28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mr Joseph: Kama unavyoelewa ardhi hizi, zilikuwa chini ya utawala wa Sultanate, hicho ni kipande nilikuwa nataka kukueleza,<br />

kipande kifupi sana cha history katika zile proposal zangu ambazo nitaleta hapa zinafuatana na mambo kama hayo. Jambo la<br />

kwanza sisi watu wa Kisauni tunasema, zile title za kikoloni from 1908 zote ziwe newlified na subdivision siwze kufanyanyike<br />

kisawasawa katika area yetu ya Kisauni.<br />

Namba ya pili, kuna ardhi ambazo zimekaa hazijatumika mpaka leo, tunasema ardhi hizo, kwasababu ya wingi ya watu walivyo<br />

Kisauni, zisichukuliwe mara moja na siweze kugawanywa kwa watu walioko, kwasababu ni ile ile lakini watu wanaongezeka<br />

kila siku. Tunataka ardhi ambazo hawa walitumia kitu kinaitwa trustee ili kupatia pesa nyingi nyingi kutoka kwa mabenki, ardhi<br />

kama hicho zichukuliwe na siweze kugawanyiwa watu vile vile vile, mara moja. Kwa sababu hizo ardhi zilipatikana wakati huo,<br />

kwa kuinua maisha ya wale decendants <strong>of</strong> the soldiers, kupitia Agriculture, leo hakuna ardhi tena ya kulima katika kiasuni hii,<br />

bali ilizoko ni majumba hapa hakuna tena kulima . Kwa hiyo ardhi ilioko hapa ambayo imejengwa, kila nyumba iliyo jengwa<br />

juu yake ipatiwe sub division na titile yake iweze kupatikana mara moja.<br />

Tunapendelea vile vile kupatikane proper planning, kwasababu kisauni ni pahali ambapo palikuwa pamesahauliwa, kuweza<br />

kutoa BaraBara na mambo ya drainage katika kisauni. Ardhi ambazo wenyewe ni Warabu, wako katika Nchi nyingine za nje<br />

kama vile Mascat, London, Canada, America, ardhi kama hizo tungependa Serikali mara moja na tunaweza kuwafanyia sub<br />

division watu wetu hapa. Zingine ziko na madeni makubwa sana ya municipal kama 1 million outstanding rent, tunataka ardhi<br />

kama hizo kuchukuliwa vile vile na tugawanyiwe, ama sipatiwe 14 days na ikiwa hauwezi kusettle deni lake basi ardhi hiyo<br />

ipatiwe moja kwa moja ipatiwe watu wa kisauni waweze kujiganyia.<br />

Government lands zichukuliwe na kupitishwa chini ya DC na kupitia sisi wana Lobby Group pamoja na Mbunge wetu ili<br />

tuweze kuwagawanyia watu wanaoishi katika ardhi hizo. Ardhi ambazo wenyewe hawajitokezi, either kwa kujificha kwasababu<br />

wako ngambo lakini wameaachia mawakiri na ma agent wa ardhi, kwasababu ya kutoza kodi kwa watu, ardhi kama hizo<br />

tafadhali tunaomba Serikali iweze kutukubalia sisi, kumuita mwenyewe haswa tuweze kumuona, ama sivyo kama hatajitokeza<br />

basi siweze kuchukulia na sisi tugawanyiwe.<br />

Kuna ardhi ambazo sinaitwa warp Lands, Warp ni kitu ambacho ni cha jamii, kinanufaisha kila anayekaa katika ardhi hiyo, kwa<br />

hivo ardhi ziko nyingi sana hapa Kisauni na Mkoa wa Pwani kwa jumla, tungependelea ardhi kama hizo vile vile ziweze<br />

kuchukuliwa na kugawanyiwa watu mara moja. Kwa vile umiliki wa shamba katika Kisauni hii ni mchache katika subdivision<br />

itakayoendelea, tungependelea kila mmoja aweze kupata angalau karobo acre, ili kuweza kumasaidia kujenga makao yake na<br />

kumsaidia katika familia yake.<br />

Political boundaries, ningependelea kusema hivi, watu wa Kisauni wamekata kwamba, political bound ya Kisauni ianzia Nyari<br />

bridge main land north, mpaka kikabala ambayo ni mpaka wake wa zamani, kwa hivyo iwe ni Constituency ya peke yake, na<br />

81

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!