28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mentally wa kichwa, kutokea wazaliwe mpaka kifo chao wanatumia madawa. Wazazi wao ni masikini, serikali haiwaangalii<br />

kwa namna yoyote ile walemavu hawa wa kichwa. Serikali haijui kama hawa walemavu wanaishi na sisi. Tutaishi na hawa<br />

watu wa namna gani kama hawawezi kusaidiwa? So, the government should, must waambiwe kwamba ni lazima wawapatie<br />

madawa ya bure walemavu hawa. Neno lazima liwe litatumiwa pale sababu hawana njia nyingine.<br />

Kuhusu walemavu wale wanaotumia magari kama hizi za nonino, wakipanda basi kwenda Nairobi ama transportation yoyote<br />

wanalipa tikiti mara mbili kuliko sisi wenyewe. Analipia gari yake, analipia mwenyewe. Public Service Vehicles zifahamishwe<br />

kwamba mlemavu ni haki yake kusafiri kwa hivyo gari zao za ulemavu zisilipishwe hata kidogo. Kuhusu tena walemavu,<br />

walemavu ma<strong>of</strong>isi ya serikali zote hawana njia ya kupanda juu kumuona P.C ama D.C. Hawajatengenezewa namna yoyote<br />

wao waweze kwenda kuona wale ma<strong>of</strong>isa D.C na P.C otherwise wateremshwe chini na serikali ama sivyo walemavu<br />

watengenezewe njia za kwenda juu. Walemavu, watoto wao ndio wanawategemea. Walemavu wenyewe hawana njia ya<br />

kufanya kazi mbili. Kwa hivyo ningependa watoto wa walemavu wapewe bursaries kutoka Ministry <strong>of</strong> Education waweze<br />

kuelimika. Walemavu, ikiwa watapewa madawa ya bure hawa wa kichwa na hawa ambao wana ulemavu wa aina nyingine<br />

yeyote, waweze ku-cost only 50% katika mahospitali.<br />

Kuhusu Police Cells – Hizi police zetu saa hii mkiziangalia Nyanyani, Bamburi na kwingineko, ni polisi ambayo binadamu hafai<br />

kuingizwa ndani. Kuna dirisha size ya exercise book kule juu. Je, mimi ambaye sina makosa tayari ninahukumiwa ninawekwa<br />

cell, korti inaponipata mimi tayari sina makosa, je, yule polisi aliyenitia cell nina njia ya kumuadhibu? Kwa hivyo ningeomba, we<br />

should not be charged unless found guilty. Going to cells tayari ni njia ni ishara kwamba mimi tayari ninakosa. Kwa hivyo, what<br />

we would prefer is, “not guilty, until found guilty”. Kwa hivyo mapolisi wetu wafahamishwe kwamba torturing is a crime,<br />

wakiwa mtu amepigwa polisi anafaa kushtakiwa. Kwa hivyo torturing is not a way <strong>of</strong> getting information from somebody.<br />

Torturing should be treated as a crime.<br />

On top <strong>of</strong> that, ningeomba tena ma-Commissioners, mimi ikiwa ni mwakilishi wa Kisauni Constitution Committee kama vile<br />

Bwana Mesad alivyozungumza, kama mtakuwa na nafasi mje mara ya pili. Wananchi wanalalamika kwamba hawawezi kupata<br />

nafasi, nawaombeni. Asante.<br />

Com. Wambua: Kabla hatujawaita akina mama tena, nitampa nafasi one minute, Maurice, dakika moja tu halafu, one minute<br />

nasema one minute.<br />

Speaker: Mimi naitwa…<br />

Com. Wambua: Akina mama mambo yenu sasa itashughulikiwa tafadhali. Mpatieni nafasi.<br />

Maurice Amakoya Stevenson: Okay, mimi naitwa Maurice Amakoya Stevenson na haswa nitazungumzia mfumo wa serikali<br />

96

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!