28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kama ilivyo kuwa imeanza DDC baadaye ikisha imekuja imevunjuz nguvu, hatuelewi ni kwa nini? Hiyo DDC au hayo mamlaka,<br />

tukisha pewa sisi wana Pwani, tutaweza kuangalia elimu yetu vile inavyo weza kuendelea, hospitali yetu, mafunzo kama colleges<br />

na kadhalika. Leo hivi utaona shida ambazo ziko za waalimu mashule, kwa mfano, mwalimu yuko hapa na hakuna Serikali<br />

yoyote duniani, hakuna mkuu yoyote katika dunia ambae apitii mkona wa mwalimu. Lakini utashangaa mtu anaempa elimu<br />

President, mkuu yoyote katika nchi, kule ananyanyaswa anapewa shilling elfu tatu. Mbunge anapewa shillingi elfu mia tano na<br />

yeye alipata elimu, yaweza kusimamia jambo kama hili kutokona na mwalimu huyu, huyu. Sisemi ati na kashifu Mbuge wangu.<br />

Kwanza nampende na ndio nampigia kura wakati customer hii. Na hata akisimama wakati huo, nikiambiwa ni kura, mimi<br />

nitampigia customer hii. Lakini ni jambo la kusikitisha kwamba mwalimu anasononeshua.<br />

Com. Wambua: Patrick, malizia, malizia na upeane memorandum pande hio.<br />

Patrick Barawa: Thank you, Sir, nashukuru sana Hata ume ni confuse. Let me conclude it. Nikusema hivi. Elimu yetu kwanza<br />

ya sasa ambae ni ya mfumo ya 8-4-4(nane, nne, nne) imeleta mzogo kwa watoto ambao wakatu huu wanabeba mikoba<br />

mikubua, mikubua na vitabu vingi na hatuoni faida yake. Tuki compare hii hali na ile yetu tuliokuwa nayo wakatu ule wa zamani,<br />

kwanza hata ulikua unafanya mtihani unapewa cheti cha performance sio cheti ya kuonyessha kwamba ati umemaliza masomo.<br />

Ukipata ku pass wewe, una ambiwa umepata grade A kama tuseme School Certificate, una ambiwa wewe ni Division One,<br />

Division Two, Division Three, sasa haijulikani Division One ni nani, Division Two nani, Division Three ni nani? EACE ni nani?<br />

Unapata tu mtu ni Certificate <strong>of</strong> completion <strong>of</strong> education but not performance. Ndio naomba wana Committee wa Review<br />

Commission wamuambie Bwana mkuu wa Serikali ambae anahusikana na mambo haya atusaidia kutuletea ile Serikali<br />

tunaoitaka ya Majimbo. Asanteni sana.<br />

Com. Wambua: Jiandikishe hapo, Bwana Patrick. Tutamuita Bwana Kadir Muga, Kadir? Tafadhali tunakupa dakika mbili tu<br />

na kama uko na memorandum kuzie tu yale ya muhimu halafu injiandikishe hapo tafadhali.<br />

Kadir Muga: Asanteni. Kwa majina naitua Kadir Hamisi Munga. Mimi ni mzaliwa wa ziwa wa ngo’mbe.<br />

Mimi nilikua nina machache ya kueleza kulingana na ------- hayo mengine nitayatoa pale.Mimi. Mimi ninaongeza tu yale<br />

kwamba Katiba zifundishwe katika zile ----zote na vile vikundi vya maendeleo na mashuleni maksudi sisi wananchi tujue Katiba<br />

ya nini. Hivi sasa nikama mnatasumbua tu kutuambia Katiba, Kariba, na kuna wazee wetu wengine hapa hawaijui hiyo kitabu<br />

hata hawajaiona kutoka tupate uhuru.<br />

Kitu kingine ni biashara. Katika hizi biashara, kuwe na ratiba ile kama ya zamani ya kikoloni. Kuna karatasi ya kuonesha bei<br />

ya bidhaa iko pale, mwananchi anajua vipi ataweza kununua bidhaa hio si kama sasa vile maduka yamepewa uhuru wengine<br />

wanauza shilingi mbili, shilingi tatu, shilingi nne, hatujui tunamlekeo wapi wakibiashara. Na wale wanyaji biashara ya kigeni, zile<br />

pesa ambazo wanaweka kule nje, zizuhuliwe. Pesa zote waweke Bank ya National Bank, bank yetu ya Kenya kwa muda ya<br />

70

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!