28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Com. Wambua: Asante sana mzee, jiandikishe hapo.<br />

Ali Omari Majimbo: Asante, kidogo tu, neno moja, neno moja tu babangu tafadhali. Kwa sababu ukaona nchi za kiafrica,<br />

vita.......................(inaudible) haviishi sababu hakuna majimbo na majimbo inaleta haki kwa wananchi. kwa hivyo naiomba<br />

tafadhali serikali ya majimbo kila watu jimbo lao. Lakini kitu nataka ni kwamba, serikali kuu lazima mjue iko. Na serikali kuu<br />

tunataka iwe raisi awe ni mthamini wa nchi juu, pesa zikija kwa wafadhili, kila jimbo wagawanyiwe zao ili waweze kutumia,<br />

wakitaka kulipa walipe, sisi hatutaki celi kama hii. Pesa zaja zaingia mfukoni kwa watu, utaona watu wa Kakamega walipa,<br />

watu wa Kisumu walipa, watu wa Pwani wa lipa, lakini twalipa kitu ambacho hakutumia sisi. Hii ni dhambi kabisa. Ndio<br />

maana tunasema tunataka majimbo. Asanteni.<br />

Com. Wambua: Asante sana Mzee, kabla hatujawaita ndugu zetu ambao wameingia sasa, tutamsikiza mwingine mmoja,<br />

Said Abdul, dakika chache tu, mbili ndio tuwapatie nafasi wengine. Excuse me, who is the translating<br />

................................(inaudible)<br />

Speaker: He will do it.<br />

Said Abdul: Asante sana ma-commissioners na watu wote waliohudhuria hapa. Kwa majini naitwa Said Abdul Athman,<br />

leader <strong>of</strong> youth, Kisauni...........................(inaudible). Asalaam Maleikum. Langu haswa ni kuzungumzia habari ya ardhi<br />

kwanza. Makao ni muhimu na mimi ni mzaliwa wa hapa na tangu nizaliwe mpaka sasa nimesoma sehemu nyingi lakini najikuta<br />

niko katika hali moja ya unyonge kwamba jina langu ni squatter. Na nikitoka huko nikirudi hapa mpaka sasa sina makao kwa<br />

hiyo makao ni muhimu sana. Tunaomba kila mtu apatiwe haki yake, apate tittle deed yake ajisikie naye pia ni mtu wa hapa<br />

Kisauni. Nikija katika upande wa kazi, vijana wengi hapa Kisauni hawana kazi na hii ni <strong>constituency</strong>. Naongea kwa niaba yao<br />

kwasababu nimefanya research na nina statistics kwamba vijana elfu 30-hapa Kisauni hawana kazi. Hii ni idadi kubwa sana<br />

kwa hivyo ningependa asli mia 75% ya kazi zote hapa pwani ikiwa Bamburi, ikiwa ni beaches, ikiwa ni KPA wawafikirie hawa<br />

vijana. Ama kama sio hivyo, mimi pamoja na vijana wenzangu tutaunga hata kama ni kutumia nguvu ili sisi tuweze kujiendeleza.<br />

Upande wa afya, tunasema kwamba huduma za afya lazima ziwe bure kwa sababu sasa ukiangalia kama Kisauni, vijana<br />

hawana kazi, utapata wapi mapeni ya kuwasaidia wazazi wao au ndugu zao katika chochote? Kwa hivyo afya iwe bure. elimu<br />

vile vile tunaomba iwe bure na upande wa polisi. Upande wa polisi tumeona kwamba hiyo kazi wana<strong>of</strong>anya ni kama ule muda<br />

wao wako training sio wa kutosha, kwa hivyo kama ilikuwa ni miezi tisa, labda waongezewe miaka moja u nusu manake<br />

wajidumishe vizuri kwa sababu hawajifundishi jinsi ya kuishi vizuri na vijana wenzao. Wakishika vijana hapa, hauna hatia, wewe<br />

ni shida moja kwa moja na ukifika kule wewe huna kazi lakini utaulizwa utoe.................(inaudible) utazitoa wapi? la pili,<br />

tunaona kwamba kuna watu wengi ambao serikali yetu imepate ma-rais wawili tangu ijinyakulie uhuru ambao ni Bwana<br />

Kenyatta na vile vile Bwana Moi, hatujui atakaye kuja sasa. Hii tabia ya kubadilisha pesa, tunaomba kwamba ikome. Pesa<br />

zote ziwe na sura ya kiongozi wa kwanza kabisa ili iwe ni historia kila mwananchi ambaye atakuwa pia hakumwona aweze<br />

106

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!