verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
ameona hakuridhika anakwenda high court ambayo haihukumu kislamu, inakuwa ile ni ku undermine the institution <strong>of</strong> Islamic<br />
affairs. Kwa hivo mambo yote ya kislamu yapitie kwa kadhi kutoka nyaja ya chini mpaka ya juu.<br />
Interjection Inaudible.<br />
Mr Abubakra: Parliament, iwe itakuwa na time table yake maalumu, both, Jimbo Parliament na Nation Parliament, isiwe<br />
tarehe ya election itakuwa lini, Bunge ikianza tu inajulikana tarehe Fulani kula sitakuweko, na ikiwa Bunge litavujwa mapema<br />
basi kuwe na masala muhimu, kuna crisis katika policies, vyama za kisiasa vinasosana, mpaka kwamba Serikali haiwezi<br />
kuendelea basi ifunjwe. Sio eti ule ako kwa utawala anaweza fuja sasa nikiita kula naweza kushida.<br />
Jambo jingine, tumepitia historia ya kutokuwa na uaminivu na Serikali yetu, Commissioners nyingi sana zimechaguliwa, lakini<br />
mapendekezo yake hayakusikika wala haijulikani, ningeomba kwamba tunaimani, ijapokuwa si kubwa kwamba Commission hii<br />
itamaliza kazi yake na Katiba mpya itapatikana, na ndani hii mpya kuwe kuna kifungo maalumu kwamba all Commissioners,<br />
ziliopita nyuma kuanzia uhuru mpaka sasa, mapendekezo yake yote yarudishwe na yasomwe na Wananchi , na kila jimbo<br />
ambalo la husika na jambo kama lile lichukue hatua kulingana na jimbo lake na kulingana na Serikali , ndipo tupate kujua<br />
dhambi zote zilifanywa na waliopita, siwe sitahukumiwa Kisheria.<br />
Mwanadamu hawezi kuwa juu ya sheria lazima awe under the law, ikiwa ni President ikiwa ni Prime Minister, ikiwa ni Mayor<br />
wa Jimbo akifanya makosa anachukuliwa hatua immediately, wakati pale pale yuko kwenye wadhifa. Ombi langu la mwisho, na<br />
this is my observation Commissioners, mtaona kwamba ndugu zetu wengi wamekuja hapa wamelalamika badala ya kutoa<br />
proposals, this is to say that civic education haikufanywa kisawasawa, mimi nawaomba sasa yale malalamiko yale watu<br />
wameitoa, based on that muform Constitution matters (inaudible) asanteni sana.<br />
Com Paul: Asante sana tumesikia yako tafadhali jiandikishe hapa, sasa tutamuita, naona hapa kuna jina tulikuwa tumelitaja<br />
lakini wewe hukujibu maanake tulikuita, je na kama Omar S Yahi ni wewe, tafadhali jina lako halionekani pahali popote hapa<br />
nalitafuta, lakini tutakupatia nafasi.ngoja kidogo hapa, nilisema nitamuita mama kwanza, jina lako haliko asubuhi, lakini<br />
nitakupatia nafasi, maana ake nimekuona tangu asubuhi.<br />
Speaker: ee nimeregister.<br />
Com Paul: ee kweli, Riziki Hamisi yuko, Riziki, mama kuja hapa uzungumze.<br />
Riziki Hamisi: Hamjambo akina mama na akina baba, mimi kwa jina naitwa Riziki Hamisi, mimi katika vile Katiba ambapo<br />
nilikuwa nikitaka kidogo igeuzwe, ilikuwa katika Kadhi wa kislamu achaguliwe na waislamu wenyewe, tena awe ajua sheria zile<br />
za kislamu na asome elimu ya kislamu na elimu ya sheria. Tena basi tuwe na koti ya rufani ya kislamu ambapo maswala yote<br />
yatashidwa, muislamu yule yule akate rufani katika koti ya kislamu ikiwa swala ni la kislamu.<br />
88