verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
maoni yangu, wale kuku ambao nawafuga sitaki Chief wala mzee waje wanichukulie hiyo ndio Katiba yangu. Kumbe katika<br />
Katiba kuna act cap 1974 ya kumlinda mtu mali yake na hakuisoma wala hajui, so more civic education yatakikana yalemishwa<br />
raia.<br />
Sasa naja katika maoni kuhusu <strong>of</strong>fice ya Chief Kadhi nataka kuifafanua kwa upana, Chief Kadhis <strong>of</strong>fice, hivi sasa inavyokuwa<br />
ama ilivyo, sivyo vile ambavyo sasa twatoa maoni, kama Council <strong>of</strong> Imaam na wahubiri, twataka Kadhis Office iwe kama<br />
makoti mengine, waheshimiwa Commissioners ndugu zangu, kwanza kuanzia surbodinate courts, zile ngazi cha chini wawe watu<br />
wanahukumiwa kupitia kitabu cha mwenyezi mungu ambayo ni Koran Karim na hadithi za Bwana mtume muhammed, kisha<br />
kuna court ya appeal, iwe ni ya kislamu. Sio leo case za waislamu zatoka kwa Kadhi wamezidikana kuelewana kesho wanarudi<br />
katika secrularism hatuwezi kwenda huko, kwasababu kitabu chetu kimekamilika, isalamu is the way <strong>of</strong> the life.<br />
Tukija katika akina mama, tukienda katika ma Court hivi sasa utachangaa, hakuna nafasi ya mama zetu kukaa kama vile court<br />
zingine tunasiona za secrularism ama court zingine za ki Serikali, utulie anapohukumiwa, anapata taabu pengine ni mja mzito,<br />
tunataka zile facilities ziwafikirie na wao kama wale wengine. Kisha kuwe na uhuru waweze kuwa na mkalimani baina ya mama<br />
mke ambao wamesoma, tunao wengi wamesoma. Tuje katika qualification, mama yule ameelimika, akiwa ameelimika, kitabu<br />
chetu kinatuambia baina ya mke na mume ni kutangamana ni fitina, kwa hivyo ni lazima kuna siri zingine. Hata wakati mtume na<br />
masaaba, ilikuwa Bwana Mtume katika sera yake hata kuoa wake aliopewa na mungu amri, ni kwasababu mambo mengine<br />
wanawake kwa wanawake wazungumza na yeye. Kwa hivyo hii tunataka muiandike na iwepo, ili wapate kuwambiana yale<br />
shida zao walizo nazo. Baina ya mama na baba huwa mambo mengine hufichana, amasivyo ndugu zangu?<br />
Qualification ya Chief Kadhi, kwanza twataka awe na elimu ya Islamic sheria, kisha awe na (inaudible) ya kidunia, awe ni<br />
msoevu katika makazi yake ya ukadhi na awe na usoevu ya uwakiri Lawyer, kisha awe na experience, ya miaka ali<strong>of</strong>anyia kazi<br />
kuzunguka mikoa yote minane, tena wachaguliwe na muslimu scholars waliohittimu kisawasawa katika Magistrate zura.<br />
Wakicha fanya hivo sasa ndio hao makadhi hao wengine, nao wanakwenda sababa kulingana na amri ya chief kadhi alivyo<br />
chaguliwa, na umri tunaotaka ni kuanzia 35, mimi nishapata niko 38, kwa huyo Mtume alipopewa utume alikuwa na miaka 40,<br />
kwasababu bongo limekomaa, utotoni hayuko, na ubarobaroni hayuko.<br />
Tukija upande wa women state, tunataka akina mama pia wawe na majela yao kama vile leo watu wanavyo jela, siwe na<br />
heshima jela zile ikiwa katika hukumu za kuhukumiana na wawe watu wanaangalio kiutamaduni ya vile walivyo. Upande wa<br />
mapolisi wawe na polisi wao kwasababu leo akina mama wachukiwa na mapolisi ya wakina baba. Sasa hii system itakuwa<br />
imechunga amani, ule uharibifu, sasa twasikia tuna ma case ngapi za rape, polisi mume akiamua atafanya vile atakavyo, lakini<br />
akiwa ni polisi mke kwa mke hakuna raping. Bwana Commissioner asante kwa nipa muda saidi, natural resource naja<br />
nakatakata, mambo yangu yalikuwa tangu asubuhi<br />
Com Paul: Nimeongezea tu dakika ingine moja.<br />
90