Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Ushika-sheria <strong>ni</strong> Ni<strong>ni</strong>? 51<br />
USHIKA-SHERIA NI NINI? (1993)<br />
K<strong>wa</strong> haraka haraka ‘Ushika-sheria’ unaku<strong>wa</strong> msemo utumikao kumwona yeyote<br />
anayetetea <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Biblia ku<strong>wa</strong> <strong>ni</strong> mwenye makosa. Hivi, hili <strong>ni</strong> neno la<br />
kibiblia? Je, Andiko huelezea ukinza<strong>ni</strong> huo? K<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> neno lenyewe –<br />
linalolingana na neno la Kigriki au Kiebra<strong>ni</strong>a halioneka<strong>ni</strong> kwenye Biblia, <strong>wa</strong>le<br />
<strong>wa</strong>naolitumia kama neno la ku<strong>wa</strong>laumu wengine <strong>wa</strong>napas<strong>wa</strong> kulifasili kutoka<br />
katika kii<strong>ni</strong> cha Biblia.<br />
Inga<strong>wa</strong> mimi binafsi <strong>ni</strong>ngependelea kuliondoa neno hilo kutoka katika msamiati<br />
wetu, <strong>ni</strong>naweza kukubali kuliwekea mipaka kwenye maana lililope<strong>wa</strong> na<br />
Mababa <strong>wa</strong> Ka<strong>ni</strong>sa, “jitihada kupata haki k<strong>wa</strong> matendo <strong>ya</strong> sheria”. Hata hivyo,<br />
hivi sivyo limaa<strong>ni</strong>shavyo daima, na <strong>wa</strong>la siyo maana yenye kufaa.<br />
Gordon H. Clark anadha<strong>ni</strong> ku<strong>wa</strong> katika kozi <strong>ya</strong> historia <strong>ya</strong> theolojia<br />
‘Ushika-sheria’ ulielezea mtazamo k<strong>wa</strong>mba M<strong>wa</strong>nadamu angeweza kujipatia<br />
wokovu k<strong>wa</strong> kushika <strong>Sheria</strong>. Basi kinyume chake <strong>ni</strong> wokovu k<strong>wa</strong> ima<strong>ni</strong>. Clark<br />
anaendelea, “Katika karne <strong>ya</strong> sasa neno ‘ushika-sheria’ limechukua maana<br />
mp<strong>ya</strong>. Elimu-maadili <strong>ya</strong> mazingira hupuuza sheria na kanu<strong>ni</strong>. Mtu yeyote<br />
ambaye k<strong>wa</strong> uele<strong>wa</strong> hutii sheria za Mungu huit<strong>wa</strong> mshika-sheria. K<strong>wa</strong> sababu<br />
hii, Joseph Fletcher anakubaliana na uvunjaji <strong>wa</strong> amri yoyote katika Amri Kumi.<br />
Hivyo anaipeleka maana iliyo kinyume <strong>ya</strong> ‘Ushika-sheria’ k<strong>wa</strong> maadili <strong>ya</strong><br />
kihistoria <strong>ya</strong> Uprotestanti.” 64<br />
Ni jambo ba<strong>ya</strong> k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hii <strong>ni</strong> kweli sio tu k<strong>wa</strong> Elimu-maadili <strong>ya</strong> Mazingira bali<br />
pia k<strong>wa</strong> Wanasili* <strong>wa</strong>naoami<strong>ni</strong> <strong>Sheria</strong> ku<strong>wa</strong> imekwishatanguli<strong>wa</strong> na kisha<br />
<strong>wa</strong>natangaza mfumo wowote <strong>wa</strong> kimaadili ujeng<strong>wa</strong>o <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sheria</strong> kisheria.<br />
Hata hivyo, Ushika-sheria hauwezi kushind<strong>wa</strong> na Ukosa-sheria. Greg L.<br />
Bahnsen anaandika, “Jibu k<strong>wa</strong> ushika-sheria sio uami<strong>ni</strong> rahisi, uinjilisti pasipo<br />
hitaji la kutubu, ufuataji <strong>wa</strong> baraka <strong>ya</strong> pili iliyofichika katika Roho, au maisha <strong>ya</strong><br />
Kikristo pasipo maagizo <strong>ya</strong> haki na uongozi. Uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kibiblia unapinga<br />
ushika-sheria k<strong>wa</strong> ‘maisha <strong>ya</strong> kweli katika Roho’. Katika kuishi hivyo, Roho <strong>wa</strong><br />
Mungu <strong>ni</strong> m<strong>wa</strong>nzilishi <strong>wa</strong> maisha map<strong>ya</strong> mwenye neema, ambaye<br />
hutuhakikishia dhambi zetu na hatari mba<strong>ya</strong> dhidi <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />
iliyovunj<strong>wa</strong>, ambaye hutuunga<strong>ni</strong>sha sisi na Kristo katika wokovu ili tuweze<br />
kushiriki maisha <strong>ya</strong>ke matakatifu, ambaye anatuwezesha kuele<strong>wa</strong> uongozi<br />
tuliope<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> neno la Mungu, na ambaye hutufan<strong>ya</strong> tukue katika neema <strong>ya</strong><br />
Mungu ili tuwe <strong>wa</strong>tu ambao tunazishika vema amri za Mungu.” 65 Alfred de<br />
64 Gordon H. Clark. “Legalism”. uk. 385 katika Carl F. Henry (ed.). Baker’s Dictionary of Christian Ethics.<br />
Baker Book House: Grand Rapids (MI), 1973; kilichorudi<strong>wa</strong> kuchap<strong>wa</strong> katika Gordon H. Clark. Essays on<br />
Ethics and Politics. Tri<strong>ni</strong>ty Foundation: Jefferson (MD), 1992. uk. 150.<br />
65 Greg. L. Bahnsen. By this Standard: The Authority of God’s Law Today. Institute for Christian Economics:<br />
Tyler (TX), 1985. kk. 67-68