28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Com Paul: upatie mama nafasi aongee atoe maoni yake.<br />

Hamisi Saidi: Mimi nilikuwa na shukuru sana kuhusu haya majimbo.<br />

Com Salome: Sema jina lako<br />

Hamisi Saidi: Jina langu mwana Hamisi Saidi, natoka Michomoroni, sasa wakina mama wananyanyaswa sana, jambo la<br />

kwanza wakifanya biashara, watoto hawana fees za skuli, wakifanya biashara wanaambiwa kwanini unafanya biashara na wao<br />

hufukuzwa, kwa hivyo wazee mnao toka juu muangalie wakina mama wananyanganywa sana, na wengine mababa zao<br />

walikufa, sina mengi.<br />

Com Paul: Lakini mama jina hili ni lako kweli<br />

Ms Hamisi: Ni langu nimeandika,<br />

Com Paul: Na mimi naona miaka 27 kweli<br />

Ms Hamisi: Walioandika wameandika kimakosa.<br />

Com Paul: Na unatoka shirika linaitwa jana si leo<br />

Ms Hamisi: Walio andika wameandika kimakosa.<br />

Com Paul: Hapo mama kunaonekan kumetokea makosa kidogo lakini tutajaribu tuandike jina lako pahali kwa maana<br />

tumeyapokea maoni yako na yameingia kwa ukada tayari, ujiandikishe hapo, sasa tutamuita Tesa Omar,<br />

Speaker: Bona mmetusahau, unaitana tu na bona hutuiti?<br />

Com Paul: Sijawasahau, hata sasa wale nawaita wako nyuma kidogo, najaribu kurekebisha kidogo maana majina yenu<br />

yameandikwa huko nyuma nyuma na nitajaribu kuwaita. Tesa Omari Yuko, kuna mwingine anayeitwa Nassir Zam Zam, three<br />

minutes.<br />

Muhammed Zam Zam: Jina langu naitwa Muhammed Zam Zam, nataka kuzungumzia mambo ya house without land, sijawahi<br />

kuona nyumba ambayo haina ardhi, labda imejegwa baharin, wenzangu wamezungumzia (inaudible) lakini nataka kuzungumzia<br />

act 295, ningependelea iwe abolished kabisa, kwa vile ndiyo nuisance katika Kisauni, wengi hawa wanao levi distress<br />

92

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!