04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

40 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />

12. <strong>Sheria</strong> haiwezi kuumba uzima <strong>wa</strong> milele au wokovu na hivyo <strong>wa</strong>ami<strong>ni</strong><br />

ha<strong>wa</strong>na uzima <strong>wa</strong> milele huko kwenye <strong>Sheria</strong>. Tena hii <strong>ni</strong> kweli zaidi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le<br />

<strong>wa</strong>lio <strong>wa</strong>fu kiroho (Gal. 3:21). <strong>Sheria</strong> haiwezi kuhuisha. Mahali dhambi<br />

ita<strong>wa</strong>lapo, <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong>weza kuleta mauti tu, laki<strong>ni</strong> sio kuhuisha mfu ku<strong>wa</strong> hai.<br />

Jambo hili limewek<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zi kwenye Agano la Kale (Mfano, Hab. 1:4).<br />

Utangulizi <strong>wa</strong> Amri Kumi unathibitisha k<strong>wa</strong>mba neema na Agano la Mungu<br />

huja k<strong>wa</strong>nza na ndipo <strong>Sheria</strong> hufuata. Mtu aweza tu kuishi k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong><br />

chi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> neema <strong>ya</strong> Mungu na baada <strong>ya</strong> kupokea msamaha kupitia dhabihu <strong>ya</strong><br />

upata<strong>ni</strong>sho <strong>ya</strong> Yesu Kristo, M<strong>wa</strong>na <strong>wa</strong> Mungu.<br />

13. Injili na <strong>Sheria</strong> husimama kinyume tu cha kila moja – hususa<strong>ni</strong> katika<br />

n<strong>ya</strong>raka za Paulo – i<strong>wa</strong>po ‘sheria’ inaeleweka kama wokovu k<strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong>, laki<strong>ni</strong> si<br />

i<strong>wa</strong>po <strong>Sheria</strong> inaeleweka kama <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu iliyoandik<strong>wa</strong> katika Agano la<br />

Kale. Katika 1 Tim. 1:9-11 na Rum. 2:12-15, Paulo analiona tangazo la maelezo<br />

<strong>ya</strong> <strong>Sheria</strong> na Hukumu <strong>ya</strong> Mungu <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> dhambi maalum kama sehemu <strong>ya</strong> ‘injili’<br />

<strong>ya</strong>ke.<br />

14. <strong>Sheria</strong> hai<strong>wa</strong>saidii ku<strong>wa</strong> bora <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>liopata kuifahamu, bali ina<strong>wa</strong>endesha<br />

zaidi katika dhambi. Pasipo Roho <strong>wa</strong> Mungu, hata Mkristo aweza kutaka sana<br />

kufan<strong>ya</strong> mema, na asiweze (Rum. 7). Iki<strong>wa</strong> Mungu hawezi kusaidia k<strong>wa</strong> njia <strong>ya</strong><br />

Roho <strong>wa</strong>ke (Rum. 8:3-4) na kutimiza sheria <strong>ya</strong>ke nda<strong>ni</strong> yetu, basi sisi kama<br />

Wakristo t<strong>wa</strong>weza pia kutenda viba<strong>ya</strong> kabisa. Kuondole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong><br />

kusingeweza kuondoa kizungumkuti* cha Rum. 7. Basi Mungu angeku<strong>wa</strong><br />

amebadili mwenyewe <strong>Sheria</strong> zake takatifu na kukiri ku<strong>wa</strong> hata yeye asingeweza<br />

kumbadili m<strong>wa</strong>nadamu. Laki<strong>ni</strong> sasa Mungu anatimiza sheria <strong>ya</strong>ke mwenyewe<br />

nda<strong>ni</strong> yetu kupitia k<strong>wa</strong> Roho Mtakatifu. Hivyo, matak<strong>wa</strong> yote mawili<br />

<strong>ya</strong>natunz<strong>wa</strong>: Amri takatifu za Mungu zisizobadilika bado <strong>ni</strong> halali pamoja na<br />

ukweli k<strong>wa</strong>mba <strong>ni</strong> Mungu pekee awezaye kuzitunza! Rum. 8:3-4. K<strong>wa</strong> hiyo, <strong>ni</strong><br />

utimilizaji <strong>wa</strong> ahadi <strong>ya</strong> Agano la Kale katika Agano Jip<strong>ya</strong>, ambalo k<strong>wa</strong>lo Roho<br />

<strong>wa</strong> Mungu huweka <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu nda<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>ke (Eze. 18:31;<br />

36:25-27; Yer. 31:3; Ebr. 8:10; 10:16).<br />

15. <strong>Sheria</strong> hurekebisha agano baina <strong>ya</strong> Mungu na M<strong>wa</strong>nadamu. <strong>Sheria</strong><br />

inajumuish<strong>wa</strong> katika agano baina <strong>ya</strong> Mungu na m<strong>wa</strong>nadamu. Katika vifungu<br />

vingi, neno, “agano” linatumika badala <strong>ya</strong> “sheria” na vivyo hivyo neno “sheria”<br />

hutumika badala <strong>ya</strong> “agano” (mfano, Hos. 8:1; 2 N<strong>ya</strong>. 34:14; Zab. 78:10; Kumb.<br />

28:69, 58).<br />

16. Maagano yote katika historia <strong>ya</strong> wokovu (mfano, Nuhu, Ibrahimu, Musa,<br />

Daudi, Yesu) <strong>ni</strong> <strong>ya</strong> milele k<strong>wa</strong> sababu kiapo na ahadi <strong>ya</strong> Mungu havibadiliki.<br />

Ahadi za Mungu hubaki katika utendaji, na kutoka <strong>wa</strong>kati mmoja hata<br />

mwingine, ahadi mp<strong>ya</strong> huongeze<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> zile zilizotangulia. K<strong>wa</strong> hiyo, Agano<br />

Jip<strong>ya</strong> linachukulia k<strong>wa</strong>mba Wakristo wote <strong>wa</strong> leo, k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati ule ule,<br />

<strong>wa</strong>najumuish<strong>wa</strong> katika agano la Mungu na Musa, Ibrahimu, Musa, Daudi na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!