28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ali Omari Majimbo: Asante. Mimi sina mengi, yangu ni machache<br />

Speaker: Jina yako tafadhali<br />

Ali Omari Majimbo: Jina langu ni Ali Omari Majimbo, hilo jina maarufu sana hilo. Mimi nazungumza kwanza mambo ya<br />

ardhi. Hii mambo ya ardhi ni mambo moja ambayo tulidhulumiwa na hao waliotudhulumi mpaka dakika hii tunao. Kwa hivyo,<br />

ningeomba mambo ya ardhi haya yachukuliwe haraka sana ili ardhi hii irudi kwa wananchi wenyewe. Kwa sababu, hapa tuna<br />

ushahidi kamili kwa sababu sitaki kusema neno holela. Huyu, bi Sultani, huyu Sultani aliyekuja hapa kutoka Yemen na watu<br />

wake na akanyakua aridhi yote akawapa watu wake. Hawa kununua, sasa leo sisi wananchi kwa nini tununue ardhi hii?<br />

Speaker: Kweli<br />

Ali Omari Majimbo: Ikiwa hawa hawa kununua huyu ndiye angekuja kuwapatia watu wake? Ndiye alitawala hapa na<br />

kwa nini ha kununua na sisi leo twambiwa tuuziwe. Tuuziwe na nani? Ukweli ni kwamba, ikiwa wewe umenunua, si kusema eti<br />

ni tajiri sana, hakuna jina la kuwa karibu na............................(inaudible) ardhi wala suma neno la ardhi, wala mwakio ni nani,<br />

hakuna. Kwa hivyo walinyakuwa, kwa hivyo ni haki yetu ardhi hii tupate, hilo ni jambo la kwanza. Jambo la pili,<br />

mweheshimiwa ni mambo ya hii majimbo. Tunataka majimbo na tunaona ni aibu sana katika nchi za kiafrica, leo hii pwani peke<br />

yake. Nisha tembea Tanzania, Uganda, wapi, sikuona mtu yeyote squatter. Nimetembea Kakamega, Western kule wapi, bara<br />

nzima. Kenya nimetembea, sikuona squatters, ajabu squatter ni hapa. Kwa hivyo hii mambo nataka tukomeshe. Kama serikali<br />

haiwezi kukomesha, tutakomesha wenyewe kwa sababu imefika wakate. Mimi sitasema zaidi maanake naambiwa wasemaji ni<br />

wengi na mimi nashukuru kwa kunipa nafasi hii.<br />

Com. Wambua: hizi ..............................(inaudible) za mwisho ni zako kabisa<br />

Ali Omari Majimbo: Tena ninakuletea kitambulisho sasa hivi hapo<br />

Com. Wambua: Jina lenyewe ni Majimbo<br />

Ali Omari Majimbo: Hilo ndilo linajulikana sana hilo<br />

Com. Wambua: Na wewe unataka serikali ya majimbo<br />

Ali Omari Majimbo: Serikali ya majimbo manake ndio italeta amani katika nchi nzime<br />

105

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!