verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Speaker: Mbona wakina mama umewasahau?<br />
Com. Wambua: Sijasahau, hata sasa wale ninaita nawako wako nyuma najaribu kurekebisha kidogo maanake majina yenu<br />
yameandikwa huko nyuma nyuma lakini nitaendelea kuwaita tu. Pesa Omari yuko? Haya yuko. Kuna mwingine anaitwa Najib<br />
Shamfa, yuko wapi? Haya, three minutes Bwana.<br />
Najib Mohammed Shamsan: Jina langu Najib Mohammed Shamsan.<br />
Speaker: Sauti kidogo.<br />
Najib: Jina, Najib Mohammed Shamsan. Aah, nataka kuzungumzia mambo ya house without land. Sijawahi kuona nyumba<br />
ambayo haina ardhi, labda imejengwa baharini. At the moment, wenzangu wamezungumzia mambo ya ground rent. But mimi<br />
nataka kuzungumzia zaidi kuhusu hii distress <strong>of</strong> rent Act number 295. Act hino ningependelea iwe abolished kabisa kwa vile<br />
ndiyo news nest katika Kisauni. Wengi hawa wanaolevy distress hawapitii kupita mahakama. Wanapitia through their lawyers<br />
and auctioneers, which is very wrong. Maanake wale ambao wadaiwa kwa njia ambayo si ya halali hawapewi nafasi<br />
wakasikilizwa. Kwa hivyo Act hino ambayo ni 293, ningependelea sana iondolewe katika katiba yetu kabisa.<br />
Ma-auctioneers wamepewa power nyingi sana ya kuuza vitu na thamani value wanaiweka wao wenyewe. Itakuwaje nyama<br />
umpe fisi ajihukumu kama yeye fisi mwenyewe atakula nini mbeleni? Kwa hivyo ningependelea anything <strong>of</strong> sheria anayoifanya<br />
lazima iwe valued by independent valuer, registered one ambaye both parties anayedaiwa anayedai watakubaliana na hiyo value<br />
na ikiwa value hazijalingana, waende kortini kwa kusikilizwa kuhusu valuation.<br />
Watu wamezungumzia kuhusu price control. Ningependelea Price Control Act irudishwe sababu unyanyasaji wa chakula<br />
umezidi kuendelea. Hivi juzi tu, gram za mkate zimepunguzwa lakini bei imebakia pale pale. So, ingewezekana Price Control<br />
Act irudi vyakula vicontroliwe na ikiwezekana the government should subsidize atleast 60% ya chakula ya mwananchi because<br />
mnaposema haki ya mwananchi ni basic need ambayo ni vungu, mnatarajia chakula kitoke wapi kama wakati watu hawana<br />
kazi? So, serikali yenyewe ifanye bidii, itoe 60% ilipe mafactory ya chakula wananchi watoe 40% ya t<strong>of</strong>auti. Otherwise, the<br />
name basic need ya mwananchi haijaingia kwa katiba yetu. Mpaka iwe ya 60% ya chakula.<br />
Kuhusu councilors – Councillors, we could prefer mambo ya miaka mitano is too much for them. Wanakwenda council,<br />
wanakaa five years they are doing nothing. Tungependelea waweze kupewa miaka mitatu peke yake, three years is enough.<br />
From after three years tuwaangalie tena wanaweza kuendelea ama sivyo tuwang’oe. So, electorally tuwapige kura after every<br />
three years. Mayor to be elected by Wananchi themselves.<br />
Kuhusu disabled, walemavu – Bwana Commissioner, hii classroom tuliyokaa leo ni ya walemavu. Iangalie hali yake ilivyo, look<br />
at it. Ma-desk haya ni ya kuomba, haina umeme. Walemavu hawa kutoka wazaliwe hasa hawa wa mental disturbance,<br />
95