04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

102 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />

kuelekeza kwenye umilele, kutoa uimara <strong>wa</strong> maadili na kuchochea moyo <strong>wa</strong><br />

mahusiano baina <strong>ya</strong> mtu na Mungu.<br />

Hivyo, m<strong>wa</strong>nahistoria Eugen Ewig huzungumzia fundisho la Agano la Kale la<br />

Mamlaka mbili. Eduard Eichmann, pia <strong>ni</strong> m<strong>wa</strong>nahistoria, akiandika <strong>juu</strong> <strong>ya</strong><br />

mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> mamlaka katika Agano la Kale baina <strong>ya</strong> kuha<strong>ni</strong> na mfalme<br />

anasema, “Sambamba na Maandiko Matakatifu mitazamo <strong>ya</strong> Agano la Kale<br />

imeku<strong>wa</strong> mali-shirika <strong>ya</strong> Mkristo <strong>wa</strong> Magharibi”.<br />

Yesu alithibitisha utengano huu katika maneno, “mpe<strong>ni</strong> Kaisari <strong>ya</strong>liyo <strong>ya</strong><br />

Kaisari, na <strong>ya</strong>liyo <strong>ya</strong> Mungu mpe<strong>ni</strong> Mungu” (Mk. 12:17). K<strong>wa</strong> sababu sheria hii<br />

imekuja kutoka k<strong>wa</strong> Mungu, ambaye yu <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> mfalme, taasisi za kidi<strong>ni</strong> za<br />

Mungu zilizomo du<strong>ni</strong>a<strong>ni</strong>, <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> Mungu <strong>wa</strong>liojiweka pamoja, ha<strong>wa</strong>ko <strong>juu</strong> <strong>ya</strong><br />

mfalme. Kipaumbele cha k<strong>wa</strong>nza <strong>ni</strong> utii k<strong>wa</strong> Mungu, ambaye hutambua na<br />

kuweka mipaka <strong>ya</strong> kile kilicho cha Kaisari. Kaisari hana mamlaka <strong>ya</strong> kutambua<br />

na kuweka mipaka <strong>ya</strong> kile kilicho cha Mungu. Hata hivyo, hii haimaa<strong>ni</strong>shi<br />

k<strong>wa</strong>mba mta<strong>wa</strong>la <strong>ni</strong> tegemezi k<strong>wa</strong> Ka<strong>ni</strong>sa, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> Mungu amekwisha kumpa<br />

<strong>wa</strong>jibu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu wote katika uta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong>ke, sio tu <strong>wa</strong>ami<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> kundi moja la<br />

kidi<strong>ni</strong>.<br />

Utengano baina <strong>ya</strong> Ka<strong>ni</strong>sa na Serikali haumaa<strong>ni</strong>shi k<strong>wa</strong>mba daima majukumu<br />

ha<strong>ya</strong>ingilia<strong>ni</strong>, au k<strong>wa</strong>mba taasisi hizo hazihitajia<strong>ni</strong>. Kinyume chake, Ka<strong>ni</strong>sa<br />

laweza kuishauri serikali na kuifundisha <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu, kama Yeho<strong>ya</strong>da<br />

alivyomfundisha Yoashi, “Yoashi akafan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyo mema macho<strong>ni</strong> pa BWANA<br />

siku zake zote Yeho<strong>ya</strong>da kuha<strong>ni</strong> alizomfundisha” (2 Fal. 12:2). Ni jambo ba<strong>ya</strong><br />

k<strong>wa</strong>mba Ka<strong>ni</strong>sa la sasa limetupilia mbali huduma hii muhimu na linapendelea<br />

kujiunga na makundi mbalimbali na kulalamika.<br />

Utenga<strong>ni</strong>shi <strong>wa</strong> Ka<strong>ni</strong>sa na serikali hauwi vita dhidi <strong>ya</strong> Ukristo hadi pale Serikali<br />

inaposahau jukumu lake katika <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu na kuanza kuitesa ima<strong>ni</strong>.<br />

Mungu Hana Upendeleo<br />

Karne nyingi zilizopita katika Biblia, Mungu alifan<strong>ya</strong> hatua halali za kisheria za<br />

haki za binadamu. Hakimu mwenye haki <strong>ni</strong> <strong>wa</strong> muhimu katika kuitambua haki,<br />

na Mungu <strong>ni</strong> mfano <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza na asilia <strong>wa</strong> hakimu mwenye haki (Kumb.<br />

10:17-18; Zab. 7:9+12; 9:5; 50:6, Tazama pia Zab. 75:3+8), “k<strong>wa</strong> maana<br />

BWANA <strong>ni</strong> Mungu <strong>wa</strong> hukumu” (Isa<strong>ya</strong> 30:18). Yeye <strong>ni</strong> mlinzi <strong>wa</strong> haki. Wale<br />

<strong>wa</strong>hukumuo k<strong>wa</strong> halali hutenda katika Jina la Mungu. Agano la Kale hutueleza<br />

<strong>juu</strong> <strong>ya</strong> mfalme mwenye haki Yehoshafati, “Na aka<strong>wa</strong>ambia mahakimu,<br />

zingatie<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>le m<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong>yo, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hamhukumu k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> mtu, bali<br />

k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> BWANA, ambaye yu nanyi katika hukumu. Basi sasa hofu <strong>ya</strong><br />

BWANA iwe <strong>juu</strong> yenu, zingatie<strong>ni</strong> na mkafanye, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hakuna uovu<br />

k<strong>wa</strong> BWANA Mungu wetu, <strong>wa</strong>la kuheshimu nafasi za <strong>wa</strong>tu, <strong>wa</strong>la kupokea<br />

za<strong>wa</strong>di” (2 N<strong>ya</strong>. 19:6-7).

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!