28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

suspended pending investigation. Tunaomba hiyo katika Katiba yetu pia itiliwe mkazo sana. The use <strong>of</strong> maximum force to the<br />

community. Katiba yetu pia isaidie fafanua hiyo. Childrens act. Katika Childrens Act juzi imepitishwa kwamba watoto<br />

wapewe elimu ya bure na mambo kama hayo. Mtoto kuwa na raha, ni mzazi wake awe na raha. Mzazi ana raha, mtoto<br />

atawezaje kupata security? Kwa hivyo first <strong>of</strong> all tunaenda kwa mti kabla hatujafika kwa tunda. Bwana Chairman, katika<br />

historia ya Kenya, kuna mambo ambayo hatujazingatia ambapo katika Katiba sijui hayakuweko kwa sababu gani. Kuna wale<br />

waliopigania uhuru wa nchi hii. Bwana Chairman, ni aibu ya kwamba wengine wao mpaka sasa, maisha yao ni magumu sana.<br />

Wale ambao hawana ardhi, hawana maisha mazuri ya kwamba wanaweza kuishi. Kwa hivyo tunapendekeza ya kwamba, wale<br />

ambao walipigania uhuru wawe honoured. Singependa kuendelea sana kama vile ulivyonishauri kwa sababu hii article<br />

imeandika kila kitu. Thank you very much.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: Nakushukuru ndugu Anuwar. Unaweza kuleta hayo maandishi yako hapa na pia uweke<br />

kidole. Na (inaudible) keti hapo, unamaandishi? Tumulikie pia (inaudible)<br />

Bwana Nzori: Jina langu naitwa Bwana Nzori mwakilishi katika kisauni lands lobby group. Mimi nitazungumzia kuhusu<br />

mambo ya wakfu. Kwanza nitaanza na interpretation. Ningependelea iwe katika interpretation iwe muislamu, a muslim should<br />

be, it should read, a believer <strong>of</strong> islam faith ndie awe ni muislamu sio itaje muislamu kwa kabila. Vile iko muislamu. (sentence<br />

incomplete)<br />

Adminstration nasema every work made by for any muslim should be administered by muslim. Hii administration nataka iwe na<br />

waislamu wenyewe wakiihudumia you know work. Halafu si nazungumzia kuhusu Constitution work commission ambayo huwa<br />

iko na members wanane. Ningependelea katika hawa members wanane, ikiwa kama member wa kwanza ni PC basi badala<br />

akuwe awe ni automatically awe in PC, awe ni lazima PC huyo awe ni muislamu ama kama si muislamu, awe ni DC lakini awe<br />

hapa kuwe na muislamu vile vile. Ya pili awe ni Chief Kadhi ambaye chief kadhi mwenyewe amekuwa appointed tena na<br />

waislamu. Mtu wa watatu awe ni scholar, msomi wa kiislamu vile vile. Na watano wengine ambao wamebaki kukamilisha<br />

wanane, nataka wawe wanachaguliwe na panel ya scholors ya wasomi wa kiisalmu wapitishe hawa watu wanane kuwa hawana<br />

hitilafu yeyote. Halafu D, nazungumzia period <strong>of</strong> <strong>of</strong>fice, mda wa hawa watu kukaa kwenye wakfu. Napendelea iwe miaka<br />

mitatu lakini anapotoka nje, asionyeshe uadilifu katika hayo mambo, awe aweza kukatizwa wakati wowote.<br />

Halafu E. power, uwezo: Nazungumzia wapewe uwezo wa kuweza kushtaki na wao pia waweze kushtakiwa. F.<br />

Nazungumzia kuhusu register <strong>of</strong> property. Zile wakfu ambazo zimeandikishwa kule (inaudible) na nafasi mtu yeyote<br />

anapokwenda kule anaweza kupata ile file na kuona ni vitu gani viko kwenye wakfu. Isiwe vitu vile vinakuwa confidential.<br />

Viwe katika kila areas ambapo wakfu inasimamia iwe watu wanaweza kufika na kuona vile vitu viko. Kwa hapa naona niko na<br />

haya a mpaka f.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: (inaudible)<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!