28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kazungu: Ndiye huyu mzee wangu<br />

Com. Wambua: Basi aketi hapo atoe maoni. Mzee nitakupatia dakika mbili tuu kwa kifupi utoe maoni yake halafu<br />

utupatie hiyo maandi, tutaenda kuyasoma halafu tu.................................(inaudible)<br />

Ali Hamisi: Kwa jina naitwa Ali Hamisi. Katika maoni ya watu wa Bombo Kassan, ambao wamenipa nije niwakilishe<br />

hapa Bombo Kassan, wamesema kuwa kuwe na serikali ya majimbo. Watu wa huko wamesisitiza sana serikali ya majimbo ili<br />

kila jimbo liweze kujitawala hilo lenyewe. Jambo la pili, kila mwana kenya aliyezaliwa jimbo hilo au ambaye anaishi katika<br />

jimbo hili au ambaye amezaliwa katika jimbo hili aishi jimbo hilo hilo kwa sheria ya jimbo. Jambo la tatu, zile manifesto ya<br />

viama vya kisiasa viwe na muongozo wa majimbo, ziwe na maongozo ya majimbo. Hivi ndivyo wato wa Kassani wamenieleza<br />

kuwa nije nitoe hayo manifesto, zile sheria za kisiasa, vile vitabu vyao waweke sheria za majimbo. Sikuwa yeye ana chama kina<br />

kile kitabu chao cha manifesto na hakina majimbo. Huyo asipatiwe licence ya kupigia kura katika Kenya. Lazima manifesto<br />

yake iwe ina mwongozo wa majimbo. Jambo la elimu, watu wa Bombo Kassani wamepitisha au wametoa mawazo yao kuwa<br />

elimu, kwa vile watu ni maskini zaidi na watoto wanaendelea kuzurura ovyo ovyo, iwe ya bure mpaka form four. Hapa ndio<br />

patakua hana uwezo wa kujitafutia kazi yeye mwenyewe hata kama hakuendelea. Kuhusu wabunge, mbunge kawaida zao ni<br />

kuwanyanyasa wananchi. yeye anasimamisha wananchi mlolongo kupigiwa kura halafu akisha pata basi, hawajui wananchi.<br />

kwa hivyo, mbunge kama huyo ambayo hashugulishani na wale matajiri wao waliowaandika, hawatizamiwa kiasi cha miaka<br />

miwili. Ikiwa hakutimiza masharti ya wananchi, atolewe, aje hapa nyumbani arudishwe mtu mwingine. Kuhusu waislamu,<br />

muislamu ana haki ya kupewa dhima yake na sheria zake na hukumu zake ziliko katika kitabu cha Koran tukufu. Muislamu<br />

kwa kifupi, katika sheria ya kislamu, mwizi akiiba hukatwa mkono. Tunaomba katiba nayo itupe uwezo huu ili tupunguze haya<br />

matatizo ya wizi. Katika muislamu, mtu katika sheria ya kislamu, mtu akishikwa na bibi ya mwenziwe ni apigwe mawe<br />

hadharani mpaka afe. Hii ni sheria iko katika kwa waislamu. Katika sheria za kislamu, zipewe uwezo wa kuweza<br />

ku........................(inaudible) kwa ufupi<br />

Com. Wambua: tafadhali, malizia tafadhali<br />

Speaker: Malizia<br />

Ali Hamisi: Kwa hivyo ninamalizia kwa kusema kuwa, katika sheria ya kislamu, mtu akiua mwenziwe ni auawe, akiuwa<br />

mwenziwe na auawe na akimjuruhu mwenziwe, akimkata kisu ipimwe kiasi cha vile alivyokatwa na yeye akatwe.<br />

Com. Wambua: Asante sana mzee, kwa hivyo jiandikishe hapo<br />

tafadhali....................................................................(inaudible<br />

101

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!