28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

aachie vijana majukumu hao wao waongoze nchi. Kwa hayo machache, asanteni sana.<br />

Com. Wambua: Basi asante Bwana Kumala, sasa tumefika mwisho wa kikao hiki. Tuta muita mtu moja atuombee ndipo<br />

tufunge kikao lakini kwa wale ambao hawajatoa maoni, msiwe na shaka kama nilivyo sema, tutarudi hapa. Majina tuko nayo<br />

na tutarudi hapa kupokea maoni yenu. Kama nilivyosema wale ambao nimehesabu, wale ambao wametoa maoni ni sabini sasa,<br />

wale walio bakia ni arobaini na watano hivi. Kw hivyo tutakuja hapa tupokee maoni yenu, msiwe na shaka eti kwa kuwa<br />

hamjazungumza, maoni yenu yamepotea, hapana, tutarudi hapa. Lakini siku ya kurudi hatuijui, mpaka turudi Nairobi, turudishe<br />

Secretariat ndio wapange siku ya kurudi hapa na kutuma kikao. Lakini hiyo ni lazima ifanyike. Kule kwingine tulipo kwenda<br />

ambapo hatukumaliza, walitupatia muda kurudi, kwa hivyo hiyo itafanyika. Mtu mmoja tafadhali, dini ya kislamu, tafadhali<br />

tuombee leo<br />

Speaker: Kwa jina la mwenyezi Mungu..........................................................(inaudible) E mwenyezi Mungu utuongoze<br />

pamoja na walio ongoza, utusamehe pamoja na waliosamehe, utubarikie katika ulicho tupa, utukinge na maovu ulio hukumu.<br />

Akaewa hukumu mwenyezi Mungu wale hukumiwe, hakika hathaliki yule mthuru, wala hatukuki Mola wetu uliyempiga vita.<br />

Umetukuka Mola wetu na ukujua kila kitu, shukrani zote ni zako.......................(inaudible) kutupa. Kwako twaomba rabi<br />

inayotoka kwako kwa ........................................................................................................(inaudible).<br />

Com. Wambua: Tulianza na maombi ya Kislamu na ya Kikristu, sijui kama kuna mmoja wetu mkristo anataka kuomba<br />

kama yuko, kama hayuko basi tumefika mwisho, kwa hivyo nendeni salama salamini.<br />

Meeting ended at 6.00 p.m.<br />

&&&&&&&&&&&&&&&&<br />

111

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!