28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ameona hakuridhika anakwenda high court ambayo haihukumu kislamu, inakuwa ile ni ku undermine the institution <strong>of</strong> Islamic<br />

affairs. Kwa hivo mambo yote ya kislamu yapitie kwa kadhi kutoka nyaja ya chini mpaka ya juu.<br />

Interjection Inaudible.<br />

Mr Abubakra: Parliament, iwe itakuwa na time table yake maalumu, both, Jimbo Parliament na Nation Parliament, isiwe<br />

tarehe ya election itakuwa lini, Bunge ikianza tu inajulikana tarehe Fulani kula sitakuweko, na ikiwa Bunge litavujwa mapema<br />

basi kuwe na masala muhimu, kuna crisis katika policies, vyama za kisiasa vinasosana, mpaka kwamba Serikali haiwezi<br />

kuendelea basi ifunjwe. Sio eti ule ako kwa utawala anaweza fuja sasa nikiita kula naweza kushida.<br />

Jambo jingine, tumepitia historia ya kutokuwa na uaminivu na Serikali yetu, Commissioners nyingi sana zimechaguliwa, lakini<br />

mapendekezo yake hayakusikika wala haijulikani, ningeomba kwamba tunaimani, ijapokuwa si kubwa kwamba Commission hii<br />

itamaliza kazi yake na Katiba mpya itapatikana, na ndani hii mpya kuwe kuna kifungo maalumu kwamba all Commissioners,<br />

ziliopita nyuma kuanzia uhuru mpaka sasa, mapendekezo yake yote yarudishwe na yasomwe na Wananchi , na kila jimbo<br />

ambalo la husika na jambo kama lile lichukue hatua kulingana na jimbo lake na kulingana na Serikali , ndipo tupate kujua<br />

dhambi zote zilifanywa na waliopita, siwe sitahukumiwa Kisheria.<br />

Mwanadamu hawezi kuwa juu ya sheria lazima awe under the law, ikiwa ni President ikiwa ni Prime Minister, ikiwa ni Mayor<br />

wa Jimbo akifanya makosa anachukuliwa hatua immediately, wakati pale pale yuko kwenye wadhifa. Ombi langu la mwisho, na<br />

this is my observation Commissioners, mtaona kwamba ndugu zetu wengi wamekuja hapa wamelalamika badala ya kutoa<br />

proposals, this is to say that civic education haikufanywa kisawasawa, mimi nawaomba sasa yale malalamiko yale watu<br />

wameitoa, based on that muform Constitution matters (inaudible) asanteni sana.<br />

Com Paul: Asante sana tumesikia yako tafadhali jiandikishe hapa, sasa tutamuita, naona hapa kuna jina tulikuwa tumelitaja<br />

lakini wewe hukujibu maanake tulikuita, je na kama Omar S Yahi ni wewe, tafadhali jina lako halionekani pahali popote hapa<br />

nalitafuta, lakini tutakupatia nafasi.ngoja kidogo hapa, nilisema nitamuita mama kwanza, jina lako haliko asubuhi, lakini<br />

nitakupatia nafasi, maana ake nimekuona tangu asubuhi.<br />

Speaker: ee nimeregister.<br />

Com Paul: ee kweli, Riziki Hamisi yuko, Riziki, mama kuja hapa uzungumze.<br />

Riziki Hamisi: Hamjambo akina mama na akina baba, mimi kwa jina naitwa Riziki Hamisi, mimi katika vile Katiba ambapo<br />

nilikuwa nikitaka kidogo igeuzwe, ilikuwa katika Kadhi wa kislamu achaguliwe na waislamu wenyewe, tena awe ajua sheria zile<br />

za kislamu na asome elimu ya kislamu na elimu ya sheria. Tena basi tuwe na koti ya rufani ya kislamu ambapo maswala yote<br />

yatashidwa, muislamu yule yule akate rufani katika koti ya kislamu ikiwa swala ni la kislamu.<br />

88

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!