28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Tungependa hii Katiba mpaya ambayo inakuja iwe ita-treame down powers za President. Sisi tuliridhi Constitution kutoka kwa<br />

wazungu ikiwa ni nzuri. What happened is, ilipokuja hawa President wawili ambao tumewapata tangu tupate uhuru, kila<br />

President alioingia pale amejaribu sana kujifanya very powerful. Sisi tungependa, President wa Kenya asiwe ndio mambo yote.<br />

President apewe powers za kutosha za ku-run <strong>of</strong>fice <strong>of</strong> the President lakini asiwe yeye akisema leo hivi, iwe hivyo hivyo yaani<br />

sisi hapa vile tuko na culture ya kuwa President akisema shamba hile lipewe fulani anapewa, lile shamba si la President pengine<br />

mi mali ya uma na yeye hana ruhusa kumpeana rafiki yake kwa sababu yuko chama kimoja nayeye aseme ni lake. Twataka<br />

President apewe nguvu za kutosha just enough to run his <strong>of</strong>fice. Asiwe yeye ndio mambo yote.<br />

Kuna Presidential appointments. Hii Kenya yetu inasifa mbaya kwa sababu utakuta heads <strong>of</strong> parastatals wale ambao<br />

wanachaguliwa na President, cabinet ministers, permanent secretaries ni watu ambao wanatoka sehemu mmoja. Ni President<br />

mwenyewe akifurahi na wewe kwa kuwa wewe uko chama hiki, anakupa ile kazi. Hata kama haukusoma, hata kama ile kazi<br />

hauiwezi, unakuta mtu analetwa ku-run KBA lakini hata hajui shipping ni nini. Unakuta mtu anachukuliwa ku-run a forestry<br />

department lakini hajui hata forest conservation ni nini. Sasa tunataka Presidential appointments zote ziwe vetted na Parliament.<br />

President akisema anamtaka huyu, awe mkubwa wa posta iende bunge kwanza. Tuangalie aweza ku-run posta ama hawezi.<br />

Ikiwa hawezi, ikipitishwa hawezi aambiwe huyu mtu wako hawezi, chagua mtu mwingine, hiyo namna hiyo. Lakini si ati<br />

akisema leo inatangazwa kwa saa saba KBC halafu ndio hivyo. Hata kama ni mtu mjinga amepewa posta ndio maana haya<br />

mashirika yetu yameanguka.<br />

Sasa nataka kuingilia hukumu ya kifo. Hii hukumu ya kifo tungependa iondolew mbali. Na nikama imeondolewa maanake<br />

hakuja nyongwa mtu tangu mwaka wa themanini na sita sijui themanini na saba. Wale wote ambao wamehukumiwa kifo tangu<br />

mwaka themanini na themanini na saba, wanaoza kamiti, shimo na hizi jela zingine. Ni vibaya sana kwa sababu yule mtu yuko<br />

na thiki sana. Kama ulihukumiwa kifo mwaka wa themanini na sita, hujui kesho ndio ntanyongwa ama ni kesho kutwa ama ni<br />

wiki ijayo. Unakaa miaka kumi na tano wondering when I will be executed. This is very bad. Sasa huyu mzee hatujui kwa nini<br />

hajasema wale watu wanyongwe. Lakini kama ni kuwasamehe, awaambia nyinyi mmesamehewa, hukumu yanu sasa si kifo,<br />

hukumu yenu ni mfungwe maisha gerezani. Inakuwa relief kwa yule mtu. Na ipitishwe bunge kua hii hukumu ya kifo iondolewe.<br />

Tuliiridhi kutoka kwa wazungu, wazungu wenyewe waliifutiliwa mbali, sisi bado tuko nayo na it is very barbaric, we in the 21 st<br />

century, we should not have the death penalty.<br />

Provincial administration: Kulikuwa na ninio kuwa police administration iodolewe. Tusiwe na PC, tusiwe na DC, tusiwe na<br />

DO, tusiwe na Chief. Lakini wale walikua wakipiga vile vilio hawakutwambia ati akiondolewa DC, akiondolewa PC kuwekwe<br />

nani. Kwa vile hatujui mpaka sasa, nani anaweza kuwekwa, zile <strong>of</strong>isi zibaki vile vile lakini, ziwe kazi za PC ziko clearly defined,<br />

kazi za DC na DO ziwe clearly defined. Kazi za Chief hasa huyu Chief ziwe clearly defined. Sisi hatujui kazi ya Chief mpaka<br />

ya leo. Ukifika kwa Chief uko na kesi yako anakwambia leta mbuzi, wewe uliyeshtakiwa ulete mbuzi, yule aliyeshtaki alete<br />

mbuzi, ndio kesi yenu isikizwe. This is very wrong. Mimi naona huyu Chief hatukatai awekwe pale lakini tuambiwa Chief kazi<br />

18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!