28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Speaker: Mbona wakina mama umewasahau?<br />

Com. Wambua: Sijasahau, hata sasa wale ninaita nawako wako nyuma najaribu kurekebisha kidogo maanake majina yenu<br />

yameandikwa huko nyuma nyuma lakini nitaendelea kuwaita tu. Pesa Omari yuko? Haya yuko. Kuna mwingine anaitwa Najib<br />

Shamfa, yuko wapi? Haya, three minutes Bwana.<br />

Najib Mohammed Shamsan: Jina langu Najib Mohammed Shamsan.<br />

Speaker: Sauti kidogo.<br />

Najib: Jina, Najib Mohammed Shamsan. Aah, nataka kuzungumzia mambo ya house without land. Sijawahi kuona nyumba<br />

ambayo haina ardhi, labda imejengwa baharini. At the moment, wenzangu wamezungumzia mambo ya ground rent. But mimi<br />

nataka kuzungumzia zaidi kuhusu hii distress <strong>of</strong> rent Act number 295. Act hino ningependelea iwe abolished kabisa kwa vile<br />

ndiyo news nest katika Kisauni. Wengi hawa wanaolevy distress hawapitii kupita mahakama. Wanapitia through their lawyers<br />

and auctioneers, which is very wrong. Maanake wale ambao wadaiwa kwa njia ambayo si ya halali hawapewi nafasi<br />

wakasikilizwa. Kwa hivyo Act hino ambayo ni 293, ningependelea sana iondolewe katika katiba yetu kabisa.<br />

Ma-auctioneers wamepewa power nyingi sana ya kuuza vitu na thamani value wanaiweka wao wenyewe. Itakuwaje nyama<br />

umpe fisi ajihukumu kama yeye fisi mwenyewe atakula nini mbeleni? Kwa hivyo ningependelea anything <strong>of</strong> sheria anayoifanya<br />

lazima iwe valued by independent valuer, registered one ambaye both parties anayedaiwa anayedai watakubaliana na hiyo value<br />

na ikiwa value hazijalingana, waende kortini kwa kusikilizwa kuhusu valuation.<br />

Watu wamezungumzia kuhusu price control. Ningependelea Price Control Act irudishwe sababu unyanyasaji wa chakula<br />

umezidi kuendelea. Hivi juzi tu, gram za mkate zimepunguzwa lakini bei imebakia pale pale. So, ingewezekana Price Control<br />

Act irudi vyakula vicontroliwe na ikiwezekana the government should subsidize atleast 60% ya chakula ya mwananchi because<br />

mnaposema haki ya mwananchi ni basic need ambayo ni vungu, mnatarajia chakula kitoke wapi kama wakati watu hawana<br />

kazi? So, serikali yenyewe ifanye bidii, itoe 60% ilipe mafactory ya chakula wananchi watoe 40% ya t<strong>of</strong>auti. Otherwise, the<br />

name basic need ya mwananchi haijaingia kwa katiba yetu. Mpaka iwe ya 60% ya chakula.<br />

Kuhusu councilors – Councillors, we could prefer mambo ya miaka mitano is too much for them. Wanakwenda council,<br />

wanakaa five years they are doing nothing. Tungependelea waweze kupewa miaka mitatu peke yake, three years is enough.<br />

From after three years tuwaangalie tena wanaweza kuendelea ama sivyo tuwang’oe. So, electorally tuwapige kura after every<br />

three years. Mayor to be elected by Wananchi themselves.<br />

Kuhusu disabled, walemavu – Bwana Commissioner, hii classroom tuliyokaa leo ni ya walemavu. Iangalie hali yake ilivyo, look<br />

at it. Ma-desk haya ni ya kuomba, haina umeme. Walemavu hawa kutoka wazaliwe hasa hawa wa mental disturbance,<br />

95

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!