04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

34 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />

dhabihu <strong>ya</strong> Nafsi <strong>ya</strong> Pili <strong>ya</strong> Utatu kusingeku<strong>wa</strong> na matumai<strong>ni</strong> k<strong>wa</strong>mba hali hii<br />

ingebadilika kabisa. Wakati huo huo Wakristo <strong>wa</strong>nachukua msongo na suluba za<br />

kazi kutoka katika mkono <strong>wa</strong> Mungu. “Je! Mtendakazi anayo faida ga<strong>ni</strong> katika<br />

<strong>ya</strong>le anayojishugulisha nayo? Nimeona tabu ambayo Mungu ame<strong>wa</strong>pa<br />

<strong>wa</strong>nadamu, ili kutaabika nda<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>ke” (Mhu. 3:9-10). Sulema<strong>ni</strong> hafikii hitimisho<br />

k<strong>wa</strong>mba <strong>ni</strong> vema kutofan<strong>ya</strong> kazi kabisa bali <strong>ni</strong> k<strong>wa</strong>mba tunafuraha <strong>juu</strong> <strong>ya</strong><br />

matokeo <strong>ya</strong> kazi yetu kama za<strong>wa</strong>di kutoka k<strong>wa</strong> Mungu: “Mimi najua ku<strong>wa</strong><br />

hakuna jema k<strong>wa</strong>o kupita kufurahi, na kufan<strong>ya</strong> mema maadam <strong>wa</strong>naishi. Tena <strong>ni</strong><br />

karama <strong>ya</strong> Mungu kila mtu apate kula na kuny<strong>wa</strong>, na kujiburudisha k<strong>wa</strong> mema<br />

katika kazi <strong>ya</strong>ke yote” (Mhu. 3:12-13).<br />

Biblia inatuamuru kuchukua taabu <strong>juu</strong> yetu wenyewe na sio kuweka mzigo <strong>juu</strong><br />

<strong>ya</strong> wengine. Mwizi huweka mzigo <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> wengine kama ifan<strong>ya</strong>vyo Serikali k<strong>wa</strong><br />

kutumia kodi kuga<strong>wa</strong> tena utajiri kutoka k<strong>wa</strong> mmoja kwenda k<strong>wa</strong> mwingine.<br />

Maagizo <strong>ya</strong> Paulo ha<strong>ya</strong>hitaji maelezo marefu: “K<strong>wa</strong> maana mnafan<strong>ya</strong> neno hili<br />

k<strong>wa</strong> ndugu wote <strong>wa</strong>lio katika Makedo<strong>ni</strong>a yote. Laki<strong>ni</strong> t<strong>wa</strong><strong>wa</strong>sihi, ndugu 49 …,<br />

mzidi sana. Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufan<strong>ya</strong> kazi<br />

k<strong>wa</strong> mikono yenu wenyewe, kama tulivyo<strong>wa</strong>agiza; ili mwenende k<strong>wa</strong> adabu<br />

mbele <strong>ya</strong>o <strong>wa</strong>lio nje, <strong>wa</strong>la msiwe na haja <strong>ya</strong> kitu chochote (1 Thes. 4:10-12).<br />

“Maana t<strong>wa</strong>sikia k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>ko <strong>wa</strong>tu kwenu <strong>wa</strong>endao bila utaratibu, ha<strong>wa</strong>na<br />

shughuli zao wenyewe, laki<strong>ni</strong> <strong>wa</strong>najishughulisha na mambo <strong>ya</strong> wengine. Basi<br />

t<strong>wa</strong><strong>wa</strong>agiza hao, na ku<strong>wa</strong>on<strong>ya</strong> katika B<strong>wa</strong>na Yesu Kristo, <strong>wa</strong>tende kazi k<strong>wa</strong><br />

utulivu na kula chakula chao wenyewe” (2 Thes. 3:11-12).<br />

Kile ambacho Paulo ali<strong>wa</strong>fundisha wengine, yeye pamoja na <strong>wa</strong>tendakazi<br />

pamoja naye ndicho <strong>wa</strong>lichokifan<strong>ya</strong>: “M<strong>wa</strong>jua wenyewe jinsi i<strong>wa</strong>pasavyo<br />

kutufuata; k<strong>wa</strong> sababu hatukuenda bila utaratibu kwenu, <strong>wa</strong>la hatukula chakula<br />

k<strong>wa</strong> mtu yeyote bure; bali k<strong>wa</strong> taabu na masumbufu, usiku na mchana tulitenda<br />

kazi, ili tusimlemee mtu <strong>wa</strong> kwenu a<strong>wa</strong>ye yote” (2 Thes. 3:7-8).<br />

Tena, Mungu <strong>ni</strong> mfano bora. Alichukua huzu<strong>ni</strong> zote, taabu na maumivu <strong>ya</strong> kazi<br />

<strong>ya</strong> ukombozi <strong>juu</strong> <strong>ya</strong>ke mwenyewe. Mungu alimtoa m<strong>wa</strong>nawe pekee kutukomboa<br />

sisi kutoka katika Anguko. Hakuweka mzigo <strong>wa</strong>ke <strong>juu</strong> yetu bali aliubeba mzigo<br />

wetu <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Msalaba. Iki<strong>wa</strong> theolojia inamkosa Mungu Mtatu, inamkosa Mungu,<br />

aliyechukua mizigo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>teule. Sio Uislamu <strong>wa</strong>la Umaksi, sio<br />

Ubudha <strong>wa</strong>la serikali zenye kitu cha kutoa badala <strong>ya</strong>ke.<br />

Kazi <strong>ya</strong> Mungu <strong>ni</strong> Kazi Yenye Mga<strong>wa</strong>nyo<br />

3. Kazi <strong>ya</strong> Mungu Mtatu <strong>ni</strong> kazi yenye mga<strong>wa</strong>nyo. Nafsi za Mungu Mtatu<br />

huga<strong>wa</strong>na shughuli zao na sio k<strong>wa</strong>mba wote <strong>wa</strong>na kazi moja, kama 1 Kor.<br />

49 Katika lugha nyingi wingi <strong>wa</strong> ‘kaka’ au <strong>wa</strong> ‘dada’ hutumika kujumuisha pamoja <strong>wa</strong>toto wote <strong>wa</strong> kike na <strong>wa</strong><br />

kiume <strong>wa</strong> mzazi mmoja. K<strong>wa</strong> Kijeruma<strong>ni</strong> wingi <strong>wa</strong> zama<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> ‘dada’, ‘Geschwister’ <strong>ni</strong> jina k<strong>wa</strong> kaka na<br />

dada. K<strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida wingi <strong>wa</strong> ‘adelphos’ (‘kaka’), ‘adelphoi’ (‘kaka’ au ‘kaka na dada’) hutumika kuongea<br />

<strong>juu</strong> <strong>ya</strong> kaka na dada k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati mmoja. Hakuna neno jingine kudokeza kaka na dada k<strong>wa</strong> pamoja. (Wingi <strong>wa</strong><br />

dada ‘adelphai’ <strong>ni</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>-dada tu.)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!