verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
hawapitii katika mahakama wanapitia through Lawyers and auctioneers.<br />
(inaudible) …ni vile vile, diwani ni vile vile. Diwani akija hapa hakuna kutanga, angalia njaa lilivyojaa hapo.<br />
Lo! Nini maradhi yametuenea, barabara haipitiki. Kazi hazifanyiki, matingatinga hakuna, why? Twataka kujua, twamwandika<br />
kazi kwa mkataba, twaandikiana naye. Twaandikiana, si mmesikia mmesema je hapa, wakuta malaki mangapi? Majuzi 150<br />
walikuwa Whitesands hapa, walikuwa Whitesands. Mimi nina homa nawaangalia kwa runinga, wako Whitesands hapo, mmoja<br />
akiwa hapo, akina nani? Akina Orengo kina nani wako hapo. Sisi baraza la Maimamu kila utafiti, hatuja hatulali, usiku na<br />
mchana. Pia Moi anajua. Sasa, twataka hii ki ngo…<br />
Com. Wambua: Sasa, pengine dakika moja imeisha.<br />
Speaker: Ngoja kwanza. Nipe tena nusu dakika nimalize maanake nimekaa nionee imani ndugu yangu.<br />
Com. Wambua: Basi maliza.<br />
Speaker: Haya asante, haya. Sasa hiyo maoni yangu kwa mimi kama hivyo Mbunge na Councillor waandikwe mkataba<br />
ndugu zangu nawaambia. Hakuna tena ile holela, mkataba, ni kama mkataba ule tunaopika wajua wa kuhusu ki kuchukua ardhi<br />
na hii vilevile mkataba. Kisha nitamalizia la mwisho. Na diwani pia vilevile tumwandikie mkataba tumemaliza kisha tumesema<br />
hayo yote yamalizikia katika Majimbo system na hayo yote yamalizikia katika Majimbo system. Sasa nitaka kuwapa historia<br />
moja, 1885 mkutano uliokuwa Bahrnin, nawapa historia kidogo. Mkutano ulikuwa Bahrnin, walikaa chini wazungu, waingereza<br />
na kila mahala kuigawanya Afrika. Kenya ilikuwa haijulikani Kenya, nawapa historia. Kenya imejulikana Kenya baada ya<br />
1920, ndio ikajulikana Kenya, Tanzania, Uganda. Lakini kuanzia nyuma 1885, wazungu walikaa chini mkutano wa Bahrnin<br />
ndani ya chama wakasema tuwezeje kuichukua Afrika? Wakaigawanya vipande vipande. Ndio hii mipaka ndio tuko nayo,<br />
Kenya border hii, ndiyo ya Tanzania border hii, Afrika nzima. Wakaweza kuchukua vipande wakaweza kuweka title deed zao,<br />
wakatunyonya kiasi cha kutunyonya. Kenyatta alipoingia katika ufalme wake au kama Rais, aliigeuka ile mikataba, akaja akatia<br />
mambo yake ndio leo tuko wastaabu namna hii. Kwa hivyo twataka tena yale Majimbo yetu yarudi kama pale…<br />
Com. Wambua: Mzee,--------------------(inaudible) kwa hivyo---------(inaudible) utanisadiki hapo…<br />
Speaker: Salaam Aleikum.<br />
Com. Wambua: Asante sana kwa maoni yako Bwana Salimin na sasa tutamuita mama mmoja hivi, kama huyu Binti Saidi,<br />
yuko? Binti Saidi yuko? Binti Saidi?<br />
Speaker: Binti yuko wapi?<br />
93