verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
ya kiubaguzi wao wenyewe, mimi ni kiwa kama pr<strong>of</strong>essor nimesoma Koran sharifu naninajua ilivyo, kwa hiyo hakuna haya<br />
yakusema kwamba waislamu ufanye ubaya kwa mtu mwingine hakuna, na ikiwa yuko, aje mbele yangu tufanye challenge juu ya<br />
Koran, na ile Katiba yao au Bibilia tutazungumza, kuonyesha kwamba uislamu ni kitu kizuri kina amani cha penda amani kwa<br />
watu wote hiyo ni sehemu ya kwanza.<br />
Sehemu ya pili ni kwamba mmekuja lakini mpeleke ripoti ya heshima kubwa kwa hao wazee wetu walioko huko, kwamba<br />
tuptiwe nafasi ya heshima ya <strong>of</strong>isi yetu ya Kadhi, <strong>of</strong>fice yetu ya Ukadhi imebanwa banwa sana, haina hata mpangilio wowote<br />
inabakia kuoza kuacha basi niwie radhi, ambapo ziko hukumu nyingi sana kulingamana na Historia na Koran ni (inaudible)<br />
hukumu kushida za kizungu, mimi nimesoma sheria katika chuo kikuu cha Lazaraus Chariot Misiri, halafu nimesoma sheria zote<br />
mbili, koti inavy<strong>of</strong>anya hapa ni kinyume kwa makoti mengine, ni me kwenda Misiri, Uraya, German mpaka Vetican nimefika<br />
kwenda kufanya kireligion, vetican nimekaa mwaka mmoja na nusu. Waislamu si wabaya, ni yale matendo mabaya<br />
yaliy<strong>of</strong>anyiwa waislamu na wao wakawa wanalipisha au ni kwamba wao nao wanaona uchungu hali wana<strong>of</strong>anywa, kwa hivyo<br />
naona <strong>of</strong>fice yetu ya kadhi iweze kupewa nafasi mzuri, ifanye kazi kwa ukamilivu na watu wahudumikiwe kisawasawa. Kwa<br />
hiyo naomba memorandum iko hapa, hayo yote yako dani na mengineyo, kwa hiyo namaliza ili nipatie wenzangu nao nafasi,<br />
sitaki niseme mengi sana kwa hiyo nawaambia,<br />
(in venacular)<br />
Com Paul: Asante sana Sheikh Muhammed Asuman, jiandikishe hapo na utuachie memorandum tutaisoma kwa makini sana,<br />
nimesikia maneno yako. Nitamuita Bwana S O Miroto.<br />
Interjection inaudible<br />
S O Miroto: Mimi yangu ni machache,<br />
Com Salome: Majina yako tafadhali, aanza na majina yako.<br />
Mr Miroto: Mimi yangu ni machache, kwa jina yangu naitwa Sammy Onyango Miroto, lakini nimeshukuru sana kwasababu<br />
wengi wetu wamechangia kuhusu ardhi ambapo kule kwetu Nyanza ile ninaoana hapa haiko huko, sasa nimewaunga mikono<br />
kabisa kwa maaana Kenya ni moja lakini kule hata kama ukiweka shamba lako utaikuta tu, lakini hapa wale Wananchi hapa<br />
hawana shamba hiyo ni makosa sana.<br />
Sasa mimi yangu kabisa nitaanzia na education, najua gharama ya malipo ya karo imeenda juu sana, sasa nimeomba Serikali<br />
yetu tukufu iweke hii gharama wamewekewa hii malipo watu wanaenda chuo kikuu, ninzuri sana, lakini wale wanaenda<br />
polytechnic, pia wamepita mtihani na wazazi wanasumbuliwa na malipo na kuna pesa imewekwa mingi kwa <strong>of</strong>fice ya President,<br />
ili that budget should be reduced, halafu hii pesa iwekwe kwa Ministry <strong>of</strong> education isaidie wazazi kwa kulipa karo ya watoto<br />
84