Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
102 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />
kuelekeza kwenye umilele, kutoa uimara <strong>wa</strong> maadili na kuchochea moyo <strong>wa</strong><br />
mahusiano baina <strong>ya</strong> mtu na Mungu.<br />
Hivyo, m<strong>wa</strong>nahistoria Eugen Ewig huzungumzia fundisho la Agano la Kale la<br />
Mamlaka mbili. Eduard Eichmann, pia <strong>ni</strong> m<strong>wa</strong>nahistoria, akiandika <strong>juu</strong> <strong>ya</strong><br />
mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> mamlaka katika Agano la Kale baina <strong>ya</strong> kuha<strong>ni</strong> na mfalme<br />
anasema, “Sambamba na Maandiko Matakatifu mitazamo <strong>ya</strong> Agano la Kale<br />
imeku<strong>wa</strong> mali-shirika <strong>ya</strong> Mkristo <strong>wa</strong> Magharibi”.<br />
Yesu alithibitisha utengano huu katika maneno, “mpe<strong>ni</strong> Kaisari <strong>ya</strong>liyo <strong>ya</strong><br />
Kaisari, na <strong>ya</strong>liyo <strong>ya</strong> Mungu mpe<strong>ni</strong> Mungu” (Mk. 12:17). K<strong>wa</strong> sababu sheria hii<br />
imekuja kutoka k<strong>wa</strong> Mungu, ambaye yu <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> mfalme, taasisi za kidi<strong>ni</strong> za<br />
Mungu zilizomo du<strong>ni</strong>a<strong>ni</strong>, <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> Mungu <strong>wa</strong>liojiweka pamoja, ha<strong>wa</strong>ko <strong>juu</strong> <strong>ya</strong><br />
mfalme. Kipaumbele cha k<strong>wa</strong>nza <strong>ni</strong> utii k<strong>wa</strong> Mungu, ambaye hutambua na<br />
kuweka mipaka <strong>ya</strong> kile kilicho cha Kaisari. Kaisari hana mamlaka <strong>ya</strong> kutambua<br />
na kuweka mipaka <strong>ya</strong> kile kilicho cha Mungu. Hata hivyo, hii haimaa<strong>ni</strong>shi<br />
k<strong>wa</strong>mba mta<strong>wa</strong>la <strong>ni</strong> tegemezi k<strong>wa</strong> Ka<strong>ni</strong>sa, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> Mungu amekwisha kumpa<br />
<strong>wa</strong>jibu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu wote katika uta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong>ke, sio tu <strong>wa</strong>ami<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> kundi moja la<br />
kidi<strong>ni</strong>.<br />
Utengano baina <strong>ya</strong> Ka<strong>ni</strong>sa na Serikali haumaa<strong>ni</strong>shi k<strong>wa</strong>mba daima majukumu<br />
ha<strong>ya</strong>ingilia<strong>ni</strong>, au k<strong>wa</strong>mba taasisi hizo hazihitajia<strong>ni</strong>. Kinyume chake, Ka<strong>ni</strong>sa<br />
laweza kuishauri serikali na kuifundisha <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu, kama Yeho<strong>ya</strong>da<br />
alivyomfundisha Yoashi, “Yoashi akafan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyo mema macho<strong>ni</strong> pa BWANA<br />
siku zake zote Yeho<strong>ya</strong>da kuha<strong>ni</strong> alizomfundisha” (2 Fal. 12:2). Ni jambo ba<strong>ya</strong><br />
k<strong>wa</strong>mba Ka<strong>ni</strong>sa la sasa limetupilia mbali huduma hii muhimu na linapendelea<br />
kujiunga na makundi mbalimbali na kulalamika.<br />
Utenga<strong>ni</strong>shi <strong>wa</strong> Ka<strong>ni</strong>sa na serikali hauwi vita dhidi <strong>ya</strong> Ukristo hadi pale Serikali<br />
inaposahau jukumu lake katika <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu na kuanza kuitesa ima<strong>ni</strong>.<br />
Mungu Hana Upendeleo<br />
Karne nyingi zilizopita katika Biblia, Mungu alifan<strong>ya</strong> hatua halali za kisheria za<br />
haki za binadamu. Hakimu mwenye haki <strong>ni</strong> <strong>wa</strong> muhimu katika kuitambua haki,<br />
na Mungu <strong>ni</strong> mfano <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza na asilia <strong>wa</strong> hakimu mwenye haki (Kumb.<br />
10:17-18; Zab. 7:9+12; 9:5; 50:6, Tazama pia Zab. 75:3+8), “k<strong>wa</strong> maana<br />
BWANA <strong>ni</strong> Mungu <strong>wa</strong> hukumu” (Isa<strong>ya</strong> 30:18). Yeye <strong>ni</strong> mlinzi <strong>wa</strong> haki. Wale<br />
<strong>wa</strong>hukumuo k<strong>wa</strong> halali hutenda katika Jina la Mungu. Agano la Kale hutueleza<br />
<strong>juu</strong> <strong>ya</strong> mfalme mwenye haki Yehoshafati, “Na aka<strong>wa</strong>ambia mahakimu,<br />
zingatie<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>le m<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong>yo, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hamhukumu k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> mtu, bali<br />
k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> BWANA, ambaye yu nanyi katika hukumu. Basi sasa hofu <strong>ya</strong><br />
BWANA iwe <strong>juu</strong> yenu, zingatie<strong>ni</strong> na mkafanye, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hakuna uovu<br />
k<strong>wa</strong> BWANA Mungu wetu, <strong>wa</strong>la kuheshimu nafasi za <strong>wa</strong>tu, <strong>wa</strong>la kupokea<br />
za<strong>wa</strong>di” (2 N<strong>ya</strong>. 19:6-7).