28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wengine. Hapo tutajitambua kwamba sisi, hatubaguani.<br />

Na pili, kuna ubaguzi mmoja wa siku kuu moja ambayo kwamba Waislamu hatukupatiwa hiyo pamoja na ndugu zetu Wakristo.<br />

Tungependa tukipatiwa, tupatiwe zote, isipaguliwe hiyo ni Waislamu pekee yao, ndugu zetu Wakristo wawe wanatumezea<br />

mate. Hatuwezi kula pale, na ndugu zetu Wakristo wanatuangalia hivi. Korani haikuamulisha hivo, kula wewe, na jirani yako<br />

mpe kidogo naye ale.<br />

Siku kuu tukufu ambayo ni “Idd-Ul-Hajj”, wale Waislamu wanapokwenda kuleMecca. Tungependa pia iwe ni <strong>public</strong> holiday,<br />

kama ile “Idd-Ul-Fitr”.<br />

Na kadhalika, sisi hapa ni wazima, lakini kuna wenzetu wako ma-hospitalini, ni wagonjwa. Watembelewe pia, wasikia na<br />

Commissioners. Wakawaulize maoni yao ni nini? Wangechangia, kwa sababu hao ni wagonjwa, si kupenda kwao.<br />

Pili, ni ndugu zetu ambao kwamba walifanya ualivu, Serikali yetu ikawatia mbaroni na kuwaweka kwenye discipline ya<br />

kuwafunga magerezani, wapatiwe pia muda na wao wakutoa maoni.<br />

Kwa hayo machache ndugu yangu, ningependa kuzungumza barua hii ndefu, lakini Mzee tutaonana.<br />

Com. Pr. Ayonga: Asante. Hebu utupatie hayo maandishi yako. Na ningependa kumpa nafasi Jacob Ochola Okwiri.<br />

Mbona usikae hapo mzee. ……………… (inaudible), kuongea ukiwa hapo. Sema majina yako.<br />

Jacob Ochola Okwiri: Jina langu ni Jacob Ochola Okwiri – miaka sitini-na-tano.<br />

Maoni yangu, ambayo imeleta mimi hapa, nasikia watu wanapendelea ati Waziri Mkuu. Mimi sikupendelea Waziri Mkuu awe<br />

nchi yetu hii. Kwa sababu, nchi ingine kama saba, zilikuwa na ma-Waziri Mkuu, zilimwaga damu. Kwa hivyo, Katiba yetu<br />

hii, ituwezeshe kuwa na Rais moja, ambaye ana uwezo, na serikali moja, na jeshi moja. Kwa hivyo, nilipendelea tusiwe na<br />

Waziri Mkuu.<br />

Na tuwe na Makamu ambaye ni mume.<br />

Com. Pr. Yonga: Tafadhali tuwe kimya ili tumuzikize.<br />

Jacob Ochola: Napendelea hapa Kenya, ikiwa mtu anapendelea atume jina lake, asikwe karibu na Serikali, awe ni Mkenya<br />

harisi. Ikiwa hata ni Mpwani, lakini awe Mpwani Mkenya.<br />

52

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!