28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kue na wakubua wa ma judge hapa pwani.<br />

Watoto wa hapa wapewe maharagwe ya bure mashuleni, wapikiwe pale na wale hapo, hapo.<br />

Sheria ya undanganyifu kwa raia wa pwani iondolewe.<br />

Com. Wambua: Mzee malizia tafadhali.<br />

Mzee. Kalume Mumba: Asanteni sana ndugu. Hayo ndio ya mwisho. Kwa sasa time za enda.<br />

Com. Wambua; Asante. Swali mmoja tu. Nani atakae wapatia watu hiyo pombe bure? unapendekeza nini wewe?<br />

Mzee Kalume Mumba: Serikali iruhusu watu wawe wana kunyua tembo ya bure sababu tembo kikwetu sisi hapa, ni ya kizee.<br />

Pahali panapo olewa mtu, lazima tupawe na ile tembo ile na hata pahali matangani, tupawe ili tembo ile, sasa ile ni kinywa cha<br />

ambacho ni cha kizee, kinatakikana kiwekue free.<br />

Com. Wambua: Asante sana. Hii ni kusema kusiwe na kushikua na kutokulipa.<br />

Mzee Kalume Mumba: Kushikwa na askari ama ku -------<br />

Com. Wambua: Asante sana. Jiandikishe pande hio. Kuna Hussein? Hussein ama Hassan? Hassan? Tafadhalini, tafadhali<br />

tutulie ndio tusikize wenzetu. Kuna Hassan? Hassan? Kuna Maua Jini ama Maua. Haya mama kuja hapa. Maua.<br />

Maua Jini: Jini yangu ni Maua Jini na ninakaa Kongowea. Mimi maoni yangu ni hivo ma plot hizo tunapangisha ni ya shida<br />

sana maana yake kukichelewa na hizo pesa wanaanza kuja kuuzia hiyo nyumba. Ndio maoni yangu. Na kisha maoni yangu<br />

ingine tena, kuna Mwarabu alijenga nyuma ya nyumba yangu na ananifungia maji. Sasa vile ananifungia yale maji, yani mvua<br />

kubua ikiija inaweza kuangusha na nyumba yake ni ya gorafa. Kila nikimuambia nilikwenda Municipal kwenda kuseme yale<br />

maneno, nafikiri alipeana kitu kidogo. Na mimi sina chochote. Sasa nyumba ile ikianguka nitailisha naye nini na watoto wangu<br />

jamani? Ndio yayo tu nilie nayo. Sina mengi.<br />

Com. Wambua: Asante sana mama. Jiandikishe huko. Tumeasikia yote hayo. Nitamuita David Chaka. David Chaka.<br />

Yuko? Haya Kuna Johnson Katana? Johnson Katana? Patrick Makalo? Patrick Makalo. Walter Mbotela? Frederick<br />

Kuledi. Okey endelea.<br />

62

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!