28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Com. Wambua: ........................(inaudible) tafadhali, maliza sasa<br />

John Nyagaka: Kwa kufupisha, nina memorandum nimeandika nafikiri nitapeana<br />

Com. Wambua: Hiyo ndio tutahitaji sana zaidi kushinda.........manake tutaichunguza vilivyo, tujue ni maneno gani yalioko.<br />

John Nyagaka: Asante sana<br />

Com. Wambua: Kwa hivo kama kuna memorandum tupatie ndio twende tukasome na tutaichukua kama representative<br />

opinion. Kwa hivyo hiyo hata itafaa sana. Kwa hivyo kama kuna memorandum tafadhali tupatie. Lakini nitakupatia half a<br />

minute umalizie<br />

John Nyagaka: Haya, kumalizia, pia tungependa mambo ya retrenchment isi affect mtu mlemavu. Mtu mlemavu<br />

ametegemea ile kazi ambaye amebahatika kupata katika kampuni fulani ile. Utapata ile retrenchment, mtu wa kwanza kuwa<br />

affected ni mtu mlemavu. Sasa unashindwa, akiachiswa ile kazi, ataenda kufanya kazi wapi na pale ndio alikuwa anategemea<br />

kuelimisha watoto wake, kujipatia riziki yake ya kila siku na amesimamishwa. Itabidi huyu mtu tena arudi kuomba omba pale<br />

town ama pahali popote pale ambapo sio picha nzuri. Kwa hivo asante mwenye kiti kwa nafasi hii.<br />

Com. Wambua: Asante sana, utatupatia hiyo memorandum, tafadhali jiandikishe hapo. Mwisho kabisa, mtu wa sabini<br />

ambaye atakuwa ni wa mwisho ni Bwana Kumala, kwa hivyo nitakupatia two minutes halafu tutafunga hiki kikao, kwa hivyo<br />

usipitishe muda wa dakika mbili, useme yale ya muhimu halafu ufunge.<br />

Juma Athmani: Jina langu naitwa Juma Athmani Kumala, bwana commissioner mimi sina mengi, mengi yamezungumzwa.<br />

Lakini langu ni kulitilia mkazo swala la majimbo kwamba sisi wakaazi wa pwani ni lazima tujitawale sisi wenyewe. Utakuta<br />

sehemu kama vile Kenya Port, Bamburi Portland Cement ni ma kampuni ambayo yako katika maeneo yetu na wajibu wetu<br />

wakaaji wa pwani tuwe tutapewa nafasi ipasavyo. Sio watu kutoka sehemu za bara wanaingia na kuchukua nafasi kama hizo.<br />

Kwa hivyo swala la majimbo, mimi maoni yangu kama Bwana Kumala naliunga mkono sana. na serikali ulichukuwe na ulitilie<br />

maanani zaidi. Lingine, kuna mzee wangu amezungumzia kuhusu dini ya kislamu. Kama tunavyo fahamu, mimi ni muislamu na<br />

dini ya kislamu inakataza zinaa kabisa. Na mimi maoni yangu ningelipenda, kuwekwe sheria, mtu anapo patikana akizini,<br />

kuwekwe sheria mtu yule afunguliwe mashtaka na astakiwe mahakamani. Kwa sababu hata dini ya kislamu inakataza zini, kwa<br />

hivyo hili ni jambo na maoni yangu ningelipenda litiliwe mkazo. La mwisho ni kuhusu hawa viongozo ambao miaka yao imezidi.<br />

Itakuta mtu ametumikia serikali kwa muda mrefu na ame retire. Na amesikia kwamba uchaguzi unaingia, yeye anataka<br />

kupigania uongozi; either wa udiwani au wa ubunge na miaka amepita miaka mingi. Kwa hivyo, kuwe na miaka kadhaa mtu<br />

atapaswa apiganie, either miaka sabini mtu kama huyu asiruhuwise kupigania uongozi wa aina yoyote, either udiwani au ubunge,<br />

110

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!