04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

‘Lex’ (<strong>Sheria</strong>) Kama Neno Jingine Mbadala k<strong>wa</strong> ‘Di<strong>ni</strong>’ 49<br />

Papa Pius II (1405-1464) anatumia ‘lex’ katika kitabu chake akilinga<strong>ni</strong>sha<br />

Uislamu na Ukristo. K<strong>wa</strong>ke ‘lex mahumetana’ (Lettera a Maometto II:<br />

109+115+116) haiwezi ku<strong>wa</strong> kigezo cha muungano wowote, k<strong>wa</strong> sababu<br />

‘christiana lex’ (115+158-159) <strong>ni</strong> <strong>ya</strong> zama<strong>ni</strong> zaidi.<br />

Matumizi ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> ‘lex’ ha<strong>ya</strong>patika<strong>ni</strong> tu katika ugwe* <strong>wa</strong> kiothodoksi tu. Roger<br />

Bacon (1220- baada <strong>ya</strong> 1292) akijaribu kuzilinga<strong>ni</strong>sha pamoja di<strong>ni</strong> mbalimbali<br />

k<strong>wa</strong> msaada <strong>wa</strong> elimu <strong>ya</strong> nyota* bado anashikilia ‘lex Christiana’ (Opus majus<br />

II:388kk, linga<strong>ni</strong>sha na 386), ambayo <strong>ni</strong> di<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> Kikristo, ku<strong>wa</strong> bora zaidi.<br />

Anaziita di<strong>ni</strong> za kipaga<strong>ni</strong> ‘lex Antichristii’ (II:370). 58<br />

Erich Feil ametoa mifano mbalimbali zaidi kutoka katika kipindi cha Augustine<br />

hadi katika m<strong>wa</strong>nzo <strong>wa</strong> Matengenezo. Kama ambavyo sifahamu uchunguzi<br />

wowote katika kazi za Wanamatengenezo kuonesha <strong>ni</strong> istilahi ga<strong>ni</strong> <strong>wa</strong>liyotumia<br />

kudokeza di<strong>ni</strong> mbalimbali, <strong>ni</strong> vigumu kusema i<strong>wa</strong>po matumizi <strong>ya</strong> ‘lex’<br />

<strong>ya</strong>liendelea <strong>wa</strong>kati na baada <strong>ya</strong> Matengenezo. (Jambo moja <strong>ni</strong> hakika: Istilahi<br />

‘religio’ haikutumika k<strong>wa</strong> lengo hili).<br />

Maana <strong>ya</strong> istilahi <strong>ya</strong> Kirumi ‘religio’ iliku<strong>wa</strong> holela kutokea m<strong>wa</strong>nzo, na maana<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> asili bado inajadili<strong>wa</strong> hadi leo, ikijikita mahali fula<strong>ni</strong> kati <strong>ya</strong> ‘kufung<strong>wa</strong><br />

na Mungu’ (mf. Laktanz) na ‘kumtumikia (Mungu) k<strong>wa</strong> utii’ (mf. Cicero).<br />

Istilahi ‘religio’ ilileta maana <strong>wa</strong>kati ilipotumika katika muktadha maalumu <strong>wa</strong><br />

Kikristo na ilitumika kama istilahi moja<strong>wa</strong>po miongo<strong>ni</strong> m<strong>wa</strong> nyingine<br />

sambamba na maneno kama ‘cultus’ au ‘ritus’ ikizungumza <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Mkristo<br />

kumtumikia Mungu k<strong>wa</strong> ujumla au katika huduma za Ka<strong>ni</strong>sa. Hivyo Augustine<br />

na Luther <strong>wa</strong>litumia istilahi ‘religio’ kuzungumza <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Mkristo kumtegemea<br />

Mungu na kumtumikia yeye. Laki<strong>ni</strong> istilahi hii iliku<strong>wa</strong> du<strong>ni</strong> na bado <strong>ni</strong> du<strong>ni</strong><br />

ikitumika kulinga<strong>ni</strong>sha di<strong>ni</strong> mbalimbali kila moja na nyingine. ‘<strong>Sheria</strong>’ badala<br />

<strong>ya</strong>ke huonesha mahali ambapo tofauti za kweli zimelala na k<strong>wa</strong>mba hakuna kitu<br />

kama di<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> kinadharia bali kila di<strong>ni</strong> ina mfumo <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> sheria ambao<br />

unaakisi* miungu <strong>ya</strong>ke na kujipatia sura katika utamadu<strong>ni</strong>.<br />

Kikihukumu kulingana na mtazamo <strong>wa</strong>ke – kipindi cha M<strong>wa</strong>ko kilifan<strong>ya</strong> kitu<br />

sahihi kabisa kufan<strong>ya</strong> istilahi di<strong>ni</strong> ku<strong>wa</strong> kuu katika maana <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> sasa, k<strong>wa</strong><br />

sababu iliku<strong>wa</strong> holela. Kutoka kipindi hiki na kuendelea, Wakristo <strong>wa</strong>nakosa<br />

istilahi ambayo kihalisia inafan<strong>ya</strong> tofauti kuu kati <strong>ya</strong> ima<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>o na di<strong>ni</strong> nyingine.<br />

Peter Antes ameonesha k<strong>wa</strong>mba k<strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida di<strong>ni</strong> hutumia istilahi <strong>ya</strong> pamoja<br />

k<strong>wa</strong> ima<strong>ni</strong> zote. Laki<strong>ni</strong> istilahi hii inachota kutoka kwenye hukumu <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> di<strong>ni</strong> nyingine na hufasili dhana <strong>wa</strong>nazoami<strong>ni</strong> ku<strong>wa</strong> kii<strong>ni</strong> cha<br />

ulinga<strong>ni</strong>shaji <strong>wa</strong> di<strong>ni</strong>. 59<br />

58 Kipekee tazama Erich Heck. Roger Bacon: Ein mittelalterlicher Versuch einer historischen und<br />

systematischen Religionswissenschaft. Abhandlungen zur Philosophie, Psychologie und Paedagogik 13. H.<br />

Bouvier: Bonn, 1957. kk. 92-95<br />

59 Peter Antes. “Religion einmal anders”. Temenos: Studies in comparative Religion 14 (1978): 184 – 197

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!