28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ambayo ningependa tuwe nayo na uwekwe katika Katiba mpya.<br />

Speaker: Ongeza sauti.<br />

Maurice: Okay, my name is Maurice Amakoya Stevenson and I am going to talk specifically about system <strong>of</strong> government. I<br />

wish to propose as follows that Kenya should have a Parliamentary System <strong>of</strong> government in which the Head <strong>of</strong> State is<br />

separate from the Head <strong>of</strong> Government.<br />

Com. Wambua: Apeye nafasi tafadhali.<br />

Maurice: Raisi katika mvumo wa serikali ambaya napendekeza kwa tume ya katiba leo ni kwamba rais pamoja na makamu<br />

wake wachaguliwe moja kwa moja na wananchi. pili, wadhifa wa rais wa jamhuri uwe na msingi wa kuongoza Kenya katika<br />

sherehe pengine za kitaifa ama kuweka sahihi mswada baada ya kujadiliwa na bunge na mamlaka makubwa ambayo katiba ya<br />

sasa inampa raisi wa jamhuri yanapaswa kupunguzwa; kwa mfano, rais kutangaza hali ya hatari, kuweka sahihi mikataba na nchi<br />

bila kupata kibali cha bunge, kuwasamehe watu ambao kuna ushahidi wa dhahiri kwamba wameuwa na mambo kama hayo<br />

unapasa kupunguzwa. Tatu, rais wa jamhuri wa Kenya hapaswi kuwa juu ya sheria, the President <strong>of</strong> the re<strong>public</strong> <strong>of</strong> Kenya<br />

shold not be above the law kwa sababu hali kama hii inamfanya rais wa jamhuri kukiuka sheria za nchi na hata kukiuka haki za<br />

kibinadamu za wakenya vile anavyotaka. Kwa hivyo, ikiwa raisi wa jamhuri kutakuwa na ushahidi wa kuonyesha kwamba<br />

ametenda hatia zifuatavyo, kwa mfano kutumia <strong>of</strong>isi yake vibaya, kutumia uwezo wake vibaya, kujihusisha katika vitendo vya<br />

uhaini na ufisadi, anapaswa kufunguliwa mashtaka na kupatana na hatia aondolewe mamlakani. Nne, ijapokuwa napendekeza<br />

hapa kwamba rais wa jamhuri katika mvumo huu, yaani parliamentary system awe na uwezo wa kuteuwa pengine majaji na<br />

ma-<strong>of</strong>isa wengine wa uma, mabalozi, lakini utozi huo unapaswa kupasishwa na bunge ili kuhakikisha ya kwamba wakenya<br />

wana<strong>of</strong>aa ndio wanaochaguliwa kuchukua nyathifa hizo. Tano, bunge linapaswa kubaki na mamlaka ambayo liko nayo ya<br />

kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais. Pia, rais uwezo ambao yuko nao katika katiba ya sasa ya kuweza kuita, kuhairisha<br />

na kuvunja bunge uondolewe kutoka kwake. Badala yake, bunge linapaswa kuwa na ratiba yake ya matokeo yake. Sita,<br />

ningependa kupendekeza kwa tume ya katiba kwamba uwezo ambao rais yuko nao katika katiba ya sasa ya kukataa kwa<br />

mfano kuweka sahihi mswada ambao umejadiliwa na bunge, kwa mfano ile donde bill<br />

Speaker:................................................(inaudible)<br />

Maurice: kunapaswa kuwa na kifungu ambacho kitamlazimisha raisi wa jamhuri aweke sahihi kifungu hicho ili iwe sheria.<br />

Mwisho, katiba ya Kenya ambayo wakenya wangependa kuwa nayo, iwe na should provide for the post <strong>of</strong> the leader <strong>of</strong><br />

opposition na kazi za kiongozi wa upinzani itakuwa ni to keep checks and balances <strong>of</strong> the government <strong>of</strong> the day to ensure that<br />

there is probity, transparency, accountability, good governance and sound economic management to foster national<br />

development. To ensure that there is equitable distribution <strong>of</strong> natural resources by the government in power, to provide an<br />

97

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!