28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mambo ya kwamba, ukabila hauwezi kuisha. Kama munataka ukabila uishe, mutuambie Katiba hii igeuke, kila mtu apiganie<br />

mahali kwake.<br />

Elimu – tukiingia upande wa elimu: sisi tuna taabu sana Bwana. Watu wa Pwani hatujapata uhuru. Bado tunaumia. Elimu<br />

tunapata lakini hatupati kama kawaida. Wakati wa university, watu wanapelekwa wanaenda kusoma university bure, tulikuwa<br />

sisi hatupewi nafasi hii. Lakini sasa watu wanalipa mpaka university, ndio unaweza kukuta watu wa Pwani ambao wana nafasi<br />

sita, tano. Kwa hivyo, hatujapata uhuru. Kama university tunapata hapa ………….. (inaudible) hau Shimo la Tewa, hau<br />

tukajengewa hapa ………. (inaudible), ingekuwa tu sasa watu wetu washasoma university. Ilo ukiuliza, waambia sisi watu wa<br />

Pwani tumezoea kukaa chini za miembe. Ndio msemo ulioko………….. huo ndio wananyanyazwa, na ndio sisi tunazungumza.<br />

Si maoni ya Hassan Mboga peke yake, ni maoni ya wengi. Hivi usiwaone hawa waliokaa hapa, wamekaa hapa, lakini<br />

wakitoka kule nje, wanamsemo huo huo. Hapa wataogopa kusema kwa sababu, mtu akozoea. Hasa wanawake wetu wa<br />

Kiislamu, munawadhudumu kuwaweka mbele ya watu wengi namna hii kuzungumza.<br />

Katika hii Tume, ungekuwa umeweka mahali pa wanawake kuenda kutoa maoni yao, kabla ya mbele ya waume hawa.<br />

Kwa hivyo Bwana Commissioner, ningezumza sana, lakini umesema time yangu imeisha. Na mimi naweza kukupa ruhusa<br />

kwamba uendelee na wakati wako. Lakini, maoni yangu, mutupe Majimbo. Naye ikiwa utatupa Majimbo, kila mtu apiganie<br />

kwao. Musituwekee hapa kina ‘Njoroge’, akina nani, kutusumbua.<br />

Com. Pr. Ayonga: Asante sana. Nataka ujue kwamba yote uliosema, kanda imeyashika yote kabisa. Na hebu nikwambie<br />

kitu kimoja, cha kukusahisha kidogo. Shule ya Utalii College, kiongozi wa kule sio Njoroge, kiongozi wa huko anaitwa<br />

Mwakio. Hiyo, la! hiyo tu ni habari ya kusemezana.<br />

Hassan Mboga: Haya nakubali. Nakubali.<br />

Com. Pr. Ayonga: Na Mwakio huyo unajua ni shemeji yangu, kutoka hapa Pwani. Asante. Sasa ndugu zangu na dada<br />

zangu, ni saa sita unusu, ambavyo ni saa sita unusu, na kokote ambako tumekuwemo, saa sita unusu ikifika, tunafunga mikutano,<br />

tunawauliza watu waende msikiti, waende wakaomba Mungu, na halafu tunarudi saa nane. Kwa hivyo, muende na tukutane<br />

saa nane. Asante sana.<br />

AFTERNOON<br />

Com. Wambua: Tutaendelea kuyapokea maoni. Kwa hivyo tuendelee na majina kama yalivyo katika horodha. Tulikuwa<br />

58

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!