28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ya kiubaguzi wao wenyewe, mimi ni kiwa kama pr<strong>of</strong>essor nimesoma Koran sharifu naninajua ilivyo, kwa hiyo hakuna haya<br />

yakusema kwamba waislamu ufanye ubaya kwa mtu mwingine hakuna, na ikiwa yuko, aje mbele yangu tufanye challenge juu ya<br />

Koran, na ile Katiba yao au Bibilia tutazungumza, kuonyesha kwamba uislamu ni kitu kizuri kina amani cha penda amani kwa<br />

watu wote hiyo ni sehemu ya kwanza.<br />

Sehemu ya pili ni kwamba mmekuja lakini mpeleke ripoti ya heshima kubwa kwa hao wazee wetu walioko huko, kwamba<br />

tuptiwe nafasi ya heshima ya <strong>of</strong>isi yetu ya Kadhi, <strong>of</strong>fice yetu ya Ukadhi imebanwa banwa sana, haina hata mpangilio wowote<br />

inabakia kuoza kuacha basi niwie radhi, ambapo ziko hukumu nyingi sana kulingamana na Historia na Koran ni (inaudible)<br />

hukumu kushida za kizungu, mimi nimesoma sheria katika chuo kikuu cha Lazaraus Chariot Misiri, halafu nimesoma sheria zote<br />

mbili, koti inavy<strong>of</strong>anya hapa ni kinyume kwa makoti mengine, ni me kwenda Misiri, Uraya, German mpaka Vetican nimefika<br />

kwenda kufanya kireligion, vetican nimekaa mwaka mmoja na nusu. Waislamu si wabaya, ni yale matendo mabaya<br />

yaliy<strong>of</strong>anyiwa waislamu na wao wakawa wanalipisha au ni kwamba wao nao wanaona uchungu hali wana<strong>of</strong>anywa, kwa hivyo<br />

naona <strong>of</strong>fice yetu ya kadhi iweze kupewa nafasi mzuri, ifanye kazi kwa ukamilivu na watu wahudumikiwe kisawasawa. Kwa<br />

hiyo naomba memorandum iko hapa, hayo yote yako dani na mengineyo, kwa hiyo namaliza ili nipatie wenzangu nao nafasi,<br />

sitaki niseme mengi sana kwa hiyo nawaambia,<br />

(in venacular)<br />

Com Paul: Asante sana Sheikh Muhammed Asuman, jiandikishe hapo na utuachie memorandum tutaisoma kwa makini sana,<br />

nimesikia maneno yako. Nitamuita Bwana S O Miroto.<br />

Interjection inaudible<br />

S O Miroto: Mimi yangu ni machache,<br />

Com Salome: Majina yako tafadhali, aanza na majina yako.<br />

Mr Miroto: Mimi yangu ni machache, kwa jina yangu naitwa Sammy Onyango Miroto, lakini nimeshukuru sana kwasababu<br />

wengi wetu wamechangia kuhusu ardhi ambapo kule kwetu Nyanza ile ninaoana hapa haiko huko, sasa nimewaunga mikono<br />

kabisa kwa maaana Kenya ni moja lakini kule hata kama ukiweka shamba lako utaikuta tu, lakini hapa wale Wananchi hapa<br />

hawana shamba hiyo ni makosa sana.<br />

Sasa mimi yangu kabisa nitaanzia na education, najua gharama ya malipo ya karo imeenda juu sana, sasa nimeomba Serikali<br />

yetu tukufu iweke hii gharama wamewekewa hii malipo watu wanaenda chuo kikuu, ninzuri sana, lakini wale wanaenda<br />

polytechnic, pia wamepita mtihani na wazazi wanasumbuliwa na malipo na kuna pesa imewekwa mingi kwa <strong>of</strong>fice ya President,<br />

ili that budget should be reduced, halafu hii pesa iwekwe kwa Ministry <strong>of</strong> education isaidie wazazi kwa kulipa karo ya watoto<br />

84

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!