katiba.<br />

Com. Pr. Ayonga: Ndio.<br />

Patrick Makalo: Kitu cha kwanza, ningetaka kusema ni kwamba, ningeliomba ma-Commissioners, ile alama ya kubagua<br />

watu walemavu, iondolewe kabisa katika jamii. Sisi walemavu ni watu ambao tumewekewa mipaka. Kwa hivyo<br />

tungeliwaomba, mipaka kama hiyo muiondoe.<br />

Kitu jengine ni kwamba, tungeliomba Tume hii, tunajua kwamba nchi ya Kenya ni mwana chama mmoja wa ma-taifa, na Katiba<br />

mikutano hii, tulipitisha asimio kadhaa ya umoja wa ma-taifa, kuhusiana na watu ambao wamelemaa. Na ikapitishwa asimio za<br />

kutosha kuhusiana na maisha ya walemavu. Ningelipendekeza kwamba, mambo kama haya yachukuliwe, na yasingatiwe na ya<br />

fuatiliziwe, maanake, yanausiana na mambo ya elimu kwa mtu mlemavu, mawaziliano, yaani, jinsi anaweza kupata usaidizi wa<br />

clutches, wheelchairs, na kumusaidia ili aweze kuwa anatembea vizuri.<br />

Katika masimio haya, alizungumzia mambo mengi kuhusu elimu, jinsi Serikali inaweza kuwasilikiza walemavu ili waweze<br />

kutengenezewa barabara, waweze kutembea vizuri, na wakati nyumba zinajengwa, zijengwe nyumba ambazo wanaweza ……..<br />

badala ya kutumia ngazi, zitumiwe …………. (inaudible) za kuweza kutembea na wheelchairs, na kadhalika. Na katika asimio<br />

hizo, yaona kwamba Serikali imetia mkazo kabisa kupata maagizo hayo.<br />

55

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!