Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Din <strong>ni</strong> Ni<strong>ni</strong>? 65<br />
taarifa huanza na Msemaji, mtu. Nafsi iliyo nyuma <strong>ya</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha<br />
taarifa katika ulimwengu huu haiwezi ku<strong>wa</strong> chi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> Wakati, bali <strong>ni</strong> lazima iwe<br />
<strong>juu</strong> <strong>ya</strong>ke, <strong>ni</strong> lazima iwe <strong>ya</strong> milele. Nguvu <strong>ya</strong> nafsi hii <strong>ni</strong> lazima iwe zaidi <strong>ya</strong> ile <strong>ya</strong><br />
uumbaji wote.<br />
Laki<strong>ni</strong> hilo linahusianaje na ghadhabu <strong>ya</strong> Mungu? Paulo anaendelea, “K<strong>wa</strong><br />
sababu mambo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>siyoonekana tangu kuumb<strong>wa</strong> ulimwengu <strong>ya</strong>naonekana,<br />
na kufahamika k<strong>wa</strong> kazi zake, <strong>ya</strong>a<strong>ni</strong>, uweza <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> milele na Uungu <strong>wa</strong>ke;<br />
hata <strong>wa</strong>siwe na udhuru; k<strong>wa</strong> sababu, <strong>wa</strong>lipomjua Mungu ha<strong>wa</strong>kumtukuza kama<br />
ndiye Mungu <strong>wa</strong>la kumshukuru; bali <strong>wa</strong>lipotea katika uzushi <strong>wa</strong>o, na mioyo <strong>ya</strong>o<br />
yenye ujinga ikati<strong>wa</strong> giza. Wakijinena ku<strong>wa</strong> wenye hekima <strong>wa</strong>lipumbazika;<br />
<strong>wa</strong>kaubadili utukufu <strong>wa</strong> Mungu asiye na uharibifu k<strong>wa</strong> mfano <strong>wa</strong> sura <strong>ya</strong><br />
binadamu aliye na uharibifu, na <strong>ya</strong> ndege, na <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>n<strong>ya</strong>ma, na <strong>ya</strong> vitambaavyo”<br />
(Rum 1:20-23). Paulo yuko <strong>wa</strong>zi, sio kuhusika tu na s<strong>wa</strong>li la uwepo <strong>wa</strong> Mungu,<br />
bali pia s<strong>wa</strong>li <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> yule tunayemheshimu, na<strong>ni</strong> tunayemtumikia, yupi<br />
anayeongoza fikra zetu. M<strong>wa</strong>nadamu, kukataa kumshukuru Mungu k<strong>wa</strong> kile<br />
anachopata, hakatai <strong>wa</strong>zo la kinadharia tu, bali Mwumba <strong>wa</strong> kweli na aishiye. Ili<br />
kuepa kumshukuru Mungu, M<strong>wa</strong>nadamu <strong>ni</strong> lazima avumbue di<strong>ni</strong> mbadala.<br />
Katika mao<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> Paulo, hakuna mahali binadamu afikiriapo kijinga kabisa kama<br />
<strong>wa</strong>kati ajaribupo kuuunda di<strong>ni</strong> ili asiweze kumshukuru Mungu. M<strong>wa</strong>nadamu<br />
hupendelea kuabudu sanamu mfu za <strong>wa</strong>n<strong>ya</strong>ma, hivyo kuzama tena zaidi katika<br />
ngazi za Uumbaji. Paulo anadokeza ku<strong>wa</strong> uabudu sanamu k<strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida<br />
humfan<strong>ya</strong> m<strong>wa</strong>nadamu ku<strong>wa</strong> sio chi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma tu bali pia sanamu <strong>ya</strong>ke.<br />
M<strong>wa</strong>nadamu huabudu vitu ambavyo yeye mwenyewe aweza kuviharibu na<br />
kusema kweli viko chi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>ke. Anaabudu vitu vingine badala <strong>ya</strong> Mungu, laki<strong>ni</strong> <strong>ni</strong><br />
lazima awe na kitu cha kuabudu.<br />
Katika hali halisi <strong>ya</strong>wezekana mtu akamtambua Mwumba <strong>wa</strong> milele katika<br />
Uumbaji <strong>wa</strong>ke? Ndio na Hapana. Ndiyo, k<strong>wa</strong> sababu Mungu amhukumu k<strong>wa</strong><br />
kushind<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong> hivyo. Hapana, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> Paulo anathibitisha pia k<strong>wa</strong>mba<br />
uzao <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nadamu wote hukataa kumpa Mungu heshima inayostahili. Ukweli<br />
k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>tu wote <strong>wa</strong>weza kumwele<strong>wa</strong> Mwumba unathibitish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ukweli<br />
ku<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>nadamu ana mbadala <strong>wa</strong> Mungu. Hakuna <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>sio na di<strong>ni</strong>,<br />
ambayo k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Biblia, <strong>ni</strong> matokeo <strong>ya</strong> umuhimu <strong>wa</strong> kushikilia kitu.<br />
Katika Warumi 1:25, Paulo anafupisha, “…<strong>wa</strong>liibadili kweli <strong>ya</strong> Mungu ku<strong>wa</strong><br />
uongo, <strong>wa</strong>kakisujudia kiumbe na kukiabudu badala <strong>ya</strong> Mwumba anayehimidi<strong>wa</strong><br />
milele. Amina”. Paulo anazungumza <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> wengine <strong>wa</strong>siomheshimu Mungu,<br />
jambo awezalo yeye kufan<strong>ya</strong> (<strong>ya</strong>a<strong>ni</strong> kumheshimu Mungu), hata hivyo, <strong>ni</strong> k<strong>wa</strong><br />
sababu amepokea msamaha <strong>wa</strong> dhambi kupitia k<strong>wa</strong>ke Yesu Kristo, na<br />
anaongeza kumtukuza Mungu kwenye hoja <strong>ya</strong>ke. Suala <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Mungu kamwe si<br />
mada <strong>ya</strong> kinadharia tu ambayo mtu aweza kuifikiri kihalisi tu, bali daima <strong>ni</strong><br />
jambo lenye kutuathiri kibinafsi sisi wenyewe. Si jambo la kushangaza k<strong>wa</strong>mba<br />
suala la shukra<strong>ni</strong> na heshima <strong>ni</strong> la kimaamuzi.