Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
40 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />
12. <strong>Sheria</strong> haiwezi kuumba uzima <strong>wa</strong> milele au wokovu na hivyo <strong>wa</strong>ami<strong>ni</strong><br />
ha<strong>wa</strong>na uzima <strong>wa</strong> milele huko kwenye <strong>Sheria</strong>. Tena hii <strong>ni</strong> kweli zaidi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le<br />
<strong>wa</strong>lio <strong>wa</strong>fu kiroho (Gal. 3:21). <strong>Sheria</strong> haiwezi kuhuisha. Mahali dhambi<br />
ita<strong>wa</strong>lapo, <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong>weza kuleta mauti tu, laki<strong>ni</strong> sio kuhuisha mfu ku<strong>wa</strong> hai.<br />
Jambo hili limewek<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zi kwenye Agano la Kale (Mfano, Hab. 1:4).<br />
Utangulizi <strong>wa</strong> Amri Kumi unathibitisha k<strong>wa</strong>mba neema na Agano la Mungu<br />
huja k<strong>wa</strong>nza na ndipo <strong>Sheria</strong> hufuata. Mtu aweza tu kuishi k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong><br />
chi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> neema <strong>ya</strong> Mungu na baada <strong>ya</strong> kupokea msamaha kupitia dhabihu <strong>ya</strong><br />
upata<strong>ni</strong>sho <strong>ya</strong> Yesu Kristo, M<strong>wa</strong>na <strong>wa</strong> Mungu.<br />
13. Injili na <strong>Sheria</strong> husimama kinyume tu cha kila moja – hususa<strong>ni</strong> katika<br />
n<strong>ya</strong>raka za Paulo – i<strong>wa</strong>po ‘sheria’ inaeleweka kama wokovu k<strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong>, laki<strong>ni</strong> si<br />
i<strong>wa</strong>po <strong>Sheria</strong> inaeleweka kama <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu iliyoandik<strong>wa</strong> katika Agano la<br />
Kale. Katika 1 Tim. 1:9-11 na Rum. 2:12-15, Paulo analiona tangazo la maelezo<br />
<strong>ya</strong> <strong>Sheria</strong> na Hukumu <strong>ya</strong> Mungu <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> dhambi maalum kama sehemu <strong>ya</strong> ‘injili’<br />
<strong>ya</strong>ke.<br />
14. <strong>Sheria</strong> hai<strong>wa</strong>saidii ku<strong>wa</strong> bora <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>liopata kuifahamu, bali ina<strong>wa</strong>endesha<br />
zaidi katika dhambi. Pasipo Roho <strong>wa</strong> Mungu, hata Mkristo aweza kutaka sana<br />
kufan<strong>ya</strong> mema, na asiweze (Rum. 7). Iki<strong>wa</strong> Mungu hawezi kusaidia k<strong>wa</strong> njia <strong>ya</strong><br />
Roho <strong>wa</strong>ke (Rum. 8:3-4) na kutimiza sheria <strong>ya</strong>ke nda<strong>ni</strong> yetu, basi sisi kama<br />
Wakristo t<strong>wa</strong>weza pia kutenda viba<strong>ya</strong> kabisa. Kuondole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong><br />
kusingeweza kuondoa kizungumkuti* cha Rum. 7. Basi Mungu angeku<strong>wa</strong><br />
amebadili mwenyewe <strong>Sheria</strong> zake takatifu na kukiri ku<strong>wa</strong> hata yeye asingeweza<br />
kumbadili m<strong>wa</strong>nadamu. Laki<strong>ni</strong> sasa Mungu anatimiza sheria <strong>ya</strong>ke mwenyewe<br />
nda<strong>ni</strong> yetu kupitia k<strong>wa</strong> Roho Mtakatifu. Hivyo, matak<strong>wa</strong> yote mawili<br />
<strong>ya</strong>natunz<strong>wa</strong>: Amri takatifu za Mungu zisizobadilika bado <strong>ni</strong> halali pamoja na<br />
ukweli k<strong>wa</strong>mba <strong>ni</strong> Mungu pekee awezaye kuzitunza! Rum. 8:3-4. K<strong>wa</strong> hiyo, <strong>ni</strong><br />
utimilizaji <strong>wa</strong> ahadi <strong>ya</strong> Agano la Kale katika Agano Jip<strong>ya</strong>, ambalo k<strong>wa</strong>lo Roho<br />
<strong>wa</strong> Mungu huweka <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu nda<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>ke (Eze. 18:31;<br />
36:25-27; Yer. 31:3; Ebr. 8:10; 10:16).<br />
15. <strong>Sheria</strong> hurekebisha agano baina <strong>ya</strong> Mungu na M<strong>wa</strong>nadamu. <strong>Sheria</strong><br />
inajumuish<strong>wa</strong> katika agano baina <strong>ya</strong> Mungu na m<strong>wa</strong>nadamu. Katika vifungu<br />
vingi, neno, “agano” linatumika badala <strong>ya</strong> “sheria” na vivyo hivyo neno “sheria”<br />
hutumika badala <strong>ya</strong> “agano” (mfano, Hos. 8:1; 2 N<strong>ya</strong>. 34:14; Zab. 78:10; Kumb.<br />
28:69, 58).<br />
16. Maagano yote katika historia <strong>ya</strong> wokovu (mfano, Nuhu, Ibrahimu, Musa,<br />
Daudi, Yesu) <strong>ni</strong> <strong>ya</strong> milele k<strong>wa</strong> sababu kiapo na ahadi <strong>ya</strong> Mungu havibadiliki.<br />
Ahadi za Mungu hubaki katika utendaji, na kutoka <strong>wa</strong>kati mmoja hata<br />
mwingine, ahadi mp<strong>ya</strong> huongeze<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> zile zilizotangulia. K<strong>wa</strong> hiyo, Agano<br />
Jip<strong>ya</strong> linachukulia k<strong>wa</strong>mba Wakristo wote <strong>wa</strong> leo, k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati ule ule,<br />
<strong>wa</strong>najumuish<strong>wa</strong> katika agano la Mungu na Musa, Ibrahimu, Musa, Daudi na