28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Lingine, Kenya iwe na mavazi rasmi ya kiheshima. Kwa upande wa eleimu pia, tunaomba elimu iwe ya bure ili kila mwananchi<br />

wa Kenya awe na elimu. Lingine ni kuwa…<br />

(Interjection) Com Pastor Ayonga: hebu maongezi ya kule nyuma, tafadhali tumsikilize huyu mama.<br />

Bahati Musa: Lingine kwa maoni yangu ninaomba kuwa matibabu ya hospitali yawe ya bure ili kila mwananchi apate huduma.<br />

Asanteni.<br />

Com Pastor Ayonga: Asante mama, kama unaweza kutoa hiyo karatasi yako na ujiandikishe. Huyo alikuwa Bahati Musa.<br />

Sasa ni Tumu Hamisi. Halafi anayeitwa Harry, ajitayarishe. Tafadhali tuwe kimwa ili tuyasikia maoni ya mama Tumu Hamisi.<br />

Tumu Hamisi: Hamjambo?<br />

Response from the audience: Hatujambo.<br />

Tumu Hamisi: Kwa majina kamili ninaitwa Mwanatumu Mwinyi Hamisi, ninatoka kwenye kamati ya Ziwa la Ng’ombe<br />

settlement scheme. Nimekuja hapa kutoa maoni.<br />

Maoni yangu ya kwanza yanasema kuwa, mkuu wa sheria achaguliwe na kamati ya bunge na sio Rais. tunataka Serikali ya<br />

majimbo. Miswada yote katika bunge iwasilishwe kwaq Speakeer kwa lugha ya kiswahili na pia igadiliwe Kiswahili.<br />

Madiwani wote wawe na <strong>of</strong>isi katika wardi zao.<br />

Mawaziri wachaguliwe na bunge na sio Rais. kila mbunge na Diwani awe na kamati katika eneo lake, itakay<strong>of</strong>uatilia kazi yake<br />

na yale aliyoahidi kutengeneza wakati wa campaign na awe na <strong>of</strong>isi katika eneo lake. Ni hayo tu.<br />

Com Pastor Ayonga Bahati Musa: Asante mama. Wapi Harry na Bakari Sire awe tayari.<br />

Harry Philip Mbai Njoro Ali: Assalam aleykum!<br />

Response from the audience: Warahmatulahi wabarakat.<br />

Harry Philip Mbai Njoro Ali: Mimi ningependa kwanza kusimama, tafadhali. Sipendi kuketi. Jina langu ni Harry Philip Mbai<br />

Njoro Ali. Mkaaji wa Free town, kabila langu ni Mdigo Mkauma.<br />

Kwanza ninashukuru wote waliotoa maoni, watu wote, wote kwa sababu yale walioyasema ndio niliyoyaandika hapa<br />

35

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!