28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Interjection inaudible:<br />

Mr Joseph: Mengi yamezungumuzwa, yangu nitazungumzia mada mbili tu peke yake, ya kwanza nitazungumzia kuhusu<br />

Adminstration, yani utawala, ya pili nitazungumzia Judiciary Mahakama. Mimi yangu maoni ningependekeza kwamba Raisi<br />

awe na nguvu zile zile, lakini kuna kitengele Fulani, ni maoni yangu,<br />

Interjection inaudible:<br />

Com Paul: Tafadhalini tunaweza kutulia<br />

Interjection inaudible:<br />

Com Paul: Sasa wacha ni seme hivi, mmekosea, maana ake sisi tangu tuketi kutoka asubuhi, tunasikiza maoni ya kila mtu, hata<br />

yakiwa tunayapenda, akiwa hatuyapendi, kwa hivyo tupatie huiyu nafasi aseme ile anataka kusema, kwa hivyo ikiwa huyapendi<br />

ni maoni yake, sio ati itakuwa Katiba wacha aseme yale anayotaka kusema, endelea mzee.<br />

Mr Joseph: Yangu ni kwamba Raisi awe na nguvu zile zile lakini vitengele Fulani zibadilike, kama moja ya kusema Raisi<br />

asiwe juu ya sheria, hiyo ibandilishwe, ili akikosea adhimbiwe kama wanaKenya wengine, na pia hawa Adminstrators kama<br />

kutoka PC kurudi chini wachaguliwe na Public Service Commission. Ili anapokosa na asibadilishwe akapelekwa sehemu ingine<br />

kama ilivyo sasa. Maana ilivyo sasa ni Machiefs na Manaibu wao peke yao ndio huchaguliwa na Public Service Commission na<br />

kwa hivyo anajali masilahi ya yule mtu aliyemteua. Pia ningependekeza kwamba nguvu za Chief sipunguzwe na wafanye kazi<br />

kama watumishi wengine wa Serikali, juu Chief huripoti <strong>of</strong>isini saa tano, na saa sita ametoka. Pia ningependekeza kwamba<br />

Kenya ibaki nchi moja Unitary State, baada ya kuwa na majimbo, maana ake hapa Pwani kwetu,<br />

Com Paul: Mupeni nafasi, apewe nafasi aseme yale anasema, tutampa nafasi azungumze maana kila mtu amepewa nafasi yake,<br />

kwa hivo endelea.<br />

Mr Joseph: Hapa Pwani kwetu, tuko na port ambayo inaleta mapato, na kuna tourism na kuna sehemu zingine za Kenya kama<br />

North Eastern kule, hakuna chochote ya weza kuleta maendeleo ya ile Mkoa, kwa hivo tuseme ati Pwani ijitenge, kwa mfano<br />

kama Western wana miwa, sukari iko, samaki inatoka ziwani, Rift valley iko na pryrethrum, iko na majani, iko na wheat, Mkoa<br />

wa kati uko na majani na kahawa, je North Eastern watafanyia aje kujiendelesha.<br />

Com Paul: Sasa tafadhalini, inaonekana hamtaki tuendelee, na kama hamtaki kweli tuendelee sisi tutafunga na <strong>of</strong>isi na tutaenda,<br />

kwa hivo tumpatie nafasi azungumze yale ambayo anataka kusema halafu tuendelee, maoni yake ikiwa t<strong>of</strong>auti na yako mpe<br />

nafasi, maana ake hiyo ni haki yake.<br />

79

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!