04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Haki za Binadamu na Ima<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> Kikristo 103<br />

Hakimu <strong>ni</strong> lazima awe macho <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> ukweli k<strong>wa</strong>mba Mungu anamtazama na<br />

husimama upande <strong>wa</strong> mwenye haki, “Kuipotosha haki <strong>ya</strong> mtu mbele zake<br />

aliye <strong>juu</strong>, na kutupilia mbali madai <strong>ya</strong>ke, B<strong>wa</strong>na haridhii” (Maombolezo<br />

3:35-36).<br />

K<strong>wa</strong> sababu hii Biblia ina maelekezo mengi kuhusu haki, hatua za kisheria<br />

zimhusuzo binadamu. K<strong>wa</strong> mfano, mashtaka huhitaji <strong>wa</strong>lau mashahidi <strong>wa</strong>wili<br />

(Hes. 35:30; Kumb. 17:6; 19:15; Mat. 18:16; Yoh. 8:17; Ebr. 10:28; 1 Tim.<br />

5:18), hivyo basi mashtaka <strong>ya</strong>nalet<strong>wa</strong> na mashahidi <strong>wa</strong>wili au <strong>wa</strong>tatu (Kumb.<br />

10:17-18). Washitaki wenye vurugu ha<strong>wa</strong>paswi kusikiliz<strong>wa</strong> (Zab. 35:11).<br />

Mahakimu <strong>wa</strong>naoongoza <strong>wa</strong>napas<strong>wa</strong> kutoku<strong>wa</strong> na upendeleo kabisa (Kumb.<br />

1:16; 2 N<strong>ya</strong>. 19:7; Mith 18:5; 24:23; Ayu. 13:10; Kol. 3:25; Efe 6:9), k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />

Mungu mwenyewe hana upendeleo (Kumb. 10:17-18). Ni mahakimu <strong>wa</strong>ovu tu<br />

<strong>wa</strong>lio na upendeleo (Isa. 10:1-2; 3:9).<br />

Hukumu inapas<strong>wa</strong> kufany<strong>wa</strong> pasipo ma<strong>wa</strong>zo <strong>ya</strong> haraka haraka<br />

<strong>ya</strong>siyothibitish<strong>wa</strong> (1 Tim. 5:21), bali baada <strong>ya</strong> hakimu aki<strong>wa</strong> amekwisha<br />

chunguza k<strong>wa</strong> maki<strong>ni</strong> uthibitisho wote (Kumb. 17:4). “Fanye<strong>ni</strong> hukumu za<br />

kweli”, Mungu anasema katika Zekaria 7:9; hivyo basi hukumu haipaswi<br />

kubatilish<strong>wa</strong>.<br />

“Paki<strong>wa</strong> na mashindano kati <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tu, <strong>wa</strong>naenda katika hukumu, ili<br />

k<strong>wa</strong>mba mahakimu <strong>wa</strong>weze ku<strong>wa</strong>hukumu; basi <strong>wa</strong>tampa haki mwenye<br />

haki, na kumhukumu mwovu” (Kumb. 25:1). Rush<strong>wa</strong> haipaswi kuathiri mao<strong>ni</strong><br />

<strong>ya</strong> hakimu. “Mtu mwovu hupokea rush<strong>wa</strong> nyuma mgongo<strong>ni</strong> kupotosha njia<br />

za hukumu” (Mith. 17:23). Mungu <strong>ni</strong> mfano mkuu. “K<strong>wa</strong> maana BWANA<br />

Mungu wenu <strong>ni</strong> Mungu <strong>wa</strong> miungu, na B<strong>wa</strong>na <strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong>na, Mungu mkuu,<br />

mwenye uweza, na <strong>wa</strong> kuogof<strong>ya</strong>, ambaye hajali nafsi za <strong>wa</strong>tu, <strong>wa</strong>la<br />

kuchukua za<strong>wa</strong>di” (Kumb. 10:17). “Basi sasa hofu <strong>ya</strong> BWANA iwe <strong>juu</strong><br />

yenu; zingatie<strong>ni</strong> na mkafanye, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hakuna uovu k<strong>wa</strong> BWANA<br />

Mungu wetu, <strong>wa</strong>la kuheshimu nafsi za <strong>wa</strong>tu, <strong>wa</strong>la kupokea za<strong>wa</strong>di” (2 N<strong>ya</strong>.<br />

19:7).<br />

K<strong>wa</strong> ujumla, Maandiko <strong>ya</strong>nahalalisha za<strong>wa</strong>di zinapotole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> furaha au<br />

ku<strong>wa</strong>saidia <strong>wa</strong>tu. Wakati mwingine Biblia inatambua ku<strong>wa</strong> za<strong>wa</strong>di zaweza<br />

ku<strong>wa</strong> muhimu, iki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>nataki<strong>wa</strong> kufikia lengo halali. M<strong>wa</strong>limu mwema<br />

anatueleza, “Za<strong>wa</strong>di <strong>ya</strong> mtu humpatia nafasi, humleta mbele <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>kuu”<br />

(Mith. 18:16) na “za<strong>wa</strong>di <strong>ya</strong> siri hutuliza hasira; na tuzo kifua<strong>ni</strong> humaliza<br />

ghadhabu kali” (Mith. 21:14). Mtu mwenye haki anapokabili<strong>wa</strong> na maofisa<br />

mafisadi, hana tumai<strong>ni</strong> la kufikia malengo <strong>ya</strong> kisheria k<strong>wa</strong> ukamilifu. Iki<strong>wa</strong> hana<br />

nafasi <strong>ya</strong> kushinda ufisadi huu k<strong>wa</strong> njia yoyote ile, anaweza kupata haki zake<br />

k<strong>wa</strong> kutumia za<strong>wa</strong>di. Ni <strong>wa</strong>kati tu anunuapo ufisadi, yeye mwenyewe<br />

anahukumi<strong>wa</strong> hatia <strong>ya</strong> ufisadi. Yule anayelazimish<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>pa rush<strong>wa</strong> wengine<br />

k<strong>wa</strong> hakika atajibidisha kuondoa ufisadi, hususa<strong>ni</strong> katika ka<strong>ni</strong>sa, au katika<br />

taasisi nyingine za kidi<strong>ni</strong>.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!