04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Ushika-sheria <strong>ni</strong> Ni<strong>ni</strong>? 51<br />

USHIKA-SHERIA NI NINI? (1993)<br />

K<strong>wa</strong> haraka haraka ‘Ushika-sheria’ unaku<strong>wa</strong> msemo utumikao kumwona yeyote<br />

anayetetea <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Biblia ku<strong>wa</strong> <strong>ni</strong> mwenye makosa. Hivi, hili <strong>ni</strong> neno la<br />

kibiblia? Je, Andiko huelezea ukinza<strong>ni</strong> huo? K<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> neno lenyewe –<br />

linalolingana na neno la Kigriki au Kiebra<strong>ni</strong>a halioneka<strong>ni</strong> kwenye Biblia, <strong>wa</strong>le<br />

<strong>wa</strong>naolitumia kama neno la ku<strong>wa</strong>laumu wengine <strong>wa</strong>napas<strong>wa</strong> kulifasili kutoka<br />

katika kii<strong>ni</strong> cha Biblia.<br />

Inga<strong>wa</strong> mimi binafsi <strong>ni</strong>ngependelea kuliondoa neno hilo kutoka katika msamiati<br />

wetu, <strong>ni</strong>naweza kukubali kuliwekea mipaka kwenye maana lililope<strong>wa</strong> na<br />

Mababa <strong>wa</strong> Ka<strong>ni</strong>sa, “jitihada kupata haki k<strong>wa</strong> matendo <strong>ya</strong> sheria”. Hata hivyo,<br />

hivi sivyo limaa<strong>ni</strong>shavyo daima, na <strong>wa</strong>la siyo maana yenye kufaa.<br />

Gordon H. Clark anadha<strong>ni</strong> ku<strong>wa</strong> katika kozi <strong>ya</strong> historia <strong>ya</strong> theolojia<br />

‘Ushika-sheria’ ulielezea mtazamo k<strong>wa</strong>mba M<strong>wa</strong>nadamu angeweza kujipatia<br />

wokovu k<strong>wa</strong> kushika <strong>Sheria</strong>. Basi kinyume chake <strong>ni</strong> wokovu k<strong>wa</strong> ima<strong>ni</strong>. Clark<br />

anaendelea, “Katika karne <strong>ya</strong> sasa neno ‘ushika-sheria’ limechukua maana<br />

mp<strong>ya</strong>. Elimu-maadili <strong>ya</strong> mazingira hupuuza sheria na kanu<strong>ni</strong>. Mtu yeyote<br />

ambaye k<strong>wa</strong> uele<strong>wa</strong> hutii sheria za Mungu huit<strong>wa</strong> mshika-sheria. K<strong>wa</strong> sababu<br />

hii, Joseph Fletcher anakubaliana na uvunjaji <strong>wa</strong> amri yoyote katika Amri Kumi.<br />

Hivyo anaipeleka maana iliyo kinyume <strong>ya</strong> ‘Ushika-sheria’ k<strong>wa</strong> maadili <strong>ya</strong><br />

kihistoria <strong>ya</strong> Uprotestanti.” 64<br />

Ni jambo ba<strong>ya</strong> k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hii <strong>ni</strong> kweli sio tu k<strong>wa</strong> Elimu-maadili <strong>ya</strong> Mazingira bali<br />

pia k<strong>wa</strong> Wanasili* <strong>wa</strong>naoami<strong>ni</strong> <strong>Sheria</strong> ku<strong>wa</strong> imekwishatanguli<strong>wa</strong> na kisha<br />

<strong>wa</strong>natangaza mfumo wowote <strong>wa</strong> kimaadili ujeng<strong>wa</strong>o <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sheria</strong> kisheria.<br />

Hata hivyo, Ushika-sheria hauwezi kushind<strong>wa</strong> na Ukosa-sheria. Greg L.<br />

Bahnsen anaandika, “Jibu k<strong>wa</strong> ushika-sheria sio uami<strong>ni</strong> rahisi, uinjilisti pasipo<br />

hitaji la kutubu, ufuataji <strong>wa</strong> baraka <strong>ya</strong> pili iliyofichika katika Roho, au maisha <strong>ya</strong><br />

Kikristo pasipo maagizo <strong>ya</strong> haki na uongozi. Uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kibiblia unapinga<br />

ushika-sheria k<strong>wa</strong> ‘maisha <strong>ya</strong> kweli katika Roho’. Katika kuishi hivyo, Roho <strong>wa</strong><br />

Mungu <strong>ni</strong> m<strong>wa</strong>nzilishi <strong>wa</strong> maisha map<strong>ya</strong> mwenye neema, ambaye<br />

hutuhakikishia dhambi zetu na hatari mba<strong>ya</strong> dhidi <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

iliyovunj<strong>wa</strong>, ambaye hutuunga<strong>ni</strong>sha sisi na Kristo katika wokovu ili tuweze<br />

kushiriki maisha <strong>ya</strong>ke matakatifu, ambaye anatuwezesha kuele<strong>wa</strong> uongozi<br />

tuliope<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> neno la Mungu, na ambaye hutufan<strong>ya</strong> tukue katika neema <strong>ya</strong><br />

Mungu ili tuwe <strong>wa</strong>tu ambao tunazishika vema amri za Mungu.” 65 Alfred de<br />

64 Gordon H. Clark. “Legalism”. uk. 385 katika Carl F. Henry (ed.). Baker’s Dictionary of Christian Ethics.<br />

Baker Book House: Grand Rapids (MI), 1973; kilichorudi<strong>wa</strong> kuchap<strong>wa</strong> katika Gordon H. Clark. Essays on<br />

Ethics and Politics. Tri<strong>ni</strong>ty Foundation: Jefferson (MD), 1992. uk. 150.<br />

65 Greg. L. Bahnsen. By this Standard: The Authority of God’s Law Today. Institute for Christian Economics:<br />

Tyler (TX), 1985. kk. 67-68

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!