28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

maoni yangu, wale kuku ambao nawafuga sitaki Chief wala mzee waje wanichukulie hiyo ndio Katiba yangu. Kumbe katika<br />

Katiba kuna act cap 1974 ya kumlinda mtu mali yake na hakuisoma wala hajui, so more civic education yatakikana yalemishwa<br />

raia.<br />

Sasa naja katika maoni kuhusu <strong>of</strong>fice ya Chief Kadhi nataka kuifafanua kwa upana, Chief Kadhis <strong>of</strong>fice, hivi sasa inavyokuwa<br />

ama ilivyo, sivyo vile ambavyo sasa twatoa maoni, kama Council <strong>of</strong> Imaam na wahubiri, twataka Kadhis Office iwe kama<br />

makoti mengine, waheshimiwa Commissioners ndugu zangu, kwanza kuanzia surbodinate courts, zile ngazi cha chini wawe watu<br />

wanahukumiwa kupitia kitabu cha mwenyezi mungu ambayo ni Koran Karim na hadithi za Bwana mtume muhammed, kisha<br />

kuna court ya appeal, iwe ni ya kislamu. Sio leo case za waislamu zatoka kwa Kadhi wamezidikana kuelewana kesho wanarudi<br />

katika secrularism hatuwezi kwenda huko, kwasababu kitabu chetu kimekamilika, isalamu is the way <strong>of</strong> the life.<br />

Tukija katika akina mama, tukienda katika ma Court hivi sasa utachangaa, hakuna nafasi ya mama zetu kukaa kama vile court<br />

zingine tunasiona za secrularism ama court zingine za ki Serikali, utulie anapohukumiwa, anapata taabu pengine ni mja mzito,<br />

tunataka zile facilities ziwafikirie na wao kama wale wengine. Kisha kuwe na uhuru waweze kuwa na mkalimani baina ya mama<br />

mke ambao wamesoma, tunao wengi wamesoma. Tuje katika qualification, mama yule ameelimika, akiwa ameelimika, kitabu<br />

chetu kinatuambia baina ya mke na mume ni kutangamana ni fitina, kwa hivyo ni lazima kuna siri zingine. Hata wakati mtume na<br />

masaaba, ilikuwa Bwana Mtume katika sera yake hata kuoa wake aliopewa na mungu amri, ni kwasababu mambo mengine<br />

wanawake kwa wanawake wazungumza na yeye. Kwa hivyo hii tunataka muiandike na iwepo, ili wapate kuwambiana yale<br />

shida zao walizo nazo. Baina ya mama na baba huwa mambo mengine hufichana, amasivyo ndugu zangu?<br />

Qualification ya Chief Kadhi, kwanza twataka awe na elimu ya Islamic sheria, kisha awe na (inaudible) ya kidunia, awe ni<br />

msoevu katika makazi yake ya ukadhi na awe na usoevu ya uwakiri Lawyer, kisha awe na experience, ya miaka ali<strong>of</strong>anyia kazi<br />

kuzunguka mikoa yote minane, tena wachaguliwe na muslimu scholars waliohittimu kisawasawa katika Magistrate zura.<br />

Wakicha fanya hivo sasa ndio hao makadhi hao wengine, nao wanakwenda sababa kulingana na amri ya chief kadhi alivyo<br />

chaguliwa, na umri tunaotaka ni kuanzia 35, mimi nishapata niko 38, kwa huyo Mtume alipopewa utume alikuwa na miaka 40,<br />

kwasababu bongo limekomaa, utotoni hayuko, na ubarobaroni hayuko.<br />

Tukija upande wa women state, tunataka akina mama pia wawe na majela yao kama vile leo watu wanavyo jela, siwe na<br />

heshima jela zile ikiwa katika hukumu za kuhukumiana na wawe watu wanaangalio kiutamaduni ya vile walivyo. Upande wa<br />

mapolisi wawe na polisi wao kwasababu leo akina mama wachukiwa na mapolisi ya wakina baba. Sasa hii system itakuwa<br />

imechunga amani, ule uharibifu, sasa twasikia tuna ma case ngapi za rape, polisi mume akiamua atafanya vile atakavyo, lakini<br />

akiwa ni polisi mke kwa mke hakuna raping. Bwana Commissioner asante kwa nipa muda saidi, natural resource naja<br />

nakatakata, mambo yangu yalikuwa tangu asubuhi<br />

Com Paul: Nimeongezea tu dakika ingine moja.<br />

90

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!