28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mpaka sasa, na wanatendewa ni kama kudhulumiwa. Kwa sababu, ikiwa sisi watu wa Pwani, ndio maana tunataka Majimbo,<br />

ni kwamba, utajiri wote wa Kenya, watoka Pwani hapa – kodi. Lakini utakuta kodi hii, Wapwani wenyewe hawapati hata kitu<br />

kimoja. Kwa hivyo, ndio maana tunasema Wapwani tupate Majimbo. Na tukipata Majimbo, hii Pwani yetu, sisi wenyewe hii<br />

kodi tunaweza kutekeleza maneno yetu.<br />

Hii kodi yetu sisi tunaweza kujengea university, tunaweza kutengezea miradi yetu ya hapa Pwani. Ndio maana tunasema<br />

kwamba watu wa Pwani tupewe majimbo, na sisi nasi tupate kuinuka kama wengi wetu.<br />

Tukitaka Majimbo, utalii wote, hoteli zote za utalii ziko Pwani, bahari iko Pwani. Tukitaka Majimbo, tuna maana yake. Utalii<br />

College, iko Nairobi. Anayesimamia Utalii College ni ‘Njoroge’, na utalii uko Pwani kwetu hapa. Sisi tunapata nini? Kila<br />

hoteli kila mwezi, kila hoteli, inalipa elfu ishirini na tano kulipia utalii, pesa zile zapelekwa huko Rift Valley zikienda zikijenga<br />

uwanja wa ndege. Sisi hapa hatupati chochote.<br />

Tukizungumza, tunazungumza neno hilo kulingana na kwamba, sisi Wapwani hapa hatupati lolote katika ule utalii wetu hapa.<br />

Kwa hivyo, ndio maana unasikia kwamba, watu wa Pwani, wanataka Majimbo. Tukitaka Majimbo, tunataka maana yake.<br />

Ule Rais wetu alipata uhuru kama Wakenya, na wanafaidika. Lakini sisi hapa hatupati. Hakuwezi kuondoka Katana hapa au<br />

Salim akaenda akapigania hapo councillor kule. Ikiwa munataka Katiba igeuke, kwanzia sasa, kila Mkenya akiwa amesema<br />

kwamba Katiba igeuke iwe ya Kenya, na kila mtu awe Mkenya, kila mtu apiganie kiti katika eneo alilotoka babu yake. Katiba<br />

igeuke Bwana Chairman. Kila Mkenya apiganie u-councillor, u-Bunge, katika eneo lake alilotoka babu yake. Katiba<br />

imegeuka ya Kenya. Tupate faida na sisi, nasi ya uhuru ni nini?<br />

Lakini ikiwa haiwezi kugeuka hivyo, tutasimama hapa na akina Odongo, sisi bwana hatutakubaliana. Tupeni Majimbo, katika<br />

ya sasa. Na sisi nasi tupate kufaidika.<br />

Nataka Katiba igeuke, Utalii College igeuzwe. Tuletewe hapa na sisi. Katiba imegeuka. Twataka Katiba igeuke, Bwana<br />

Commissioner, tafadhali, nisamehe lakini, usiseme naingilia sana mambo ya ndani.<br />

Ile head <strong>of</strong>fice ya Port, itoke Nairobi, irudi Mombasa. Bwana Chairman nisamehe lakini.<br />

Com. Pr. Ayonga: Endelea.<br />

Hassan Mboga: Tuna mambo mengi ambayo kama sisi hapa, tunayo -- tuna uchungu. Tukiangalia hivi, pilot anaondoa meli<br />

hapa Port, ni ‘Kamau’. ……………. (inaudible) anaelewa aje mambo ya bahari? Anaelewaje mambo ya bahari? Na sisi<br />

wenyewe tuko hapa. Kwa nini hatuna uwezo ule? Twaambiwa sisi hatuna elimu. Kunao ma-pr<strong>of</strong>essor. Inaweza enda yale<br />

57

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!